black

  1. Jackson News

    JamiiForums Tanzania Fashion Black Cuban Chain Bracelet On Aliexpress Tanzania Mkoa wowote

    Fashion Black Cuban Chain Bracelet Elevate Your Style with the Fashion Black Cuban Chain Bracelet Buy: Here Introduction Are you on the hunt for a stylish accessory that speaks volumes about your fashion sense? Look no further than the Fashion Black Cuban Chain Bracelet from Show Jewelry Store...
  2. Mindyou

    JamiiForums Tanzania How Azania became the landmass of black liberation

    There often exists an undeclared state of war among people involved in the struggle for liberation, as between those who support and those who are against the use of the name Azania as an alternative name for a liberated South Africa. This is because the debate concerns much more than a name...
  3. ukwaju_wa_ kitambo

    JamiiForums Tanzania Msanii Black Rhino

    Niko underground ndani ya town sina papara/ full mkoba taratibu ndani ya msafara/ usilete mkwara ipo siku nitatawala/ wakati umefika nimekita kama namadala / kenge wengine wote mi nawaona mafala/ night kisa Bongo ,Visiwani mpaka Bara/ nimekuwa kinara kila kitengo mi nang'ara/ Mc kichwa ngumu...
  4. Magical power

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jana nilikuwa maeneo ya Black and White pale Moro Town. Kuna hii bar ina nyama choma nzuri sana

    Jana nilikuwa maeneo fulani pale black and white (Moro Town) hii bar ina nyama choma nzuri sana. Napenda kukaa konani sana Mara pah wakaja wadada wawili wakaka pale mezani, simu yangu ikaita kuna mtu alinipigia simu alikuwa na changamoto yake ila huwa sipendi kuongea na mtu mazingira yasiyo...
  5. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Vipi tuendelee Kuchekana baada ya Matokeo ya Leo au sasa kila Mtu ashike Adabu zake na ajue kuwa Mpira huwa Unadunda?

    Yanga SC Kamfunga Simba SC Simba SC Kamfunga Azam FC Azam FC Kamfunga Yanga SC Imeisha hiyo.
  6. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Si tulisema hatufungwi na Uwanja wa Chamazi ni wetu Kinyota je, leo imekuwaje?

    Asante Mungu
  7. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Yaani bora kidooogo uwaamini Singida Black Stars FC ikicheza na Yanga SC kuliko Wanafiki wa leo Azam FC

    Tegemeeni kumuona Afisa Habari mwana Yanga SC lia lia Hashim Ibwe akizuga Kulia, kulalamikia Mwamuzi na Kuumia kwa Kipigo watakachokipata kutoka kwa Yanga SC leo jioni / usiku huku Moyoni mwake na Rohoni kwake Akifurahia hakuna mfano. Wale wana Simba SC Wenzangu hapa JamiiForums mnaodhani Azam...
  8. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Yaani bora kidooogo uwaamini Singida Black Stars FC ikicheza na Yanga SC kuliko Wanafiki wa leo Azam FC

    Tegemeeni kumuona Afisa Habari mwana Yanga SC lia lia Hashim Ibwe akizuga Kulia, kulalamikia Mwamuzi na Kuumia kwa Kipigo watakachokipata kutoka kwa Yanga SC leo jioni / usiku huku Moyoni mwake na Rohoni kwake Akifurahia hakuna mfano. Wale wana Simba SC Wenzangu hapa JamiiForums mnaodhani Azam...
  9. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Black Magic: Siri ya kwanini Watu hupelekwa Makaburini na Waganga

    BLACK MAGIC: SIRI YA KWA NINI WATU HUPELEKWA MAKABURINI NA WAGANGA. Anaandika, Robert Heriel Kuhani katika Hekalu Jeusi. Makaburini ni Makazi ya Wafu àmbapo ulimwengu waô huitwa kuzimu. Kaburi ni mlango wa kuzimu. Yaani pale utakapozikwa ñdipo lango Lako la kuzimu lilipo. Kaburi ni kama...
  10. Meja Jenerali Isamuhyo

    JamiiForums Tanzania Oscar Oscar: Singida Black Stars watakuwa mabingwa NBC Premier League

    Baada ya Singida Black Stars kuwa na mwanzo mzuri katika NBC PL, mpiga porojo kutokea Wasafi Media, Oscar Oscar ameipa nafasi timu hiyo kutwaa ubingwa wa NBC PL mbele ya Yanga, Simba na Azam.
  11. Prostar

    JamiiForums Tanzania Black skin always Black

  12. Mchunguzi Fukara

    JamiiForums Tanzania Mfahamu George Stinner Jr, black America,kijana wakimarekani mweusi aliyeuawa kikatili alinyongwa akiwa na umri wa miaka 14 pekee

    Leo nimewaletea picha na video ya tukio mojawapo lililoleta ukakasi/na kuwaumiza wamarekani weusi miaka nyuma NCHINI MAREKANI, George Stinney Jr black America alikuwa kijana mwenye umri mdogo zaidi kuuawa kikatili Marekani akiwa na umri wa miaka 14 alinyongwa June 16,1944 na alizaliwa October...
  13. Ileje

    JamiiForums Tanzania Singida Black Stars wana hoja wasikilizwe!

  14. Lady Whistledown

    JamiiForums Tanzania TANZIA Connie Chiume: South African TV star dies aged 72

    Connie Chiume, a veteran South African actor who appeared in Marvel film Black Panther, has died at the age of 72, her family has announced. The multi-award-winning actress starred in several South African TV shows including Rhythm City, Zone 14 and most recently, Gomora. Chiume was a trained...
  15. Hussein Massanza

    JamiiForums Tanzania Singida Black Stars tunatafuta vijana wa kuwasajili U20 na U17

    Habari watu wa Soka Singida Black Stars tunatarajia kufanya majaribio ya kutafuta wachezaji vijana wenye vipaji mkoani Singida watakaounda timu zetu za SBS U-20 na SBS U-17. VIGEZO: 1. Ni lazima kijana awe mkazi wa Singida 2. Ni lazima kijana awe na umri kuanzia miaka 16 hadi 19 3. Ni...
  16. LIKUD

    JamiiForums Tanzania If Joe Bidden was Black

    Sasa hivi angekuwa studio ana rekodi ngoma " WHO SHOT YA" . Just like what Biggie did in 1994 after Pac was shot at the Quad Studio premises.
  17. ngara23

    JamiiForums Tanzania Singida Black star, wamejipanga, moto utawaka nafasi ya pili

    Hawa wapo kimya ila wamejipanga vyema. Naona wazi akichukua nafasi ya pili. Azam wameleta magalasa ya huko South America nadhani nafasi ya pili ataisikia redioni. Mbumbumbu a.k.a zoazoa fc au DEBORA fc naona wakishika nafasi ya 6 hata shirikisho hawapendi tena. Guede , Lyanga, Manura...
  18. C

    JamiiForums Tanzania msemaji wa singida black stars: tunashiriki cecafa kama mazoezi tu na tumepata uwanja wa avic town japo tunasubiri pia kuutumia wa bunju

    kumbe vilabu huwa vinaenda kushiriki mashindano ya kimataifa kama tu mazoezi na siyo kushindana kuwa bingwa? kazi ipo hakyanani...!!
  19. Hussein Massanza

    JamiiForums Tanzania Kuna mchoro Singida Black Stars tunauchora...

    Ndani ya wiki hii tumetambulisha watu watatu muhimu sana ndani ya timu yetu. Tulianza na Kocha Mkuu Patrick Aussems maarufu kama Uchebe, tukafuata Ramadhani Nsanzurwimo msaidizi wake ambaye ana uzoefu sana na soka la Afrika kisha leo mapema tumemtambulisha kocha wa viungo kutoka Club Africain...
  20. Sigonella Island

    JamiiForums Tanzania Drone ya Kijasusi ya US imepotea kwenye rada huko Black Sea

    Drone ya upelelezi ya US imepotea kwenye rada wakati ikiendelea na jukumu la Kijasusi huko bahari nyeusi. Wachunguzi wa mambo wanasema Russia ameishusha na kupeleka kusikojulikana. #BREAKING: US drone Global hawk flying over black sea to collect intelligence of Russian naval fleet, got...
Back
Top Bottom