Wakuu, kwema?
Wengi tunabadirisha engine oil kila mara, lakini tunasahau fluids zingine muhimu sana, mfano coolants na brake fluids.
Leo kwenye muendelezo wetu wa service, tuzungumzie coolant na brake fluid ambazo zikipuuzwa zinaweza kuharibu engine au system ya breki au zikakupa majanga...
Wakuu. Poleni na kila kitu.
Nimeona leo tuwe na open discussion ya engine na gearbox oil service. Kama kuna mtu ana ujuzi na uzoefu wa aina aliyitumia na mabadiriko aliyoyaona inaweza kua msaada kwa mwingine.
Kwa kuanza, mi nitatoa flashback kidogo na experience yangu ndogo kwenye hivyo...
Hizi chuma za mwendo wa ngiri huwa zinafanyiwa majaribio katika viwanja maarufu viitwavyo Automative Papenburg (ATP) nchini Ujerumani.
Hapo ndipo mjadala wa chuma ipi yenye kasi zaidi duniani humalizwa. Vyuma hupigishwa lap ya maana kupima km/hr au mph na acceleration ya engine in time.
Katika...
Brazilian Couple Marcone da Silva Cardoso and Adriana Machado Ribeiro Die After Car Plunges 400m Off Cliff During Alleged Intimate Moment
Tragedy struck in Venda Nova do Imigrante, south-eastern Brazil, when a couple lost their lives after their car reportedly plunged 400 metres off a cliff...
Habari ndugu wanajamii,
Katika kuhakikisha huduma bora na kuendeleza mahusiano na wateja wetu waaminifu, Jerry Spare Parts and Services tunayo furaha kuwajulisha kuhusu ofa maalum kwa wateja wote waliowahi kupata huduma kutoka kwetu!
📢 Ndiyo! Tunatoa Free Car Inspection na Engine Diagnosis bila...
Habari wakuu wa JamiiForums,
Kwa heshima na taadhima, napenda kushiriki nanyi taarifa njema kwa wale wote wenye magari na ambao wamewahi kupata huduma kutoka Jerry Spare Parts & Services, kampuni inayopatikana Makumbusho, Dar es Salaam. Kama sehemu ya shukrani kwa wateja wao waaminifu, kampuni...
Rhond's com limited
Unahitaji gari la kukodisha?
Kwa kazi, safari au matembezi — tuko tayari kukuhudumia!
✅ Magari safi na yaliyohudumiwa vizuri
✅ Madereva waaminifu na wenye taaluma
✅ Huduma nchi nzima
📞 Piga/WhatsApp: +255 655 633 302
Rhond's company limited
🚗 Unahitaji gari la kukodisha?
Kwa kazi, safari au matembezi — tuko tayari kukuhudumia!
✅ Magari safi na yaliyohudumiwa vizuri
✅ Madereva waaminifu na wenye taaluma
✅ Huduma nchi nzima
📞 Piga/WhatsApp: +255 655 633 302
#MagariYaKukodisha #Tanzania...
Kwa wale wenye Harusi , msiba , pamoja na Mambo mengine ambao mnahitaji kukodi Magari mnakaribishwa
Bei hizi hapa wakuu
Mercedes Benz
G Wagon - Tsh 2.3M
All Sedan Benz - 450k
Benz Above YOM: 2014 - Tsh 600k
Audi | BMW
Mostly - Tsh 800k
Ineos Grenadier - Tsh 1.8M
Toyota V8 | 200 Series -...
📻 CAR FM PLAYER G39 (TYPE-C) 🔊
✨ Furahia muziki bila kikomo ukiwa safarini!
✅ USB Charging (3.1A Smart)
✅ FM Transmitter
✅ Inasoma flash & memory card
✅ Hands-free calls (duplex talk)
✅ LED ya rangi mbalimbali
✅ Mic iliyojengwa ndani
💰 Bei: 22,000 TZS
📍 Napatikana: Arusha
📞 Piga/SMS: 0712 350 159
TANGAZO MAALUM Jerry Spare Parts and Services
Jerry Spare Parts and Services tunayo furaha kuwakaribisha kwenye huduma zetu bora kabisa kwa wamiliki wa magari nchini Tanzania. Tupo kwa ajili yako – kuhakikisha usalama, uimara na ufanisi wa gari lako!
Tunatoa huduma zifuatazo:
1. Free Car...
TANGAZO MAALUM Jerry Spare Parts and Services
Jerry Spare Parts and Services tunayo furaha kuwakaribisha kwenye huduma zetu bora kabisa kwa wamiliki wa magari nchini Tanzania. Tupo kwa ajili yako – kuhakikisha usalama, uimara na ufanisi wa gari lako!
Tunatoa huduma zifuatazo:
1. Free Car...
TANGAZO MAALUM Jerry Spare Parts and Services
Jerry Spare Parts and Services tunayo furaha kuwakaribisha kwenye huduma zetu bora kabisa kwa wamiliki wa magari nchini Tanzania. Tupo kwa ajili yako – kuhakikisha usalama, uimara na ufanisi wa gari lako!
Tunatoa huduma zifuatazo:
1. Free Car...
TANGAZO MAALUM Jerry Spare Parts and Services
Jerry Spare Parts and Services tunayo furaha kuwakaribisha kwenye huduma zetu bora kabisa kwa wamiliki wa magari nchini Tanzania. Tupo kwa ajili yako – kuhakikisha usalama, uimara na ufanisi wa gari lako!
Tunatoa huduma zifuatazo:
1. Free Car...
Habari.. unahitaji kununua gari used au mpya chassis no na hujui utapata wapi kwa Bei nzur? Je unahitaji container za 20ft na 40ft zenye VAT na bila VAT? karibu nikuhudumie +255764423726
Wakuu na wataalaamu wa mifumo ya ulinzi wa magari, title yajieleza.
Nahitaji kufunga ''Alarm System''. Pia nahitaji kufunga "Kill Switch" ili kuongeza security levels kwenye gari.
Kill Switch ambayo inazuia kabisa gari kuwaka.
Je, kuna mfumo ambao ni Two in One, yaani alarm + kill switch?
If...
We don’t just rent out beautiful cars, but we also offer powerful off-road vehicles. Welcome to Rhond's Company Limited for excellent car rental services. Call us or send a WhatsApp message to 0655633302.
Sio tu tunakodisha magari mazuri, bali tunakodisha magari ya barabara ngumu yenye uwezo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.