budget

A budget is a financial plan for a defined period, often one year. It may also include planned sales volumes and revenues, resource quantities, costs and expenses, assets, liabilities and cash flows. Companies, governments, families, and other organizations use it to express strategic plans of activities or events in measurable terms.A budget is the sum of finances allocated for a particular purpose and the summary of intended expenditures along with proposals for how to meet them. It may include a budget surplus, providing money for use at a future time, or a deficit in which expenses exceed income.

View More On Wikipedia.org
  1. BriilQs Consulting Group

    JamiiForums Tanzania Construction cost experts: call us BrillQs consultants for better construction cost and budget

  2. ankol

    JamiiForums Tanzania Gari ipi ni low budget lakini ukiwa nayo unaonekana unazo?

    Habari wanajamvi. Nimeishi sana kwenye ka baby walker kwa muda sasa. Natarajia mwakani niachane nako nipande hadhi japo kidogo. Nakuja kwenu wana jamvi, wataalam wa masuala haya. Nahitaji kujua gari ambayo running cost yake ni sawa na ka baby walker lakini kimwonekano inaonekana ni gari ya...
  3. Jentelomeni

    JamiiForums Tanzania Nichukue monitor ipi hapo? Budget iko tight kinoma

    Habari ya wakati huu wakuu kuna jambo linanitatiza hapa hii Hp 24 inch nataka kuuziwa 130k na hii lenovo 22 inch nauziwa 180k mimi na ubahili wangu nataka kupita na hii Hp ya 130k ila nahofu why inch 24 inauzwa bei kitonga alafu inch 22 inauzwa bei juu je tofauti ni hiyo frameless au kuna...
  4. Brojust

    JamiiForums Tanzania Punguzeni pombe vijana, Ukipata nafasi ya kuacha acha kabisa

    Yaani mtu ana degree na masters logic ndogo tu anashindwa kujibu. Punguzeni pombe vijana, Ukipata nafasi ya kuacha Acha kabisa. Najua nyie TISS mna majukumu makubwa sana ya kiserikali, Fanyeni vetting ya hivi viwanda vya pombe kali zote. Taifa linapotea sana jamani Kuna hazina za wasomi hapo...
  5. Eli Cohen

    JamiiForums Tanzania Hivi ile movie ya kibongo iliyokuwa inapigwa promo Azam kwamba ina budget ya mamia ya mamilioni, iliishia wapi? Box office yake ilikaa vizuri?

    Wakuu hivi ile filamu ya kitanzania iliyojulikana kama Eonii ambayo ilipigiwa sana Promo na watu kuifananisha na movie za hollywood imeishia wapi? Soma pia: EONII 2023 movie ya kwanza kali ya Technology Tanzania, kama Hollywood vile
  6. M

    JamiiForums Tanzania Mitsubishi outlander budget 28m ya seat 7

    Nataka kununua Mitsubishi outlander wadau naulizia fuel consuption yake lita1 inakwenda km Ngapi ..navip outlander kuanzia ya mwaka upi nichuke na yenye specification zipi ndio Bora zaid
  7. M

    JamiiForums Tanzania Mazda CX5 ya mwaka2014 kushuka chini ndo budget yangu

    Wakuu mfuko wangu unaniruhusu kununua Mazda CX5 yakuanzia mwaka 2014 kushuka chini...msaada wenu nichukue ya specification zipi kuanzia engine,rangi nakila kitu
  8. ward41

    JamiiForums Tanzania Defense budget ya Marekani ni kubwa sana

    Marekani wamejizatiti Sana na waki serious. Unachanganya nchi tano kubwa, bado jamaa wako juu.
  9. R

    JamiiForums Tanzania TANZANIANS ANTICIPATE 2024/2025 BUDGET SPEECH

    “Key Focus on Transparency, Governance, and Accountability” As Tanzanians await the presentation of the 2024/2025 financial year budget by the Minister of Finance, the nation stands at a critical juncture. Our President's vision of economic development is shaped by her political mission...
  10. Apollo one spaceship

    JamiiForums Tanzania Nataka kununua Toyota Rav 4

    Anayeuza hiyo gari contact karibu, nipo Serious. Budget ni milioni 7.
  11. Stephano Mgendanyi

    JamiiForums Tanzania MP Twaha Mpembenwe: APPRECIATION NOTE to Madame Speaker to Appointing me to a position of Deputy Chairman to the Parliamentary Budget Committe

    Hon. Twaha Mpembenwe (MP from Kibiti): APPRECIATION NOTE to Madame Speaker, Dr. Tulia Akson to Appointing me to a position of Deputy Chairman to the Parliamentary Budget Committee 22nd April 2024. APPRECIATION NOTE Dear; Madame Speaker I would like to express my gratitude first to Allah...
  12. MfanyakaziHewa

    JamiiForums Tanzania Bajaj used inahitajika. Budget ni million 4.5 hadi 5

    Bajaj used inahitajika. Budget ni million 4.5 hadi 5 Niko Sumbawanga Rukwa
  13. Mr dollar

    JamiiForums Tanzania Natafuta laptop nina budget ya 200k

    Natafuta laptop used core 5 na nina budget ya 200k 255713520180 nipo dar ambayo anayo tuwasiliane
  14. P

    JamiiForums Tanzania Naombeni mbinu jinsi ya kuwa bahili, kubana bajeti

    Jamani, Naombeni mbinu za kuwa mchumi, nisitumie pesa hivyo, hali hii inanitesa sana. Natafuta pesa kwa taabu mnoo. Yaani kuipata Ile 20,000 NI kazi Sana lakini nikiwa na pesa matumizi yangu ni mabya mnoo. Yaani mwezi December Hadi February nafikir nimetumia zaidi ya 1M. Juzi Jana na leo...
  15. AY 5225

    JamiiForums Tanzania Budget ni 650,000/= ninahitaji iPhone yoyote yenye macho matatu

    Heshima yenu wakuu. Nina shida na second hand iPhone asap na budget yangu ni 650k so probably naweza kupata japo 11 pro max, and if I am fortunate enough basi brother au sister mmoja anaweza kunitunuku hata ka 12 kwa bei hiyo hiyo kama offer. Be it as it may, nipo Unguja rn ila nitakuwa Dar...
  16. Newcastle1234

    JamiiForums Tanzania Natafuta kiwanja Mbweni, budget Mil.70

    Natafuta kiwanja Mbweni. Bajeti yangu Mil.70. Ukubwa at least 900sqm SITAKI MADALALI. Kwa mmiliki au anaemfahamu mmiliki anitumie picha na location kwenye WHATSAPP 0788 893364. Just Whatsapp. NO CALLS
  17. sanalii

    JamiiForums Tanzania Kila nikiweka kibubu cha kununua gari kinaporomoka

    Sijawai kumiliki gari, nataman sana kumiliki ila kila nikijitahidi sifikii lengo. Nataka ninunue hata used ya 10M. Niliweka kibubu kikafika 2.5M ila ni mwezi wa nne huu kimebakia 1.2M. Nifanyeje na mimi nimiliki gari? Sitaki kukopa.
  18. R

    JamiiForums Tanzania Waziri Mwigulu, kwanini Serikali ikope Trilion 6 kufadhili budget ilhali DP World wapo?

    Salaam, Shalom!! Wakati tukiendelea na maigizo ya kijana wa chama Fulani, Wananchi makini, wazalendo tusiokubali KUCHUKULIWA na upepo wa maigizo tumeendelea kuangalia Kwa makini ISSUES nyeti katika Nchi yetu. Tulipokuwa tukichangia thread iliyosema : "Bandari, ardhi na maliasili zetu ni Mali...
  19. Baba Rhobi

    JamiiForums Tanzania Budget Gaming PC build

    Wakubwa habari za mida tena, nahitaji ku jenga Gaming PC, kwa kutumia parts kutoka AliExpress. Mimi sina uzoefu na kazi hii na sijawai kufanya jambo hili nataka, kwanzia mwezi wa 12, nianze kuagiza parts moja moja kulingana na budget, kipato changu sio kikubwa kihivo. Mchanganuo wangu ni kama...
  20. thegreat1510

    JamiiForums Tanzania Bodi ya mikopo kama hamkuwa na budget ya kutosha bora msingeongeza bumu au kuwapa mikopo diploma

    Ni vilio tu huku, yaani waliopata angalau asimilia 2% ya Ada yao ni wale yatima au walemavu, ila wengine ni bumu tu. Hii imekatisha sana tamaa ya wanafunzi kuendelea na elimu ya juu kwani wengi wanaopitia advance wanakuwa na hali ngumu za kimaisha. Sifa tu kwamba wamewapa mkopo diploma afu...
Back
Top Bottom