cag

  1. Fanfa

    JamiiForums Tanzania TAKUKURU na CAG fuatilieni hili la Mkurugenzi wa UCC

    Heshima kwenu wana jamiiforums, Nimepenyezewa taarifa zinazohusu mazingira ya rushwa na matumizi mabaya ya madaraka yanayofanywa na mkurugenzi wa kampuni ya chuo kikuu cha Dar es salaam iitwayo University of Dar es Salaam Computing Centre (UCC), Dr. Ellinami Minja. Nimeona ni vyema niliseme...
  2. mr yamoto

    JamiiForums Tanzania Sehemu ambazo CAG haruhusiwi kusogelea: ATCL na Wakala wa Barabara - TANROADS. Unajua kwa nini?

    Mbunge ahoji kwanini CAG hajafanya ukaguzi ATCL, Tanroads. Mbunge huyo amehoji akitaka kujua ukaguzi huo uelezwe kwanini haujafanyika ili isije ikawa hela zinapigwa. Mbunge wa Momba (Chadema), David Silinde amemtaka Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa kueleza...
  3. J

    JamiiForums Tanzania Serikali yabaini ubadhirifu mabilioni ya fedha za malipo ya korosho. Wakulima wasiolipwa watakiwa kujitokeza na CAG kuikagua bodi ya Korosho

    Waziri wa kilimo mh Hasunga amesema mabilioni ya fedha za korosho yameliwa na wajanja hivyo ameunda tume ya uchunguzi kufuatilia ubadhirifu huo. Pia mh Hasunga amemtaka CAG kuikagua bodi ya korosho kwani kuna kiasi cha zaidi ya sh bilioni 55 hazijulikani ziliko. Kadhalika Waziri amewataka...
  4. The Genius

    JamiiForums Tanzania Musa Assad aingia mkataba wa ukaguzi na Sweden

    CAG mstaafu;Musa Asad ameingia mkataba wa miaka mitatu (2019-2022) wa kukagua hesabu zote za fedha za misaada inayotolewa na swedan kwa Tanzania. .................... Una maoni gani kwa Asad na kwa serikali ya Tanzania?
  5. T

    JamiiForums Tanzania Katiba: CAG haruhusiwi kujihusisha na siasa baada ya utumishi wake

    Katiba yetu ipo very clear CAG haruhusiwi kuingia katika siasa baada ya muda wa utumishi wake. Hii inamaana kuwa wale tunafikiri kesho CAG ataingia katika siasa tunapoteza muda na huwenda ndio maana katiba inamlinda sana ili asije nyanyaswa na watawala.
  6. J

    JamiiForums Tanzania Dr. Abbas: Siyo CAG tu anayebanwa na Katiba bali hata Rais wa JMT ana masharti yanayomuongoza katika utendaji wake

    Msemaji wa serikali ametolea ufafanuzi wa mambo mbalimbali ikiwemo uchaguzi wa serikali za mitaa, haki za binadamu na kustaafu kwa CAG. Dr Abbas amesema ukiachalia mbali CAG hata Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania amewekewa kanuni zinazombana na kumuongoza katika utendaji wake wa kila...
  7. T

    JamiiForums Tanzania Ikiwa wafadhili watagundua CAG alionewa, basi tusali

    Naipenda Serikali na Rais wangu ila napenda zaidi Serikali yangu kufuata Katiba ili kuepuka mambo ya Zimbabwe nchi iliokuwa na uchumi mzuri leo uchumi umeparaganyika. Budget yetu ni tegemezi tutake ama tusitake. Ila sasa kwa mchezo unaendelea nchi wafadhili wakipunguza misaada ina maana...
  8. J

    JamiiForums Tanzania Yafanyike marekebisho CAG awe mbunge kama ilivyo kwa AG ( Mwanasheria mkuu)

    Ili kupata mawasiliano yenye uhakika ni vema pakafanyika mabadiliko madogo ya katiba ili kumuwezesha CAG kuwa mbunge. Tumeona faida ya mwanasheria mkuu kuwa mbunge kwamba anajibu hoja zetu zote zenye utata wa kisheria pale bungeni, vivyo hivyo CAG akiwa mbunge ataweza kuzitolea ufafanuzi hoja...
  9. elivina shambuni

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli akata mzizi wa fitna uteuzi CAG

    BAADA ya kuwepo mjadala mkubwa katika vyombo vya habari na mitandao ya kijamii kuhusu uteuzi na utenguzi wa nafasi ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Rais John Magufuli amemaliza mijadala hiyo kwa kuweka bayana kuwa nafasi hiyo, haipo juu ya mamlaka ya mihimili mikuu mitatu...
  10. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Profesa Assad amkabidhi ofisi CAG mpya, hakuona haja ya kupiga danadana

    Hiki ni kitendo kilichofanyika bila kuchelewa , hajataka kuleta longolongo ili waseme kuna mafaili yametoroshwa . Kila la heri Profesa Assad ****** Prof. Assad: "Hii ni taasisi na makabidhiano ya taasisi yanaenda kwa maandishi, kwa hiyo makabidhiano kwa maandishi yatafanyika Dodoma kwa sababu...
  11. matunduizi

    JamiiForums Tanzania Kwani Kungekuwa na tofauti gani kama CAG angestaafu miaka miwili ijayo na kutorenew contract?

    Mjadala huu naona kama hauna nguvu sana kimantiki. Labda kama kuna jambo kubwa hapo ameondolewa ili asiliibue lkn sijaona. Vinginevyo sioni tofauti kama angeondoka miaka miwili ijayo na hiki kilichotokea leo. Ila Nitakachokikumbuka... 1: Ndio CAG aliyefanya kazi kiasi cha kufanya neno CAG...
  12. J

    JamiiForums Tanzania Je, Pascal Mayalla alitudanganya alipotuaminisha hapa Jf kuwa CAG ana hadhi sawa na CJ ( Jaji Mkuu)?

    Mwanabodi Pascal Mayalla alileta uzi hapa akituelezea Uwezo wa CAG kikatiba ni sawa kabisa na Jaji Mkuu na kwamba agizo lake ni sawa na bill. Leo Rais Magufuli amesema CAG siyo muhimili na mihimili ni mitatu tu Serikali, Bunge na Mahakama Na kwamba CAG kwa kiswahili ni Mkaguzi na Mdhibiti mkuu...
  13. Influenza

    JamiiForums Tanzania Yaliyojiri Ikulu Dar: Rais Magufuli amtaka CAG Kichere kutojifanya Muhimili mwingine, amwambia anaweza kuondolewa hata akiwa na mwaka mmoja

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli, leo Novemba 4, 2019 kuanzia majira ya saa tatu na nusu (3:30) asubuhi atawaapisha viongozi mbalimbali aliowateua hivi karibuni Wanaoapishwa ni pamoja na; 1. Charles Edward Kichere kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za...
  14. C

    JamiiForums Tanzania Suala la Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) na Vipengele kadhaa vya Kisheria

    Nafahamu kwamba watu wengi wameanzisha threads wakijaribu kuelezea suala la CAG Kisheria! Hata hivyo, wengi wao kama sio wote walichofanya ni kurundika vifungu vya kisheria bila kutoa ufafanuzi! Mbaya zaidi, hawatoi ufafanuzi wa matumizi ya neno SHALL kwa mujibu wa sheria zetu! Nimelazimika...
  15. mr yamoto

    JamiiForums Tanzania Prof. Mussa Assad: Siwezi kusema chochote kwa sasa kwa sababu sina taarifa zozote juu ya uteuzi wa CAG mpya

    Siwezi kusema chochote kwa sasa kwa sababu sina taarifa zozote juu ya uteuzi wa CAG mpya. Nasubiri kupata taarifa rasmi ya termination kwa sababu niko safarini kikazi - Prof. Mussa Assad akizungumzia uteuzi wa CAG mpya Nilipoteuliwa nilipewa barua ya uteuzi iliyoeleza mambo kadhaa ya kisheria...
  16. Mzee Mwanakijiji

    JamiiForums Tanzania Kichuguu si Mlima CAG: Chuki Dhidi ya Magufuli imewatoa ufahamu sasa?

    Watu wanaendekeza siasa mno kuhusu suala la CAG. Rais halazimiki kumteua CAG yule yule kila baada ya miaka mitano. Katiba na Sheria viko wazi kwa yeyote kuona. Kwa vile marais waliopita walimteua mtu yule yule kwa vipindi zaidi ya kimoja haina maana Rais ajaye analazima kurudia kumteua...
  17. funaku

    JamiiForums Tanzania Kwanini Zitto anamuogopa CAG Mpya?

    Hofu hii kwa kiongozi wa Kudumu wa ACT sio ya kawaida na kilio chake kina kelele ya uchungu mkubwa. Tusubiri makubwa zaidi? Zitto hofu yako kwa Charles Kichere ni nini haswa?
  18. Victoire

    JamiiForums Tanzania CAG wa kwanza Mtanzania kutokuongezewa mkataba baada ya miaka yake yake mitano ya kwanza kumalizika

    Sijui Prof Assad alikosea wapi mpaka kawa CAG wa kwanza Mtanzania hapa Tanzania kutokuongezewa mkataba baada ya miaka mitano kuisha.
  19. Robot la Matope

    JamiiForums Tanzania CAG Prof. Assad astaafu, Charles Kichere ateuliwa kuwa CAG mpya

    Rais John Magufuli leo Novemba 3 amemteua Charles Kichere kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) akichukua nafasi ya Prof. Mussa Assad Prof. Assad aliteuliwa na Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete wakati wa utawala wake na kuapishwa Novemba 2014. BAADHI YA VIFUNGU VYA SHERIA/KATIBA...
  20. J

    JamiiForums Tanzania CAG: Kamati za Bunge zimeanza kuifanyia kazi ripoti yetu

    CAG Prof. Assad amezipongeza Halmashauri zilizofanya vizuri kwenye ukusanyaji wa mapato ya Serikali kama ilivyotangazwa na Waziri wa TAMISEMI Mh. Jafo. Prof. Assad amesema pia Kamati za kudumu za Bunge zimeanza kuifanyia kazi ripoti ya ukaguzi wa taasisi mbalimbali za serikali kama...
Back
Top Bottom