MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Kisha baadae huenda hata Jina lake likabadilika na ikaitwa Jangwani Mpili Utopolo Music Band a.k.a Mafuriko Original.
Yaani Jf inapoteza ubora sana kwa kizazi hiki Yani jitu linaandka pumba mpk unakaa unawaza hivi kwa akili hii kwann CCM wasiseme katiba si hitaji la nchi wala watanzania pia kwann tozo zsiwe maradufu Tu maana nchi hii imejaa majitu majinga majinga sn acha wanasiasa wapge hela Tu kupitia raslimali wacha wanufaike Tu na familia zao
Kwa akili Hz hata bambo anaweza akawa Rais na maisha yakasonga KBS ona pumba alizoandka huyu kiumbe sasa mpk nawaza hapa hivi ni usimba na uyanga ndo umeleta bandko lake au pia ni tahira Tu
Anyway vizuri
Kisha baadae huenda hata Jina lake likabadilika na ikaitwa Jangwani Mpili Utopolo Music Band a.k.a Mafuriko Original.
Yaani Jf inapoteza ubora sana kwa kizazi hiki Yani jitu linaandka pumba mpk unakaa unawaza hivi kwa akili hii kwann CCM wasiseme katiba si hitaji la nchi wala watanzania pia kwann tozo zsiwe maradufu Tu maana nchi hii imejaa majitu majinga majinga sn acha wanasiasa wapge hela Tu kupitia raslimali wacha wanufaike Tu na familia zao
Kwa akili Hz hata bambo anaweza akawa Rais na maisha yakasonga KBS ona pumba alizoandka huyu kiumbe sasa mpk nawaza hapa hivi ni usimba na uyanga ndo umeleta bandko lake au pia ni tahira Tu
Anyway vizuri
Wote wewe na mleta uzi mna matatizo yanayohitaji matibabu
Unaongea kwa hasira sana jambo lenyewe utani!!