Naipenda Serikali na Rais wangu ila napenda zaidi Serikali yangu kufuata Katiba ili kuepuka mambo ya Zimbabwe nchi iliokuwa na uchumi mzuri leo uchumi umeparaganyika.
Budget yetu ni tegemezi tutake ama tusitake. Ila sasa kwa mchezo unaendelea nchi wafadhili wakipunguza misaada ina maana tutabanwa zaidi ndani na tukibanwa zaidi ndani ina maana kutatokea mfumuko wa Dola kutokana na manunuzi yetu nje ya nchi hasa mafuta.
Hawa mabeberu wana akili sana na ndio maana CAG ni moja pia ya jicho lao la ndani hivyo ukimgusa unapoteza imani nao.
Well kuna mambo ni siri lakini ni lazima sote tumuombe Mungu atuepushe na jinamizi la kuharibika uchumi wetu maana uchumi ukiparaganyika ni vigumu sana kuujenga kwa mara moja.
Budget yetu ni tegemezi tutake ama tusitake. Ila sasa kwa mchezo unaendelea nchi wafadhili wakipunguza misaada ina maana tutabanwa zaidi ndani na tukibanwa zaidi ndani ina maana kutatokea mfumuko wa Dola kutokana na manunuzi yetu nje ya nchi hasa mafuta.
Hawa mabeberu wana akili sana na ndio maana CAG ni moja pia ya jicho lao la ndani hivyo ukimgusa unapoteza imani nao.
Well kuna mambo ni siri lakini ni lazima sote tumuombe Mungu atuepushe na jinamizi la kuharibika uchumi wetu maana uchumi ukiparaganyika ni vigumu sana kuujenga kwa mara moja.