2008-2009 Toyota Crown Hybrid the Next trending Car in TZ

Concoo

JF-Expert Member
Jul 9, 2018
314
480
Hili gari origin yake ni crown majesta, engine 3.5Ltr 😬😬lakini Usiiogope 😄😄maana ni HYBRID, mfumo wake ni CVT yaani kiufupi ulaji wake wa mafuta ni kama wa 2.0Ltr engine cars😋😋 kwa average ni 15km/ltr . Hii ni premium Edition ya crown iliyotengenezwa miaka iyo na kama tujuavyo kwa Majesta ndio gari yenye highest test of luxury kwa hizi benz za kijapan.

.Nmefanyia uchunguzi wa kina na research sana nahis ndio next trending thing kwa hapa TZ. Kwa gharama kuanzia 30Mil, Nlishawahi kuichunguza hapo nyuma Dualis before haijapanda bei enzi izo me nliiagiza kwa bei ya IST tuu before wabongo hawajashtuka. Saizi mpaka 23mil ndo unalipata ,Wabongo wengi hili gari hawajalishtukia na wakilishtukia serikali itapandisha tozo kama kwa kina Dualis.

Nawasanua tuu wapenda magari mazuri wenzangu karibuni hili ndio ndinga itayotrend miaka ijayo hapa bongo karibuni kwa mchango.
 

Attachments

  • 3DE868EF-59E9-4F4F-8B11-1A9F8D1DA774.jpeg
    3DE868EF-59E9-4F4F-8B11-1A9F8D1DA774.jpeg
    97.1 KB · Views: 80
Hili gari origin yake ni crown majesta, engine 3.5Ltr lakini Usiiogope maana ni HYBRID, mfumo wake ni CVT yaani kiufupi ulaji wake wa mafuta ni kama wa 2.0Ltr engine cars kwa average ni 15km/ltr . Hii ni premium Edition ya crown iliyotengenezwa miaka iyo na kama tujuavyo kwa Majesta ndio gari yenye highest test of luxury kwa hizi benz za kijapan.

.Nmefanyia uchunguzi wa kina na research sana nahis ndio next trending thing kwa hapa TZ. Kwa gharama kuanzia 30Mil, Nlishawahi kuichunguza hapo nyuma Dualis before haijapanda bei enzi izo me nliiagiza kwa bei ya IST tuu before wabongo hawajashtuka. Saizi mpaka 23mil ndo unalipata ,Wabongo wengi hili gari hawajalishtukia na wakilishtukia serikali itapandisha tozo kama kwa kina Dualis.

Nawasanua tuu wapenda magari mazuri wenzangu karibuni hili ndio ndinga itayotrend miaka ijayo hapa bongo karibuni kwa mchango.
hakuna hybrid hapo mzee ni crown ya kawaida tu hyo hybrid hats kwa dawa huwez ipata kwa 23m mzee ni pesa ndefu
 
Mwenzenu kwenye ulimwengu wa magari nipo nyuma vibaya mno , naombeni mnitoe tongotongo hivi mnavyosema " toyota hybrid " mnakuwa mnamaanisha nini ??
 
Hili gari origin yake ni crown majesta, engine 3.5Ltr lakini Usiiogope maana ni HYBRID, mfumo wake ni CVT yaani kiufupi ulaji wake wa mafuta ni kama wa 2.0Ltr engine cars kwa average ni 15km/ltr . Hii ni premium Edition ya crown iliyotengenezwa miaka iyo na kama tujuavyo kwa Majesta ndio gari yenye highest test of luxury kwa hizi benz za kijapan.

.Nmefanyia uchunguzi wa kina na research sana nahis ndio next trending thing kwa hapa TZ. Kwa gharama kuanzia 30Mil, Nlishawahi kuichunguza hapo nyuma Dualis before haijapanda bei enzi izo me nliiagiza kwa bei ya IST tuu before wabongo hawajashtuka. Saizi mpaka 23mil ndo unalipata ,Wabongo wengi hili gari hawajalishtukia na wakilishtukia serikali itapandisha tozo kama kwa kina Dualis.

Nawasanua tuu wapenda magari mazuri wenzangu karibuni hili ndio ndinga itayotrend miaka ijayo hapa bongo karibuni kwa mchango.

Mi na crown dam dam

Ila ikishafika 30ml..kuna sauti na hamu ya Benz E-class
 
Ni gari zinazotumia
Mwenzenu kwenye ulimwengu wa magari nipo nyuma vibaya mno , naombeni mnitoe tongotongo hivi mnavyosema " toyota hybrid " mnakuwa mnamaanisha nini ??
mfumo wa umeme zaidi kuliko mafuta
 
Back
Top Bottom