car

  1. Amavubi

    Nyimbo zimeenda wapi kwenye mabasi ya kukodishwa(Special Car Hire)?

    Wasalaam Kabla magari ya KUKODISHA maarufu kama Costa hayajarasimishwa nilikuwa nashuhudia ABIRIA WENGI WAKIIMBA NYIMBO ZA MAOMBOLEZO Naukiza swali, zile nyimbo zimepitwa na wakati? Maana siku hizi ni KIMYA KIMYA
  2. hp4510

    Nakodisha vifaa vya car wash

    Wakuu Nina set ya vifaa vyote vya kuoshea magari vipo Tu home vimekaa Sasa kama mtu anataka nimkodishe then awe ananipa % flan kila siku aje DM tuyajenge Vifaa viko Dar
  3. Nukta5

    Interior and Exterior Car Decoration

    Habari wakuu, Swala la kupenda gari na kutunza ni kipaji ambacho watu wachache wamejaaliwa hii unaikuta kwamba magari ya aina moja yalioagaizwa mwaka mmoja limoja linakua linamuonekano mzuri kuliko lingine na hii inatokana na utunzaji tulivyotofautiana. Siku ya leo tujadili vitu ambavyo unaweza...
  4. Hhimay77

    Magari ya Kukodi ( Car rental)

    Rhond's company limited, we're car renting company with best services . All types of cars are available (Private) Some of rental purposes include: 1.Tours 2.Weddings 3.Sendoffs 4.Funerals transfer 5.Picnics 6.Projects requiring car rental 7.NGO's and many more Location.Mwembechai Call us...
  5. T

    Fuels Economy family car

    Wakuu naomba ushauri wa family car nzuri yenye wastani wa sifa zifuatazo: 1. Seating capacity from 7 packs 2. Fuels economy I.e. engine capacity less than 2000cc 3. Super body appearance 4. Suv 5. Super interior design 6. Offroad suitability
  6. R

    Nahitaji gari used (Saloon car)

    Salaam wakuu, Nahitaji gari ndogo kwa ajili ya matumizi na mizunguko midogo midogo hapa mjini Dar es salaam. Napendelea zaidi Spacio, Premio, Allex, Runnex, Raum, Ractic na Rumion. Bajeti yangu ni TZS 6M. Tuwasilisane kupitia namba 0622078182.
  7. Guru Master

    Upatokani wa Car Steering Lock. Zinasaidia kiasi flani kwenye Ulinzi wa gari lako

    Habarini. Kama kuna mtu anafahamu wapi zinapatikana Car Steering Lock please anisaidie kuna jamaa yangu mkoani ana hitaji ameomba nimsaidie. Nadhani wengi wenye magari mtakuwa mnazifahamu. Zinasaidia kidogo kuleta usumbufu kwa mwizi asiibe kirahisi sana gari lako. Moderator please rekebisha...
  8. Planett

    Wanajeshi 60 wa Tanzania huko Afrika ya kati kurejeshwa nyumbani kwa tuhuma za unyanyasaji wa kingono

    Walinda amani wa Tanzania kurejeshwa nyumbani kutokana na madai ya utovu wa nidhamu CAR 9 Juni 2023Haki za binadamu Mpango wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati (MINUSCA) chenye makao yake makuu mjini Bangui, kimetangaza uamuzi wa Sekretarieti, kuwarudisha...
  9. H

    Car diagnosis device with chatGPT

    Nawaza, chatGPT au hata google bard zimekua msaada mkubwa kutoa majibu ya issue mbalimbaliu kwa siku za karibuni. Naona kama hizi car diagnosis devices zikiwa integrated na chatGPT au google bard zitakua more eeficient. Kwa sasa hizi devices zinatoa results kwa code, ambazo kama sio mtaalamu...
  10. kabugira

    Car lift Jack

    Natafuta jack ya gari kama hiyo hapo. Kwa mwenye nayo aje DM tuongee biashara
  11. mtu Imara

    Kwa mahitaji ya car shades za hotel au nyumbani wasiliana nasi

    T Up I Tupigie 0676030410
  12. Concoo

    2008-2009 Toyota Crown Hybrid the Next trending Car in TZ

    Hili gari origin yake ni crown majesta, engine 3.5Ltr 😬😬lakini Usiiogope 😄😄maana ni HYBRID, mfumo wake ni CVT yaani kiufupi ulaji wake wa mafuta ni kama wa 2.0Ltr engine cars😋😋 kwa average ni 15km/ltr . Hii ni premium Edition ya crown iliyotengenezwa miaka iyo na kama tujuavyo kwa Majesta ndio...
  13. B

    Wapi naweza pata huduma ya car insurance kwa leo

    Wakuu habari. Gari yangu imeisha insurance bila kujua muda umeisha, naweza pata wapi huduma kwa siku ya leo. Ni third part Asanteni sana
  14. The Tactician

    Natafuta gari ya kukodi

    Habari zenu wakuu, Nahitaji kukodi gari zifuatazo, kwa ajili ya mizunguko ya hapa na pale ndani ya jiji la Dar es Salaam. Yoyote mwenye moja kati ya hizi gari au zote kwa pamoja naomba aipost gari hapa tujadili au anicheki kupitia +255627315218 niione gari, kisha tuanze jadili gharama na...
  15. MrsPablo1

    INAUZWA Android car radio Tshs. 200,000/=

    Android car radio tshs. 200,000/ fixed 📞 0785335350
  16. Meneja Wa Makampuni

    Can we convert all our Vehicles to CNG Fuel powered? How to Convert Your Car To CNG Fuel Powered?

    CNG (Compressed Natural Gas) is a green fuel and emits fewer exhaust gases. It is also efficient compared to conventional fuels. CNG cars are becoming popular due to their low running cost. This thread provides you with a detailed guide on how to convert your car to CNG. How to Convert Your...
  17. GOLOKO

    Nahitaji gari IST (1290Cc) ncp60

    Natumai wazima humu, Msaada nahitaji IST 1290Cc iwe na conditions nzuri isiwe imerudiwa rangi bajeti yangu 10.5M. Sitaki iwe kwa dalali ila awe mmiliki halali.
  18. A

    OBD kwa old car like Premio 2004 or IST

    Ningependa kujua hii device hapa TZ naweza pata wapi? Asante.
Back
Top Bottom