masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 17,882
- 13,171
Toka mwisho wa February mwaka huu 2921, Tanzania imepitia msukosuko liasi wa kisiasa na kiserikali kutokana na kutooneka, kufariki, na maziko ya Rais wa nchi Mh. John Pombe Magufuli.
Muda wote huu CCM imekuwa kama kungwi, akifanya kazi huku kajigubika kaniki.
Cha kushangaza zaidi ni makada wake maarufu kukaa kimya utafikiri hawapo kabisa.
Abdulrahman Kinana na mwenziweYussufu Makamba waliowahi kuwa Makatibu Wakuu wa CCM, wako kimya kabisa.
Aidha wazee hawa walikerwa na uendeshaji wa chama au lile sakata la kutaka kuwabambika kesi za kijinga ziliwakatisha tamaa na chama.
Mimi nawahimiza warudi kwenye mstari wa mbele chamani, Kikwete peke yake itamwia vigumu.
Popote mlipo wazee wetu.
Muda wote huu CCM imekuwa kama kungwi, akifanya kazi huku kajigubika kaniki.
Cha kushangaza zaidi ni makada wake maarufu kukaa kimya utafikiri hawapo kabisa.
Abdulrahman Kinana na mwenziweYussufu Makamba waliowahi kuwa Makatibu Wakuu wa CCM, wako kimya kabisa.
Aidha wazee hawa walikerwa na uendeshaji wa chama au lile sakata la kutaka kuwabambika kesi za kijinga ziliwakatisha tamaa na chama.
Mimi nawahimiza warudi kwenye mstari wa mbele chamani, Kikwete peke yake itamwia vigumu.
Popote mlipo wazee wetu.