bora

Borá is a municipality in the state of São Paulo in Brazil. The population is 838 (2020 est.) in an area of 119 km². The elevation is 582 m.
Borá is the least populated Brazilian municipality.

View More On Wikipedia.org
  1. Miki123

    Processors(SoC) za simu bora zinazofanya simu kuwa nzuri(2021)

    Kama unataka kumiliki simu nzuri na yenye uwezo mkubwa basi jambo la kwanza la kuangalia ni processor kwenye ulimwengu wa simu hufahamika kama SoC (System on Chip). SoC (system on chip) ni processor inayounganisha vitu vyote vinavyounda simu. Processor ya simu ni tofauti na kompyuta katika...
  2. mtimawachi

    Wanasiasa bora watano kwangu mimi kwa sasa

    1> Philip Mangula Huyu kama ni umeme tungeita 'under ground cable' yaani unaona taa tu zinawaka lakini nyaya huzioni. 2> Abdulhman Kinana Huyu yupo makini sana na ndio huyu alizunguka nchi nzima kuisafisha CCM 3> Freeman Mbowe Huyu ndiye ameifanya CHADEMA itambulike kitaifa na kimataifa 4>...
  3. Noel G

    INAUZWA Pata TILES bora kutoka Twyford

    Jipatie tiles aina mbalimbali Kwa size 60*60, 50*50, 40*40, 30*30, 25*40 Kwa bei 50*50 _tsh 38000 kwa box..Grada A Kwa bei 40*40 _tsh 28000, 24000 ,23000 •SQM 60*60_Sqm 1.44 50*50_Sqm 1.75 40*40_Sqm 1.92 30*30_Sqm 1.53
  4. Kamakabuzi

    Nimeona hizi picha kwenye Yahoo, nimesikitishwa eti ndizo picha bora za Afrika

    Nimeona hizi picha kwenye yahoo, nimesikitishwa eti ndizo picha bora za Africa, Zione hapa baadhi Hivi kweli hakuna kitu more positive katika Aftrica? Habari yote iko hapa.. Africa's week in pictures: 21-27 May 2021
  5. Corticopontine

    Katiba yetu ni bora sana isinajisiwe kwa masilahi ya wanasiasa imetuvusha kwenye kipindi kigumu sana

    katiba yetu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni nzuri Afrika na Duniani imejidhihirisha kuleta Amani na utulivu ndani ya nchi yetu mfano mzuri ni mwaka huu ambapo Taifa liliingia kwenye majaribu makubwa lkn kwa mjibu wa katiba yetu nzuri na bora tumevuka salama Tumevuka nyakati ngumu sana...
  6. T

    Hivi kiongozi bora ni mentality, uwezo na imani yake ndo vinampa ufanisi au chama alichomo?

    Mfano mzuri ni Mhe Lowassa. Alipokuwa CCM kuna waliompenda na kuna waliomkosoa kwamba ni fisadi mkubwa sanaa. Akabadili jezi ikawa vice versa. Mfano wa pili ni Nyarandu vivo hvo amebasili jezi wafuasi wamebadir mioyo yao na waiomchukia pia wengi wameanza kumpenda. Hadi huwa nafikiria TZ siasa...
  7. L

    Ni bora kutumia njia nyepesi kupambana na corona kabla hatari kuwa kubwa na kulazimika kutumia njia ngumu

    Janga la COVID-19 limesababisha vifo vyamaelfu kwa mamilioni ya watu nchini China naduniani kwa ujumla, na hadi sasa ugonjwa huubado unaendelea kusomba maisha ya watu katikanchi mbalimbali ambapo serikali zimeghumiwana kutojua la kufanya kutokana na kuzidiwa amakushindwa kuudhibiti kwa urahisi...
  8. Leak

    Kukwama kwa miradi mikubwa ya NHC kunaumiza, kunaliza kunasikitisha sana. Ni wazi Nehemia Mchechu alikuwa bora? kwanini Lukuvi na Jenista bado wapo?

    Wasalaam Ni wazi kila Mtanzania anajua kabisa hali iliyokuwa nayo shirika la nyumba la Taifa kabla ya ujio wa awamu ya tano ya Hayati John Magufuli... ni wazi kila mmoja wetu atakubaliana nami kuwa shirika lilikuwa limechangamka na lilikuwa na muelekeo mzuri sana na watanzania walikuwa...
  9. Jamii Opportunities

    Senior Research Fellow at Sera Bora

    Senior Research Fellow (SRF) Position: Senior Research Fellow (SRF) Background: SERA BORA, meaning Better Policies in Swahili is a 5-year (Jan 1, 2020 to Dec 31, 2024) USAID-Tanzania funded project awarded to Michigan State University (MSU) and implemented under the auspices of the...
  10. Linguistic

    Fred Vunja Bei ateuliwa kuwa Mwenyekiti kamati ya Uchumi na fedha UVCCM Taifa

    Mfanyabishara Wa Nguo na Kijana Wa Kikinga Fredy Ngajiro Maarufu Kama Vunjabei ameteuliwa Kuwa M/kiti Wa Kamati Ya Fedha Ya Uvccm... Vijana Tafuteni Njuruku Hakuna Namna ---- Mfanyabiashara Fred Ngajiro maarufu kama Fred Vunjabei jana tarehe 23 May 2021 amepitishwa na Baraza kuu la UVCCM kuwa...
  11. Da Vinci XV

    EPL ndiyo ligi bora duniani

    Kesho nitamsimulia mwanangu umahiri wa Andres Iniesta wa kupiga pasi adhimu, Pasi tamu na ilikuwa ni faradhi kufurahi muda wowote ukimwona Iniesta na mpira. Utafurahi zaidi akiwa na Xavi pembeni wakimpelekea mpira yule Njiti wa Rosario Argentina Aufanye mpira Anavyotaka , awanyanyapae Mabeki na...
  12. Upepo wa Pesa

    Hakuna nchi iliyoendelea bila kuwekeza kwenye ELIMU BORA NA TEKNOLOJIA (Tatizo la LUKU, Wavaa miwani ya tinted mpo?)

    Wiki kadhaa niliposti uzi wa kulishauri jeshi (JWTZ) kuwekeza kwenye technolojia bahati nzuri kila mtu alitoa mawazo yake kuna walio kosoa kuna walio unga mkono nk nk!! Lakini leo acha niongelee hili kidogo! na nitapenda kuongea na hawa wavaa miwani myeusi (TISS) maana naamini kwenye nchi...
  13. M

    Bora nichukiwe na Wana Simba SC ila ukweli huu Mchungu uliochangia Kipigo Kitakatifu cha Mzulu na Mkaburu Kaizer Chiefs FC niuseme

    Kama Mwamamichezo Halisi ( japo sijifichi ni mwana Simba SC ) nianze kwa Kuwapongeza Kaizer Chiefs FC kwa Ushindi wa Goli Nne na niwape pia Pole Simba SC kwa Kufungwa Mchezo huu wa Kwanza leo. Zifuatazo ni sababu zangu Binafsi za Kiuchambuzi Mimi Krav Maga kwanini Simba SC tumefungwa na Kaizer...
  14. Nigrastratatract nerve

    Ni bora kuwastaafisha wafanyakazi mapema wakajiajiri kuliko kuwaambia vijana wasio na mtaji wajiajiri

    Wanasiasa waache kutumia lugha za kukariri kuwaambia vijana wajiajiri hafu hawana mtaji kuna haja ya wafanyakazi wa Serikali kufanya kazi miaka 10 tu na baadaye watakuwa na mtaji wa kuja kujiajiri na kuajiri kundi kubwa la watu wasio na ajira Badala ya kukaa miaka 30 au 40 kazini mwisho iwe...
  15. MK254

    Bora tu muendelee kukatalia Wakenya, hizi video huonyesha kwa kweli tutawakoloni mkiachia

    Huwa nafuatilia channel ya hawa wadau ambao huwahoji Watanzania vitu vya kawaida, yaani Watz wapo wapo tu siku ziende, elimu mbovu hawana uwezo wa kushindana na moto wa Wakenya. Bora hivyo wao huogopa Wakenya maana duh!
  16. T

    Tafsiri ya Kiongozi Bora

    Kiongozi bora ni yupi? Ni yule anaweza kuliunganisha Taifa bila kujali, dini, kabila, rangi, ukanda, itikadi n.k. Ni yule anaweza kuzimamia Rasilimali za Taifa kuwanufaisha wananchi wa Taifa husika. Mwenye kuheshimu utawala wa sheria na haki za binadamu. Hatuhitaji viongozi ambao ni madadali...
  17. Red Giant

    Kupendwa au kuogopwa, bora nini?

    Msikilize Nicolo machiaveli anavyosema ndani ya The Prince. SURA YA 17 Kuhusu ukatili, rehema na iwapo ni bora kupendwa kuliko kuogopwa Kwa kuangalia sifa nilizozitaja hapo juu, nasisitiza kuwa, kila kiongozi anatakiwa ajitahidi asifike kwa rehema na si ukatili. Lakini anatakiwa kuwa makini...
  18. Richmoto Kushmoto

    Nezha Reborn: Animation bora kabisa kwa upande wangu

    Nezha Reborn ni animation hiii imetulia sana ina mkono sijapata ona kama uliona nezha part 1 basi hii si yakukosa
  19. Red Giant

    NICOLO MACHIAVELI: Kupendwa na kuogopwa, kipi bora?

    Anaandika hivu kwenye kitabu chake The prince. Mtafsiri: Pictuss. Email: pictuspublishers@gmail.com. SURA YA 17 Kuhusu ukatili, rehema na iwapo ni bora kupendwa kuliko kuogopwa Kwa kuangalia sifa nilizozitaja hapo juu, nasisitiza kuwa, kila kiongozi anatakiwa ajitahidi asifike kwa rehema na...
  20. J

    Nini maana ya Uwajibikaji kama msingi wa Utawala Bora?

    Uwajibikaji ni hali ya kiongozi na mtendaji kuwa tayari kujibu, kubeba dhamana na kutoa maelezo kwa wananchi juu ya maamuzi au matendo aliyoyafanya katika kutekeleza dhamana aliyopewa. JE, KATIBA INASEMAJE? Kwa mujibu wa Ibara ya 8 (1) (c) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977...
Back
Top Bottom