business

  1. A

    JamiiForums Tanzania KERO Tume ya Utumishi wa Walimu itusaidie Walimu wa somo jipya la Business Studies, hatujui hatma ya mikataba yetu

    Mimi ni moja ya Walimu wenye professional ya biashara tulioajiriwa kufundisha somo jipya la Business Studies ngazi ya Shule za Sekondari. Kutokana na kwamba hatuna professional ya Ualimu tulishindwa kupata TSC no, hivyo tukashindwa kupata mikataba full ya ajira baadhi tukiambiwa tukasome...
  2. A

    JamiiForums Tanzania KERO Somo la BUSINESS STUDIES lina upungufu mkubwa wa Walimu

    Serikali ilizindua mtaala mpya na ulioboreshwa wa mwaka 2023 ulioanza kutumika mwaka 2024 kwa baadhi ya shule na mwaka 2025 ulianza kutumika kwa shule zote za sekondari. Katika mtaala huu mpya somo la BUSINESS STUDIES limekuwa ni somo la lazima kuanzia kidato cha kwanza mpaka kidato cha nne...
  3. L

    JamiiForums Tanzania Fanya Hivi Kubadili Tin binafsi kuwa Business TIN

    Habari mjasiriamali, Last week nimepata watu watatu walioniuliza swali Moja, "nawezaje kubadili TIN yangu iwe TIN ya biashara?" For collective good nimeona nikuandikie hapa na wewe. Kuna hatua kadhaa za kufuata wakati wa kubadili non business TIN kuwa Business TIN. Hatua hizo ni hizi; 1/10...
  4. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Senior Business Analyst at NBC January 2026

    NBC is the oldest serving bank in Tanzania with over five decades of experience. We offer a range of retail, business, corporate and investment banking, wealth management products and services. Job Summary •A credit professional acting as credit expert to the relationship team and the conduit...
  5. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Business Assurance Manager at Absa January 2026

    Empowering Africa’s tomorrow, together…one story at a time. With over 100 years of rich history and strongly positioned as a local bank with regional and international expertise, a career with our family offers the opportunity to be part of this exciting growth journey, to reset our future and...
  6. Powell Gonzalez

    JamiiForums Tanzania Seeking investment for high-impact holding company-A long term opportunity to build a multibillion-dollar business

    Seeking Investment for High-Impact Holding Company – A Long-Term Opportunity to Build a Multibillion-Dollar Business We are founders of a private holding company in its early stages. We are currently in the process of raising initial capital to help fund the foundation and the strategic...
  7. Mhaya

    JamiiForums Tanzania Izzo Business aachia nyimbo akiwachana wasanii na mamlaka zilizopo bila kupepesa

    Moja ya jambo la kushangaza ni Msanii wa Hip-hop, Izzo Business kuachia kibao akishusha mistari kuwachana wasanii wenzake waliokuwa hawapiganii haki za wananchi badala yao walirundikana kwenye semina na kampeni za chama kimoja kama mchwa. Badala ya kupinga vikali matukio yaliyokuwa...
  8. B

    JamiiForums Tanzania Natafuta business partner kwenye uwakala wa benk , mimi na uwakala wa mitandao ya simu , eneo chamwino ikulu

    Natafuta business partner kwenye uwakala wa benk , mimi na uwakala wa mitandao ya simu , eneo chamwino ikulu
  9. R

    JamiiForums Tanzania Kuondoa dhana ya business as usual, kutojali, namshauri Mkuu aachane na teuzi zozote, afocus kwenye huu mtanzuko uliopo mbele yake

    Nchi iko gizani. Imevimba bado kupasuka. Washauri wake mshaurini as underate hí hali tuliyo nayo. Aifanyie kazi, aachane na mazoea ya business as usual. Huko mbele kuna giza nene kwa kila Moja wetu!
  10. funaku

    JamiiForums Tanzania Larry Madowo is not an Investigative journalist, he is just business and economic reporter!

    I was trying to check on his credentials...is he an investigative journalist or a forensic expert... my findings ...I don see him near to what he has tried to work on covering the serious report about Tanzania Election violance. My Take :he is just a puppet paid for economic espionage against...
  11. youngkato

    JamiiForums Tanzania Online business

    Lead generation is hard, Offer creation is hard, Sales and closing is hard, Showing up on social media daily is hard. Do you know what is harder? Not leveraging on Facebook and Instagram ads.
  12. M

    JamiiForums Tanzania Mtwara ilipaswa kuwa Business Center nchi hii na je kilichomfanya ndugu Nyerere aiondoe Reli ya Mtwara ni nini?

    Naamini hilo bila shaka Mtwara ndiyo ilipaswa kuwa makao makuu ya nchi hii na business center kwa nchi hii ila tu uroho,ubinafsi na chuki ya viongozi wa nchii hii kutokana na ukanda wao tu hivi kitu gani ambacho kwenye nchii hii Mtwara hakuna madini mtwara yapo,eneo la Bahari lenye kina kirefu...
  13. A

    JamiiForums Tanzania KERO Ajira mpya somo la biashara wengine tumenyimwa mikataba na TSC

    Habari, Naomba kuwasilisha changamoto yetu walimu ajira mpya somo la biashara tulioajiriwa kwa ajili ya uhaba wa walimu wa somo hilo tumenyimwa mikataba na TSC. Wanasema sisi bado sio walimu sasa wanasema wanasubiri muongozo mpaka leo kimya ila wenzetu wengine wamejaza mikataba ya TSC Naona...
  14. K

    JamiiForums Tanzania Orodha ya makampuni legit yanayota huduma za online business

    Kama wewe ni mtumiaji wa online business naomba tuambia kampuni gani umeitumia kuagiza bidhaa zako online. Kuna story nyingi mtaani kuhusu kutapeliwa mtandaoni bahati mbaya kila nikiongea na watu waliotapeliwa wanasema tumetapeliwa mtandaoni bila kutaja majina ya mtando upi wala majina ya...
  15. A

    JamiiForums Tanzania KERO Basata approval for Business license in Arusha

    Ningependa kujua kwa nini leseni yangu ya biashara ya vifaa vya ujenzi (hardware) katika Jiji la Arusha (CBD) inahitaji kibali cha BASATA na kwa nini nalipishwa shilingi 50,000/= za ziada?”
  16. A

    JamiiForums Tanzania Business Licensing (Prohibition of Business Activities for Non-Citizens) Order of 2025.

    On 28 July 2025, the Government of Tanzania published Government Notice No. 487A, introducing the Business Licensing (Prohibition of Business Activities for Non-Citizens) Order, 2025 (the Business Licensing Order). Specifically aimed at reserving certain economic sectors for Tanzanian citizens...
  17. M

    JamiiForums Tanzania Wafanyabiashara takribani 90% wana maisha magumu. Kijana usidanganyike na mafanikio ya wachache, Business is not for everyone!

    Hii ni tahadhari kwa vijana kuhusu uhalisia wa biashara, si kuwakatisha tamaa wala kuwaambia waajiriwe. Biashara ni njia nzuri, imetajirisha watu lakini si hadithi ya kupendeza kama inavyochorwa mitandaoni. Biashara ni vita, inahitaji akili, mikakati madhubuti, uwezo wa kujifunza kila siku...
  18. A

    JamiiForums Tanzania Effortless Payroll Solutions For Your Business

    Managing payroll isn’t just about paying salaries and wages to your staff, it's about staying compliant with applicable laws in Tanzania such as PAYE, Skills Development Levy (SDL), Workers Compensation Fund (WCF), and National Social Security Fund (NSSF). Most of the businesses either lack...
  19. R

    JamiiForums Tanzania REFLECTIONS ON THE (PROHIBITION OF BUSINESS ACTIVITIES FOR NON-CITIZENS) ORDER, 2025 AND ITS IMPACT ON THE REVENUE BASKET

    Introduction In the dynamics of both domestic and international business cycles, the question of restricting certain business activities to non-citizens has repeatedly sparked debate. This issue gained renewed momentum with the publication of the Prohibition of Business Activities for...
  20. JF Summary

    JamiiForums Tanzania Tanzania Bans Foreigners from 15 Business Activities to Protect Local Jobs

    The Tanzanian government has prohibited foreigners from engaging in at least 15 business activities, citing concerns that non-citizens are displacing locals and worsening unemployment. The new directive, titled The Business Licensing (Prohibition of Business Activities for Non-Citizens) Order...
Back
Top Bottom