🤣🤣🤣Huna uwezo wa kusave 10m halafu hutaki kukopa. Unataka tukushauri ukauze qalio?
Jitahidi tahidi ufikishe milioni 9 nikuuzieSijawai kumiliki gari, nataman sana kumiliki ila kila nikijitahidi sifikii lengo,
Nataka ninunue hata used ya 10M,
Niliweka kibubu kikafika 2.5M ila ni mwezi wa nne huu kimebakia 1.2M.
Nifanyeje na mimi nimiliki gari? Sitaki kukopa
Sijawai kumiliki gari, nataman sana kumiliki ila kila nikijitahidi sifikii lengo,
Nataka ninunue hata used ya 10M,
Niliweka kibubu kikafika 2.5M ila ni mwezi wa nne huu kimebakia 1.2M.
Nifanyeje na mimi nimiliki gari? Sitaki kukopa
Mkuu nakushauri utemane na wazo la kumiliki Gari kwa sasa hivi. Hata ukifikisha iyo m10 ukanunua bado itakuwia vigumu kwako kwenye uendeshaji.Sijawai kumiliki gari, nataman sana kumiliki ila kila nikijitahidi sifikii lengo,
Nataka ninunue hata used ya 10M,
Niliweka kibubu kikafika 2.5M ila ni mwezi wa nne huu kimebakia 1.2M.
Nifanyeje na mimi nimiliki gari? Sitaki kukopa
Aongeze kipato, miaka sita yote anatafuta 10M kweli?Kila mwaka Nunua viwanja viwili. Baada ya miaka sita unaviuza vyote unanunua gari jipya
Hata wewe umri ushaenda achana na mabonge ya kizunguMkuu nakushauri utemane na wazo la kumiliki Gari kwa sasa hivi. Hata ukifikisha iyo m10 ukanunua bado itakuwia vigumu kwako kwenye uendeshaji.
Jipange kwanza vizuri. Ila ushauri wangu siyo lazima uufwate huko huru kuamua upendavyo.
Akili kubwa sana hii, 🤝🤝🤝🤝🤝Kila mwaka Nunua viwanja viwili. Baada ya miaka sita unaviuza vyote unanunua gari jipya
Huna uwezo wa kusave 10m halafu hutaki kukopa. Unataka tukushauri ukauze qalio?