AMPIGA MUMEWE KISA KUICHAGUA CCM
Na, Robert Heriel
Unaweza kufikiri ni utani, au mzaha au ni uongo, pengine wengine Mkafikiri ni Propaganda. Lakini ni ukweli kabisa. Mimi mwenyewe niliyeshuhudia sikuamini. Hivi mnaanzaje kupigana kisa vyama vya siasa, tena mnadundana haswa, mnachapana...