A Mobius Model II car in Nairobi in 2019. PHOTO | NMG
Kenya’s only home-grown automaker, Mobius Motors, plans to ramp up production of its second-generation model with an eye on the regional market including Uganda and Tanzania.
The automaker, which in 2014 pioneered the production of a...
Wakuu nawatakia Jumatatu na week njema yenye mafanikio.
Niende kwenye maada kwa wale wazoefu wanipe ushauri. Kwanza ni kiri kwamba jukwaa hili ndo lilinipa maamuzi ya kuagiza gari na kukwepa kupigwa hapa mjini.
Gari ndo imetoka KOBE, Japan jana inategemea kufika huku mwezi wa nne. Je ikifika...
Habari Guys
Nina Biometric kit mbili kwa ajili ya magari. Lengo ni mtu kupunguza idadi ya watu wanaoweza kuaccess gari lako.
Kuna option mbili
Naweza kuuza mojamoja zikafungwa kwenye gari mbili tofauti, Maana yake mtu hatoweza kuwasha au kuondoka na hilo gari unless awe ameregister vidole...
London Steam Bus
London steam bus, circa 1900, (1947). Double-decker steam-powered bus, operated by the London Road Car Co, travelling between Hammersmith and Oxford Circus, with advertisements for Nestlé's Milk and Bovril. From "The Saturday Book", Seventh Year, edited by Leonard Russell...
The 1963 Peel P50 was the smallest car ever mass-produced. It featured three wheels and a single seat with a 49cc 4.2hp engine. It didn't have a reverse gear, but a handle at the back allowed it to be physically maneuvered as needed.
Je unategemea kuwa na Harusi au Send-Off hivi karibuni?
Je unajiuliza ni wapi utapata huduma bora ya usafiri wa harusi yako?
Jibu ni moja tu @magariyakukodi_carrental
Wasiliana nasi sasa, kuuliza bei ni Bure kabisa!
Call/WhatsApp : 0788457446
Office : Kijitonyama
Bei kuanzia 150,000
Ugandan opposition, activists denounce digital car tracker plan
THURSDAY JULY 29 2021
Uganda's President Yoweri Museveni arrives at the UK-Africa Investment Summit in London, Britain January 20, 2020. PHOTO | REUTERS
Summary
A move by Uganda's government to install digital tracking devices on...
Teknologia imeongezeka kwa sasa hivi watu wanatumia pikipiki za umeme na magari ya umeme, kwa sheria za tanzania hivyo sio vyombo vya moto hivyo havina bima wala hahutaji leseni kuviendesha ni kama unaendesha baiskeli au guta au mkokoteni wa ngombe, pia hamna kuingia sheli kunywa mafuta ukifika...
Msaada kwenye tuta
Nina kagari kangu naona rangi kama inafifia ila bado si mbaya sana.
Napenda kujuzwa yafuatayo hasa kutoka kwa mtu ambae ameshafanya polishing au waxing kwenye gari yake
1. Polishing na waxing ni kitu kimoja au tofauti,
2. Je, mtu akifanya waxing au polishing kwenye gari...
Laz Auto Car wash inatangaza nafasi za kazi kwa vijana wenye uzoefu wa kazi ya kuosha magari.
Waadilifu, wachapakazi, watiifu na wenye uzoefu.
Laz Auto Car wash inapatikani Kinondoni nyuma ya Best Bites ya Namanga.
Piga simu Na. 0717 26 33 77
Hii thread ni maalumu kwa ajili ya results zote ambazo nitakuwa nazipata baada ya kufanya diagnosis kwenye magari. Nitakuwa napost screenshots za hizo codes pamoja na hatua mbalimbali nilizozipitia katika kutatua natatizo hayo.
MUHIMU: Kama tatizo limetatuliwa kwa njia fulani, haimaanishi...
Pande hizo mbili zinatambua uzito wa hali hiyo na zinasisitiza dharura ya kufafanua mazingira ambayo shambulizi hili lilifanyika, mawaziri wa mambo ya nje wa Chad na CAR walisema katika taarifa ya pamoja Jumanne jioni.
Chad na Jamhuri ya Afrika ya kati (CAR) wanatoa wito kwa Umoja wa Mataifa na...
Angalia Thread hii ikiwa kiyoyozi chako hufanya kazi tu wakati gari lako linasonga
Hakuna kitu kinaboa kama pale unapopunguza gari lako mwendo au unaposimama kumsubiri mtu/rafiki yako halafu ghafla baada ya dakika 5 baadae unagundua kuwa ndani ya gari joto limeongezeka zaidi.
Unaangalia...
Wadau, ninaomba ushauri wenu tafadhali. Nikiwa na bajet ya around a maximum of 17m, ninaweza kununua gari gani ya kutembelea ya kawaida tu ambayo priority ni 4wd maana sehemu ninayoishi kuna changamoto ya matope makali kipindi cha mvua?
Lakini gari hiyo pia iwe easy to maintain, isinipasue...
Electric taxis — a welcome drop in Nairobi's pool of emissions
An electric taxi can travel 150 kilometers on full charge. As the Kenyan capital struggles with air pollution, electric taxis are an opportunity for cleaner transport and also a way to make money.
Launched in Kenya in August 2018...
Habari wakuu,
natafuta Car Diagnostic Machine English version.
Au kama unawajua wauzaji toka nchi za nje nisaidie contacts zao.
Nataka inayo toa taarifa za mfumo wa gari kwa Kiingereza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.