Maprofesa wasomi wetu kwanini mnalialia.
Nime wasikia ma pro, wakikosoa baadhi ya miradi iliyo anzishwa na hayati Magufuli.
Wengine wanaponda bwawa la umeme wakisema lakizamani, wengine wanaponda, manunuzi ya ndege nk, nk, ilimradi wasikike.
Swalihapa mbona wakati rais Magufuli alipokuwa hai...