business

  1. L

    JamiiForums Tanzania Hivi ni Vitu Vinavyotofautisha Kampuni na Business name

    1. Umiliki Kwa Sheria za kwetu hapa Kampuni ni lazima iwe na Wamiliki kwanzia wawili na kuendelea. Hawa huitwa shareholders au wanahisa. Lakini kwenye jina la biashara anaweza kua mtu mmoja anaumilikj wa asilimia 100. 2. Watendaji Kwenye Kampuni lazima kuwe na watendaji wakuu yaan directors...
  2. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Rais wa Yanga sc anaongeza Elimu ya Michezo chuo cha Harvard Business School

    Rais wa yanga sc na mwenyekiti wa ACA, Eng. Hersi Said anasoma kozi ya Business of Entertainment,Media and Sports Executive inayofanyika chuo cha Harvard Business School Eng.Hersi anasoma pamoja na wachezaji wa zamani wa Brazil Pato na aliyekuwq bingwa wa formula one Sebastian Vettel.
  3. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Strategic Execution Business Partner at Yas Tanzania June 2025

    Strategic execution business partner – New vacancy (apply by June 13, 2025) Let’s grow together—become our Strategic Execution Business Partner. About the role: We are seeking a Strategic Execution Business Partner with a master’s degree in business, finance, strategy, or a related field, and...
  4. Nyani Ngabu

    JamiiForums Tanzania Standing on business: Gwajima usiwe kama Ndugai!

    Mpaka leo sijaelewa kwa nini Spika wa zamani Job Ndugai aliomba radhi na baadaye akajiuzulu uspika baada ya kutoa maoni yake kuhusu madeni ya nchi. Yote aliyoyazungumzia Ndugai yalikuwa ni halali kabisa. Lakini akaja kuomba radhi na hatimaye kujiuzulu uspika kana kwamba alikosea. Leo kuna...
  5. MwananchiOG

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Football business, Simba imepata hasara kubwa kufikia fainali shirikisho kuliko isingeshiriki kabisa

    Bingwa wa shirikisho hupata 2 million USD, ila cha kushangaza gharama za motivation, bahasha na nguvu kubwa aliyoitumia Bwn Kanji ili tu kuiprove wrong Young africans inafikia zaidi ya 5 million USD. Tetesi kutoka vyanzo vya kuaminika vinadai Bwana Kanji ameapa kurejesha pesa zake kwa namna...
  6. RaJhumoR

    JamiiForums Tanzania Business Frames for Rent ( Bonyokwa/Kinyerezi Road)

    Hello Habari wana JF I present you Frame zilizoisha na zinahitaji wateja wenye ndoto za kuanza au kuendeleza biashara zao eneo la Ditopile, Barabara ya bonyokwa to kinyerezi Frame hizi zipo 9 ila kwa sasa zimebaki 3, Na mkataba unaanza rasmi tarehe 1 June hivyo basi nawaomba na nawasisitiza...
  7. Solo Traveller

    JamiiForums Tanzania Limebaki boom moja sina hata business idea

    Boom ni 600k, toa 156k kulipa deni la boom advance toa Kodi, toa chakula toa nauli toa book na stationary...!! Kifupi namaliza chuo sina hata mia, na sio mia tu sina hata business idea. Natamani kulia natamani kucheka Hapa itabidi nijitahidi kukwepa hili deni la boom advance nakwepaje...
  8. R

    JamiiForums Tanzania Biashara ni mchakato: Learn → Get Experience → Build networks → ndipo uwaze mtaji, Watanzania wengi wanafanya kinyume ndio maana wanafeli

    Biashara ni mchakato: Jifunze kwanza, kisha pata ujuzi, jenga connections zako, ndipo utakapojua cha kufanya na mtaji. Lakini kwa watanzania wengi ni kinyume, wanaumiza sana vichwa kupata mtaji ili kuanza biashara lakini jambo hili kwenye process nzima inabidi iwe hatua ya mwisho kabisa. ndio...
  9. Hot27

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri juu ya online business

    Habari wakuu wa JF nyote. Nipe mbele yenu nahitaji ushauri, mawazo na hata connection juu ya masuala ya online business. Mimi ni kijana na nilipo nina access ya internet (kuanzia saa tatu asubuh hadi saambili usiku) hivyo naona kutumia fursa hii kuangalia tu video tiktok na kuzunguka mitandaoni...
  10. Technophilic Pool

    JamiiForums Tanzania Nipeni business plan ya biashara ya vifaa vya umeme??

    BEI Za Vifaaa na Faida yake katika kila kigaa
  11. M

    JamiiForums Tanzania Corporate Emails for your Business @ 90,000 per year

    Closed
  12. barakachaplin

    JamiiForums Tanzania Nafasi ya Kazi: Airtel Money Business Support Officer

    Je, wewe ni mtaalamu wa ukuaji wa biashara, usimamizi wa akaunti muhimu, au huduma za fintech? Jiunge na mteja wetu, kampuni ya simu maarufu, kama Airtel Money Business Support Officer na usaidie kuendeleza matumizi ya pesa za mkononi, ushirikiano wa biashara, na mifumo ya malipo ya dijiti! 🔹...
  13. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Business Manager at First Housing Finance (Tanzania) Ltd April 2025

    Job Advertisement: Business Manager Company: First Housing Finance (Tanzania) Ltd Department: Business Reports To: Chief Executive Officer Company Description: First Housing Finance (Tanzania) Ltd is the leading housing finance company in Tanzania, committed to providing long-term housing...
  14. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania IT Business Partner at ALAF April 2025

    Reference Number ALAF1509202303 Description KEY RESPONSIBILITIES Manage the company or business unit IT portfolio. To prepare the IT strategy in line with the business plans and preparation of the department’s annual budgets An ambassador between the IT Department and other business...
  15. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Specialist; Business Intelligence at CRDB Bank April 2025

    Reporting Line MANAGER ENTERPRISE ANALYTICS & BUSINESS INTELLIGENCE Location: Tanzania Head Office Department: DATA MANAGEMENT OFFICE Number of openings: 2 Job Purpose The role is responsible for data visualization, reporting automation, and analytics enablement, ensuring that data is...
  16. fact only

    JamiiForums Tanzania Sex Business.

    Habari wana JF it's another beautiful day. Thread hii ipo kukumbusha ewe mwanaume & mwanamke mwajiriwa (Polisi, Mwalimu, Dactari, Mbunge, Waziri, Mwanajeshi, Banker, Mwasibu, Meneja wa taasisi/kampuni yoyote ile, balozi, Barmaid, Barmen, Diwani, Dereva, askari barabarani n.k) kuwekeza kabla...
  17. sangaima

    JamiiForums Tanzania NAHITAJI BUSINESS PARTNER

    Habari wakuu. Takribani majuma mawili yaliyopita nilipost thread katika Jukwa ili thread yenye title : NATAFUTA KAZI YEYOTE ILE nashukuru Mungu japo kuwa muitikio haukua positive directly ila indirectly ulinifungua sana akili nakuniwezesha kuona opportunity ambayo inaweza zalisha kipato...
  18. Aathan

    JamiiForums Tanzania Namtafuta mdada ambae tutakuwa nae kwenye mahusiano ya long distance

    Namtafuta mdada ambae. Tutakua nae kwenye mahusiano ya long distance. Mimi ntakua namtimizia mahitaji yake, (pesa) Nae atakua natimiza mahitaji yangu Chart, calls, video calls Kigezo : awe na shepu tu
  19. J

    JamiiForums Tanzania Requirements For Starting a Business in Nigeria as a Foreigner in 2025

    For foreign investors looking at Nigeria's growing economy, here's what you need to know about company registration in Nigeria in 2025: Key Facts: Processing time: 5-7 working days (faster options available) 100% foreign ownership allowed Minimum capital: ₦100 million (~$62,500) for...
  20. Investaa

    JamiiForums Tanzania Side hustle business idea!

    Wasee habari ! Leo nimeona ni share na wewe side hustle business idea ambayo inaweza kukupa pesa instead of kuzurura mtandao bila tija si sawa. Juzi kati baada ya pot la pressure cooker kuzingua ikabd niingie front kulitafuta replacement kama nitapata kule facebook marketplace , sikupata lile...
Back
Top Bottom