Kwanini mnatamani Rais Samia awe Bora kuliko Hayati Dkt. Magufuli?

Weakman

JF-Expert Member
Jul 23, 2021
860
1,382
Nawashangaa Sana ndugu zangu! Munamdemkia mnoo!!

Sote hatujaona fikra au maono ya maza ambayo yanatekelezwa hapa nchini
  • Tozo si maono yake
  • Barakoa na chanjo si maono yake
  • Kesi ya mbowe si maono yake
  • Kuhojiwa Gwajima si maono yake
  • Bei za mazao si maono yake
Hivi ni nini kinaendelea nchini kwa maono yake mama?

Sote tunajua Mambo mengi yaliyofanyika na yanayoendelea kufanyika nchini kwa maono ya mzee Faza
  • Kukomesha wanyonyaji ndani na nje ya nchi
  • Uadilifu na uchapa kazi serikalini
  • Kukuza miundo mbinu
  • Vyeti feki
  • Kudhoofisha upinzani
  • Kulinda madini na maliasili zinginezo
  • Kukataa lockdown
  • Elimu bure
  • Ndege
  • Umeme vijijini
  • Uhuru wa wamachinga na bodaboda
  • Stiglazi goji
  • Esjiara
  • Safari za reli
  • Tumbuatumbua
Kuna ndugu yangu mmoja anamdemkia mama kujenga vituo vya afya zaidi ya 200 kwa miezi mitatu, anasahau kuwa hio ni ishu ya ukusanyaji fedha na namna unavyopanga kutumia

Maza ameingia anakusanya mapato mapya ya tozo ambayo si maono yake sh.bilioni 50 hivi kwa mwezi,

Faza alipoingia kwa maono yake aliweza kupata mapato mapya sh.bilion 500 hivi kwa mwezi, na angeweza kujenga vituo vya afya zaidi ya 1000 kwa mwezi

Tutamsifu maza akifanya vizuri, ila kumzidi Faza baado saana

Sisi timu jiwe tunawaangaliaaa, tunasema HIIII
 
Wote chungu kimoja, ukiona manyoya jua umeona simba wakati hata ndege ana mamnyoya.

Hakuna lolote litakalofanywa na kiongozi wa CCM likawa na mwisho mwema ,yaangalie kwa hao waliopita ni lipi hata leo tukasema mwananchi anakula matunda ya uhuru kwa raha mustarehe Lipi ?

Haiwezekani ukachukua utawala wa kuwaongoza binadamu kwa hila na mbinu za uongo ,kuwadanganya wakiwa wanaona hii nyeupe hii nyeusi,hata mkijikusanyia mimali ya ainga na kiasi gani bado mtakuwa hamtosheki na haviwatoshi na mtaingia makaburini hamjastarehe navyo.

Tunawaona viongozi waliopita badala ya kukaa na kula raha,bado wameng'ang'ania ndani ya Chama ,tunamuona Ali hasani Mwinyi,jakaya Kikwete na mawaziri wastaafu ,watu ambao leo walikuwa wawe wanafurahia na kula maisha bora wakiachana na siasa na ndio wote watakuwa hivyo hivyo,maana wanayoyajenga ni mambo ya kutisha na sio salama ,wanahofia wakiwa nje yatawakuta,baadhi yao hutoka chama baada ya muda wanarudi kwa kisingizio cha narudi nyumbani. Sio kweli mazingira ya nje ya chama baada ya kustaafu ni shida na woga na ndio viongozi waCCM huyajenga mazingira haya bila ya kuyaona na kusoma hatari zake.

Angalia Maraisi wa Marekani mtu akishamaliza humsikii tena kwenye shuguli za Chama, akina Clintoni wanaenda Zanzibar kula mbatata za urojo wanainjoy maisha baada ya kutumikia wananchi wao.

Hapa jamaa wanapinda migongo bado wanajiona wana nguvu za Uraisi ,watz, CCM,mapolisi badilikeni tujenge mazingira furahishi sio ,unaacha ukuu wa upolisi unapatwa na shida hata ya kutembea mitaani,unamaliza Uraisi ni tabu kujitokeza mbele za watu ukaa nao ,mbona Clintoni alifika Zanzibar pale Jawz corner na kunywa urojo akiwa amekaa kwenye kijiwe hana wasi wasi.

Mazingira yanayotengenezwa na CCM sio rafiki hata kwao wao.
 
U
Nawashangaa Sana ndugu zangu! Munamdemkia mnoo!!

Sote hatujaona fikra au maono ya maza ambayo yanatekelezwa hapa nchini
  • Tozo si maono yake
  • Barakoa na chanjo si maono yake
  • Kesi ya mbowe si maono yake
  • Kuhojiwa Gwajima si maono yake
  • Bei za mazao si maono yake
Hivi ni nini kinaendelea nchini kwa maono yake mama?

Sote tunajua Mambo mengi yaliyofanyika na yanayoendelea kufanyika nchini kwa maono ya mzee Faza
  • Kukomesha wanyonyaji ndani na nje ya nchi
  • Uadilifu na uchapa kazi serikalini
  • Kukuza miundo mbinu
  • Vyeti feki
  • Kudhoofisha upinzani
  • Kulinda madini na maliasili zinginezo
  • Kukataa lockdown
  • Elimu bure
  • Ndege
  • Umeme vijijini
  • Uhuru wa wamachinga na bodaboda
  • Stiglazi goji
  • Esjiara
  • Safari za reli
  • Tumbuatumbua
Kuna ndugu yangu mmoja anamdemkia mama kujenga vituo vya afya zaidi ya 200 kwa miezi mitatu, anasahau kuwa hio ni ishu ya ukusanyaji fedha na namna unavyopanga kutumia

Maza ameingia anakusanya mapato mapya ya tozo ambayo si maono yake sh.bilioni 50 hivi kwa mwezi,

Faza alipoingia kwa maono yake aliweza kupata mapato mapya sh.bilion 500 hivi kwa mwezi, na angeweza kujenga vituo vya afya zaidi ya 1000 kwa mwezi

Tutamsifu maza akifanya vizuri, ila kumzidi Faza baado saana

Sisi timu jiwe tunawaangaliaaa, tunasema HIIII
Kwenye uwezo wa kufikiri na kutafakari kiwango chako ki kama jina lako
 
Nawashangaa Sana ndugu zangu! Munamdemkia mnoo!!

Sote hatujaona fikra au maono ya maza ambayo yanatekelezwa hapa nchini
  • Tozo si maono yake
  • Barakoa na chanjo si maono yake
  • Kesi ya mbowe si maono yake
  • Kuhojiwa Gwajima si maono yake
  • Bei za mazao si maono yake
Hivi ni nini kinaendelea nchini kwa maono yake mama?

Sote tunajua Mambo mengi yaliyofanyika na yanayoendelea kufanyika nchini kwa maono ya mzee Faza
  • Kukomesha wanyonyaji ndani na nje ya nchi
  • Uadilifu na uchapa kazi serikalini
  • Kukuza miundo mbinu
  • Vyeti feki
  • Kudhoofisha upinzani
  • Kulinda madini na maliasili zinginezo
  • Kukataa lockdown
  • Elimu bure
  • Ndege
  • Umeme vijijini
  • Uhuru wa wamachinga na bodaboda
  • Stiglazi goji
  • Esjiara
  • Safari za reli
  • Tumbuatumbua
Kuna ndugu yangu mmoja anamdemkia mama kujenga vituo vya afya zaidi ya 200 kwa miezi mitatu, anasahau kuwa hio ni ishu ya ukusanyaji fedha na namna unavyopanga kutumia

Maza ameingia anakusanya mapato mapya ya tozo ambayo si maono yake sh.bilioni 50 hivi kwa mwezi,

Faza alipoingia kwa maono yake aliweza kupata mapato mapya sh.bilion 500 hivi kwa mwezi, na angeweza kujenga vituo vya afya zaidi ya 1000 kwa mwezi

Tutamsifu maza akifanya vizuri, ila kumzidi Faza baado saana

Sisi timu jiwe tunawaangaliaaa, tunasema HIIII
Unaonaje ukamfuata huyo mume wako huko aliko

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Nawashangaa Sana ndugu zangu! Munamdemkia mnoo!!

Sote hatujaona fikra au maono ya maza ambayo yanatekelezwa hapa nchini
  • Tozo si maono yake
  • Barakoa na chanjo si maono yake
  • Kesi ya mbowe si maono yake
  • Kuhojiwa Gwajima si maono yake
  • Bei za mazao si maono yake
Hivi ni nini kinaendelea nchini kwa maono yake mama?

Sote tunajua Mambo mengi yaliyofanyika na yanayoendelea kufanyika nchini kwa maono ya mzee Faza
  • Kukomesha wanyonyaji ndani na nje ya nchi
  • Uadilifu na uchapa kazi serikalini
  • Kukuza miundo mbinu
  • Vyeti feki
  • Kudhoofisha upinzani
  • Kulinda madini na maliasili zinginezo
  • Kukataa lockdown
  • Elimu bure
  • Ndege
  • Umeme vijijini
  • Uhuru wa wamachinga na bodaboda
  • Stiglazi goji
  • Esjiara
  • Safari za reli
  • Tumbuatumbua
Kuna ndugu yangu mmoja anamdemkia mama kujenga vituo vya afya zaidi ya 200 kwa miezi mitatu, anasahau kuwa hio ni ishu ya ukusanyaji fedha na namna unavyopanga kutumia

Maza ameingia anakusanya mapato mapya ya tozo ambayo si maono yake sh.bilioni 50 hivi kwa mwezi,

Faza alipoingia kwa maono yake aliweza kupata mapato mapya sh.bilion 500 hivi kwa mwezi, na angeweza kujenga vituo vya afya zaidi ya 1000 kwa mwezi

Tutamsifu maza akifanya vizuri, ila kumzidi Faza baado saana

Sisi timu jiwe tunawaangaliaaa, tunasema HIIII
Mkuu

Hawezi kumfikia licha ya matamanio ya kumpita kwa vyovyote vile
 
Wote chungu kimoja maana hapo walipo hawakuchaguliwa kutokana na kura halali wao na wabunge wao.
Leteni madai ya Katiba mpya na Tume huru kisha ndo mnaweza kuleta vishughulishi kama hivyo.
Serikali na wabunge waliopo sio halali...!!!

Yaani leo hii mtu ashushiwe mlango wa pepo na motoni aseme ukweli kuhusu uchaguzi uliopita ,ili aingie peponi nakuhakikishia hakuna hata CCM mmoja atakae ingia motoni,wote peponi maana ukweli upo juu na unajulikana na sio siri kwamba mfuatiliaji wa kweli atashindwa kuelewa, Hapo ndugu CCM wnaingia peponi tu.
 
Nawashangaa Sana ndugu zangu! Munamdemkia mnoo!!

Sote hatujaona fikra au maono ya maza ambayo yanatekelezwa hapa nchini
  • Tozo si maono yake
  • Barakoa na chanjo si maono yake
  • Kesi ya mbowe si maono yake
  • Kuhojiwa Gwajima si maono yake
  • Bei za mazao si maono yake
Hivi ni nini kinaendelea nchini kwa maono yake mama?

Sote tunajua Mambo mengi yaliyofanyika na yanayoendelea kufanyika nchini kwa maono ya mzee Faza
  • Kukomesha wanyonyaji ndani na nje ya nchi
  • Uadilifu na uchapa kazi serikalini
  • Kukuza miundo mbinu
  • Vyeti feki
  • Kudhoofisha upinzani
  • Kulinda madini na maliasili zinginezo
  • Kukataa lockdown
  • Elimu bure
  • Ndege
  • Umeme vijijini
  • Uhuru wa wamachinga na bodaboda
  • Stiglazi goji
  • Esjiara
  • Safari za reli
  • Tumbuatumbua
Kuna ndugu yangu mmoja anamdemkia mama kujenga vituo vya afya zaidi ya 200 kwa miezi mitatu, anasahau kuwa hio ni ishu ya ukusanyaji fedha na namna unavyopanga kutumia

Maza ameingia anakusanya mapato mapya ya tozo ambayo si maono yake sh.bilioni 50 hivi kwa mwezi,

Faza alipoingia kwa maono yake aliweza kupata mapato mapya sh.bilion 500 hivi kwa mwezi, na angeweza kujenga vituo vya afya zaidi ya 1000 kwa mwezi

Tutamsifu maza akifanya vizuri, ila kumzidi Faza baado saana

Sisi timu jiwe tunawaangaliaaa, tunasema HIIII


Topic yako ni ya kibinafsi zaidi na mapenzi yako binafsi. Raisi yoyote ajaye anatakiwa kuwa bora kuliko aliyepita maana anachukuwa mazuri na kuendeleza. Sasa kuna watu wa ajabu wanataka tuwe na Raisi mbaya ili tu kufurahisha nafsi binafsi. Sisi tunataka Mama afanikiwe kwa manufaa ya nchi anafanya kazi kama kiongozi wa nchi. Wananchi ndiyo wanaleta maendeleo Raisi anaongoza tu!
 
Nawashangaa Sana ndugu zangu! Munamdemkia mnoo!!

Sote hatujaona fikra au maono ya maza ambayo yanatekelezwa hapa nchini
  • Tozo si maono yake
  • Barakoa na chanjo si maono yake
  • Kesi ya mbowe si maono yake
  • Kuhojiwa Gwajima si maono yake
  • Bei za mazao si maono yake
Hivi ni nini kinaendelea nchini kwa maono yake mama?

Sote tunajua Mambo mengi yaliyofanyika na yanayoendelea kufanyika nchini kwa maono ya mzee Faza
  • Kukomesha wanyonyaji ndani na nje ya nchi
  • Uadilifu na uchapa kazi serikalini
  • Kukuza miundo mbinu
  • Vyeti feki
  • Kudhoofisha upinzani
  • Kulinda madini na maliasili zinginezo
  • Kukataa lockdown
  • Elimu bure
  • Ndege
  • Umeme vijijini
  • Uhuru wa wamachinga na bodaboda
  • Stiglazi goji
  • Esjiara
  • Safari za reli
  • Tumbuatumbua
Kuna ndugu yangu mmoja anamdemkia mama kujenga vituo vya afya zaidi ya 200 kwa miezi mitatu, anasahau kuwa hio ni ishu ya ukusanyaji fedha na namna unavyopanga kutumia

Maza ameingia anakusanya mapato mapya ya tozo ambayo si maono yake sh.bilioni 50 hivi kwa mwezi,

Faza alipoingia kwa maono yake aliweza kupata mapato mapya sh.bilion 500 hivi kwa mwezi, na angeweza kujenga vituo vya afya zaidi ya 1000 kwa mwezi

Tutamsifu maza akifanya vizuri, ila kumzidi Faza baado saana

Sisi timu jiwe tunawaangaliaaa, tunasema HIIII
Itachukua muda mrefu sana kupata Rais bora mchapakazi makini,mzalendo kama MAGUFULI
 
Wote chungu kimoja maana hapo walipo hawakuchaguliwa kutokana na kura halali wao na wabunge wao.
Leteni madai ya Katiba mpya na Tume huru kisha ndo mnaweza kuleta vishughulishi kama hivyo.
Serikali na wabunge waliopo sio halali...!!!

Yaani leo hii mtu ashushiwe mlango wa pepo na motoni aseme ukweli kuhusu uchaguzi uliopita ,ili aingie peponi nakuhakikishia hakuna hata CCM mmoja atakae ingia motoni,wote peponi maana ukweli upo juu na unajulikana na sio siri kwamba mfuatiliaji wa kweli atashindwa kuelewa, Hapo ndugu CCM wnaingia peponi tu.
Kwanini hamkufungua kesi a kupinga matokeo ya ubunge pamoja na kwamba sheria inaruhusu?
 
Back
Top Bottom