business

  1. RaJhumoR

    Business Frames for Rent ( Bonyokwa/Kinyerezi Road)

    Hello Habari wana JF I present you Frame zilizoisha na zinahitaji wateja wenye ndoto za kuanza au kuendeleza biashara zao eneo la Ditopile, Barabara ya bonyokwa to kinyerezi Frame hizi zipo 9 ila kwa sasa zimebaki 3, Na mkataba unaanza rasmi tarehe 1 June hivyo basi nawaomba na nawasisitiza...
  2. Mr Beach Boy

    Limebaki boom moja sina hata business idea

    Boom ni 600k, toa 156k kulipa deni la boom advance toa Kodi, toa chakula toa nauli toa book na stationary...!! Kifupi namaliza chuo sina hata mia, na sio mia tu sina hata business idea. Natamani kulia natamani kucheka Hapa itabidi nijitahidi kukwepa hili deni la boom advance nakwepaje...
  3. R

    Biashara ni mchakato: Learn → Get Experience → Build networks → ndipo uwaze mtaji, Watanzania wengi wanafanya kinyume ndio maana wanafeli

    Biashara ni mchakato: Jifunze kwanza, kisha pata ujuzi, jenga connections zako, ndipo utakapojua cha kufanya na mtaji. Lakini kwa watanzania wengi ni kinyume, wanaumiza sana vichwa kupata mtaji ili kuanza biashara lakini jambo hili kwenye process nzima inabidi iwe hatua ya mwisho kabisa. ndio...
  4. Hot27

    Naomba ushauri juu ya online business

    Habari wakuu wa JF nyote. Nipe mbele yenu nahitaji ushauri, mawazo na hata connection juu ya masuala ya online business. Mimi ni kijana na nilipo nina access ya internet (kuanzia saa tatu asubuh hadi saambili usiku) hivyo naona kutumia fursa hii kuangalia tu video tiktok na kuzunguka mitandaoni...
  5. Technophilic Pool

    Nipeni business plan ya biashara ya vifaa vya umeme??

    BEI Za Vifaaa na Faida yake katika kila kigaa
  6. M

    Corporate Emails for your Business @ 90,000 per year

    Closed
  7. barakachaplin

    Nafasi ya Kazi: Airtel Money Business Support Officer

    Je, wewe ni mtaalamu wa ukuaji wa biashara, usimamizi wa akaunti muhimu, au huduma za fintech? Jiunge na mteja wetu, kampuni ya simu maarufu, kama Airtel Money Business Support Officer na usaidie kuendeleza matumizi ya pesa za mkononi, ushirikiano wa biashara, na mifumo ya malipo ya dijiti! 🔹...
  8. Jamii Opportunities

    Business Manager at First Housing Finance (Tanzania) Ltd April 2025

    Job Advertisement: Business Manager Company: First Housing Finance (Tanzania) Ltd Department: Business Reports To: Chief Executive Officer Company Description: First Housing Finance (Tanzania) Ltd is the leading housing finance company in Tanzania, committed to providing long-term housing...
  9. Jamii Opportunities

    IT Business Partner at ALAF April 2025

    Reference Number ALAF1509202303 Description KEY RESPONSIBILITIES Manage the company or business unit IT portfolio. To prepare the IT strategy in line with the business plans and preparation of the department’s annual budgets An ambassador between the IT Department and other business...
  10. Jamii Opportunities

    Specialist; Business Intelligence at CRDB Bank April 2025

    Reporting Line MANAGER ENTERPRISE ANALYTICS & BUSINESS INTELLIGENCE Location: Tanzania Head Office Department: DATA MANAGEMENT OFFICE Number of openings: 2 Job Purpose The role is responsible for data visualization, reporting automation, and analytics enablement, ensuring that data is...
  11. fact only

    Sex Business.

    Habari wana JF it's another beautiful day. Thread hii ipo kukumbusha ewe mwanaume & mwanamke mwajiriwa (Polisi, Mwalimu, Dactari, Mbunge, Waziri, Mwanajeshi, Banker, Mwasibu, Meneja wa taasisi/kampuni yoyote ile, balozi, Barmaid, Barmen, Diwani, Dereva, askari barabarani n.k) kuwekeza kabla...
  12. sangaima

    NAHITAJI BUSINESS PARTNER

    Habari wakuu. Takribani majuma mawili yaliyopita nilipost thread katika Jukwa ili thread yenye title : NATAFUTA KAZI YEYOTE ILE nashukuru Mungu japo kuwa muitikio haukua positive directly ila indirectly ulinifungua sana akili nakuniwezesha kuona opportunity ambayo inaweza zalisha kipato...
  13. Aathan

    Namtafuta mdada ambae tutakuwa nae kwenye mahusiano ya long distance

    Namtafuta mdada ambae. Tutakua nae kwenye mahusiano ya long distance. Mimi ntakua namtimizia mahitaji yake, (pesa) Nae atakua natimiza mahitaji yangu Chart, calls, video calls Kigezo : awe na shepu tu
  14. J

    Requirements For Starting a Business in Nigeria as a Foreigner in 2025

    For foreign investors looking at Nigeria's growing economy, here's what you need to know about company registration in Nigeria in 2025: Key Facts: Processing time: 5-7 working days (faster options available) 100% foreign ownership allowed Minimum capital: ₦100 million (~$62,500) for...
  15. Investaa

    Side hustle business idea!

    Wasee habari ! Leo nimeona ni share na wewe side hustle business idea ambayo inaweza kukupa pesa instead of kuzurura mtandao bila tija si sawa. Juzi kati baada ya pot la pressure cooker kuzingua ikabd niingie front kulitafuta replacement kama nitapata kule facebook marketplace , sikupata lile...
  16. FestoKaguo

    Mastering the Law of Averages, A Key to Business Success

    Super IDEA Brother If you do business for a long time, you'll realize that almost every business you touch follows one rule called "The Law of Averages." Simply put, if you do the same thing over a long period of time, you'll be able to predict what will happen in the future (pattern) based...
  17. Investaa

    Winga APP business idea!

    Habari wataalam!. Kama title inavyojieleza hapo juu, nimepata wazo la app ambayo itasaidia wafanyabiashara wa mkoa na dar ata nje ya TZ kwa ujumla kununua bidhaa kwenye soko la kariakoo bila kutapeliwa na winga . Hii itasaidia wafanyabiashara wengi kupunguza gharama ya kuja Dar kununua bidhaa...
  18. Kinyozi_tz

    Karibisho la Mawazo ya kibiashara

    Habarini wadau .Kama mnavyo fahamu katika harakati za maisha kuna watu wana idea za biashara na kuna watu wana pesa.Hivyo napenda kualika wote wenye mawazo ya kibiashara chini ya million tano njoo na idea yako dm then tu discuss .Note usije na idea za kitapel au kubeti na wale ambao idea zao...
  19. Sir Cony

    Business Mentor, Tanzania Opportunity

    ** There will be immediate job opportunities for 28 outstanding training participants** Who you are: Bachelor Degree holder in Education Commitment to a 3 week training in Dar es Salaam Proven ability to coach and mentor teachers and secondary school students Excellent written and spoken...
  20. Mookiesbad98

    Nini sababu.ya.wakala mdogo kugawana pesa na wakala mkuu kwenye mobile money business

    Nini manitiki ya wakala mdogo wa pesa anayeanza biadhara kuwa attached.ana.wakala mkuu na.pesa akipata anapunjwa anagawana.na.wakaala.mkuu. Kazi ya.msingi.ya.wakala.mkuu.ni.nini.kwenye mobile.money.business
Back
Top Bottom