bongo

Neno lisilo rasmi / la mtaani likimaanisha Tanzania. Linatumika badala ya neno Tanzania.
  1. 100 others

    JamiiForums Tanzania BMW X6 ambazo bongo utabaki kuzisikia

    Kuna watu wanafikiri BMW X6 zile za beforward ndio toleo pekee la bmw x6. Imefikia watu wanaanza hadi kuipambanisha x6 na v8. Inabidi tuelewe kwa nini huyu mnyama ana heshima na vyeo kibao huko ughaibuni, ukiona bmw x6 inazungumziwa ni inatembea usifikiri ni hizi x6 za beforwad. Ukweli ni...
  2. TheDreamer Thebeliever

    JamiiForums Tanzania Huu uvumbuzi ukija bongo tumekwisha

    Habari wadau.. unaambiwa katika uvumbuzi uliozua gumzo ni huu wa Elon Mask uliofanyika katika Tesla Artificial Intelligent Event "Tesla AI event". Robot ya 5ft na 8in ikiwa na 125pound yenye screen usoni ambayo inauwezo wa kusoma kile unachokiwaza na kutoa maandishi ya kile unachowaza kwenye...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Maeneo yenye baridi kupita yote Bongo land

    Haya maeneo ni kiboko katika sekta ya kuwa na baridi Kali katika nchi hii 1. Makete 2. Njombe 3. Mbulu 4. Lushoto 5.Ngara Kama unahisi Kuna pengine sema hapa , Ila haya ni balaa ,kwingine kupo pia,
  4. Meneja Wa Makampuni

    JamiiForums Tanzania Kimeumana Uchumi umekua mgumu bongo vijana someni kwa bidii uchumi

    Nasikia harufu ya mfumuko, Uchumi umekua mgumu bongo vijana someni kwa bidii uchumi. Tukae darasani tusome uchumi tuuelewe😂😂😂😂😂🏃🏃🏃🏃🏃🏃
  5. C

    JamiiForums Tanzania Nimeagiza mzigo AliExpress umefika bongo tangu July 1 ila kwenye tracking wananiambia delivery failed

  6. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Vibaka wa 'Bongo' msiige hii tafadhali kwani mtakufa vibaya sana

    Katika hali isiyokuwa ya kawaida Askari wa Barabarani ( Traffic Police ) Mmoja huko nchini Kenya amejikuta akiibiwa Simu kwa 'Kuchomolewa' na Kibaka wakati akiwa anaongoza Magari. Nimewaonya Vibaka wa Bongo ( Tanzania ) nikiwa najua kuwa 'Matrafiki' wengi wa Tanzania huwa nakutana nao sana...
  7. Chinga One

    JamiiForums Tanzania Nyimbo za wasanii wa bongo ni upuuzi mtupu

    Muziki siku hizi sijui umekuaje? Wiki mbili zilizopita wasanii wakubwa bongo wametoa ngoma mfululizo ajabu leo hakuna hata moja inayotamba mtaani zimeshachuja hakuna cha Kamata, Ndombolo,Salute wala Sandakalawe, afadhali kidooogo Nyumba ndogo ya Chuchu inafurukuta furukuta kwenye vigodoro!
  8. Gepard

    JamiiForums Tanzania Viongozi na Mastaa wa Bongo ambao ni mashabiki wa Simba na Yanga

    Kama uzi unavyojieleza. Huwezi zungumzia soka la Africa kwa sasa bila kuzitaja club za Simba na Yanga. Kama unamjua kiongozi au celebrity yeyote shabiki wa Simba au Yanga mposti hapa. Itapendeza zaidi akiwa ndani ya uzi wa club husika. Pia, Kama wewe ni shabiki wa Yanga weka like 👍 yako kama...
  9. Fohadi

    JamiiForums Tanzania Usajili timu za bongo ni pata potea. Hakuna mfumo maalumu unaotumika

    Viongozi wa soka wa timu za ligi kuu hapa bongo hasa hizi kubwa wanapaswa kubadilika...maswala ya sajili za kubahatisha yamepitwa na wakati...Kama kweli tunataka kupiga hatua inabidi tubadilike kwenye hii angle. Ni bongo pekee ambapo usajili wa mchezaji hauzingatii CV yake bali upepo alioamka...
  10. Kipenzi Changu

    JamiiForums Tanzania Arusha: Ole Sabaya na wenzake wamefikishwa Mahakamani, kesi yaahirishwa

    Aliyekua DC wa Hai Lengai Ole Sabaya pamoja na wenzake leo wamefikishwa tena kwenye Mahakama ya Wilaya iliyopo Sekei Arusha, ili kujibu tuhuma zinazowakabili, Sabaya na wenzake wanakabiliwa na mashtaka matano. Itakumbukwa June 04,2021 Sabaya na wenzake walifikishwa Mahakamani hapo ambapo...
  11. Area 56

    JamiiForums Tanzania Picha: Shamila (Shamy_BK) ndio mrembo mwenye shepu kwasasa bongo

    Huyu mrembo ana trend sana huko IG naona ameanza kumpiku yule Poshy Queen. Hivi hawa wanakula nini jamani maana sio kwa shepu hizi? Kwasasa sidhani kama kuna mrembo anamzidi huyu bibie.
  12. JipuKubwa

    JamiiForums Tanzania Naomba kujua kati ya kununua gari hapa Tanzania na kuagiza kutoka nje ni njia ipi bora?

    Wanabodi habari, Kwa heshima zote naomba kujua ipi ni njia nafuu ya kupata gari bora kati ya kununua hapa bongo au kuagiza nje ya nchi maana natarijia kununua gari hivi karibuni. Naomba ufafanuzi tafadhali.
  13. Meneja Wa Makampuni

    JamiiForums Tanzania Kampuni gani ya usafirishaji inasafirisha mizigo kwa haraka kutoka China kuja hapa bongo bila kuchelewa?

    Habarini za leo wakuu, Nisaidieni hili swala na mnipe ushauri nataka kununua mzigo toka China ili uje hapa bongo niufanyie biashara bila kuchelewa kwasababu ni order maalum. Je ni kampuni gani ya usafirishaji inasafirisha mizigo kwa haraka kutoka China kuja hapa bongo kwa kutumia meli bila...
  14. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Watambue Wasanii wa Bongo Fleva waliopiga kelele hadharani kupinga Roma Mkatoliki Kutekwa

    Profesa J na Ney wa Mitego walijitokeza hadharani kuonyesha masikitiko yao na kupinga Roma Mkatoliki Kutekwa Yeye na watu wengine pale Studio, na walipaza sauti zao ili arejeshwe akiwa hai. Jambo hili lilimfanya aliyekuwa RC wa Dar es Salaam Paulo Makonda kutangaza kwamba Roma atarudishwa kabla...
  15. Patra31

    JamiiForums Tanzania Power of VFX bongo sijui tunafeli wapi tu

  16. Mlolongo

    JamiiForums Tanzania Kumbe hili ndio jengo refu kuliko yote Bongo!

    Lina floor 35 (bila kuzingatia ground floors). Sijui Benjamin Mkapa Pension Tower lina floor ngapi?
  17. BRN

    JamiiForums Tanzania Je, wewe unawakumbuka nani ambao walitrend au bado wanatrend?

    Hapa Tanzania/Bongo kuna watu wanakuwa maarufu kwa kipindi fulani(trend) kutokana na harakati zao za maisha kama vile muziki,fulani,sasa, vichekesho na kadhalika. Mitano michache ni marehemu Dr Shika, comedian Chikumbalaga, Pierre Liquid kuwataja wachache. Kwa sasa wanaontrend ni Mc Mboneke...
  18. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Siku hizi Nyimbo za Bongo Fleva Fupi Kinoma

    Sijui ni mimi tu au, ila naona kama nyimbo nyingi za Bongo Fleva ziku hizi fupi sana. Ni nadra kuona wimbo umezidi dakika 4. Nyingi zinaishia dakika 3 na nusu na nyingine hadi dakika 2 na sekunde kadhaa. Hapo kuanzia biti la kuanza hadi mwisho kabisa. Nakumbuka zamani kidogo wimbo kua na...
  19. F

    JamiiForums Tanzania Yupo wapi Mwanamziki wa Bongo Flava D Nob?

    Miaka ya nyuma huyu jamaa alitamba na kibao "Elimu ni biashara tutasomaje?" Sijamsikia kwenye muziki siku nyingi na sijui yupo wapi na anashugulika na nini?
  20. L

    JamiiForums Tanzania Watanzania muda umefika tuwasamehe Bongo Movie

    Nawasalimu kwa jina LA JMT, moja kwa moja kwenye mada Tangu kuondoka kwa Kanumba ni kama aliondoka na Bongo Movie pamoja na hayo hata kipindi cha Kanumba uongo ulikithiri mno kwenye filamu, ikawa msichana mzuri yeyote anavalishwa kaguo kafupi ndio main character vijana na hereni zao kina Hemedi...
Back
Top Bottom