Wadau Amani iwe kwenu
Nimefuatilia kwa wenzetu huko Nigeria wanaozalisha funza agotti) kwa ajiri ya chakula cha kuku kwa kutumia inzi waitwao Black Soldier
Nauliza kwa hapa Tanzania wapi naweza kupata hawa inzi ili nitumie kwenye ufugaji wangu wa kuku
Black people have strange behaviors that I’d love to study further.
Their hatred towards their fellow black people is just unbearable.
See what’s happening in SA
See how they hate each other
See how black amaricans hate black Africans in the US
They can’t help each other
They can’t truly...
Wakuu , ukimtoa super black pia hata yule jamaa katibu Mkuu kiongozi aliyekula mshahara wa mwezi mmoja . hakupewa fomu pale Bukoba.
Yote haya mtayapata kesho
Kesho weka bundle Mkuu kuna good news zinakuja .
Taifa linaenda kupona
Timu zipo tatu
-hana deni (Consumers)
-NREN
-Tubadilishe Striker la sivyo tukose wote .
Wabaya zaidi wazee watukose wote wapo wengi na hapa mzee wa NRNE anaenda kujiokotea Dodo
Kocha Mchezaji ambaye alipata GPA 2 kwa...
Tusimpongeze MTU wala kumbeza tuache muda uongee Ila kunauwezekano Mzee Kijana na super black wakawa wamewekwa pembeni bila wao kupenda
Kwakuwa nikiuchambua uongozi wa awamu ya tano na sita sioni Kama umetafautina sana.
Kwa kuangila mambo Kama "Good governance " na n.k.
Ni mwaka wa 2018, ulimwengu ulizizima kwa uzinduzi wa filamu ya Black Panther, kazi ya Marvel Studios iliyoongozwa na Ryan Coogler. Kwa wengi, ilionekana kama ushindi wa uwakilishi wa Waafrika na Wamarekani Weusi kwenye sanaa ya Hollywood. Watu walifurika sana kwenye kumbi za cinema kutazama...
1. Mechi ilikuwa nzuri mno na ya ushindani kuliko hata ile na Simba, kilichowaharibia Singida ni udhamini wake kwa GSM.Ukikubali kuvaa jezi yenye nembo hiyo hata ucheze namna gani lazima ufungwe tu.Wamecheza mpira mzuri na wengi tumeshangaa inakuwaje wanasajili wachezaji wazuri kuliko wa Simba...
Pieter Willem Botha, of South Africa, 1988.
"Black people cannot rule themselves because they don't have the brain and mental capacity to govern a society.
Give them guns, they will kill themselves.
Give them power, they will steal all the government money.
Give them independence and...
Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imethibitisha kuwa haijapokea barua yoyote ya malalamiko kutoka kwa klabu yoyote inayoshiriki Ligi Kuu ya NBC wala NBC Championship hadi sasa. Taarifa hiyo imetolewa na Afisa Habari wa Bodi hiyo, Karim Boimanda, ambaye amesema kuwa hata klabu ya Singida Black...
Klabu ya Singida Black Stars imewasilisha rasmi malalamiko kwa mamlaka za soka nchini, ikiwemo Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), baada ya kutoridhishwa na mwenendo wa mchezo wao dhidi ya Simba SC uliochezwa jana Mei 28 kwenye Uwanja wa KMC Complex.
Katika mchezo huo, Simba iliibuka na ushindi...
Wote tunajua, hizi ni timu zinazomilikiwa na wanasiasa.
Nini hatima ya timu hizi baada ya uchaguzi mkuu endapo wamiliki wake hawatorudi kwenye nafasi zao?
Inadaiwa kuwa benchi la ufundi la Singida Black Stars halijalipwa mshahara kwa miezi miwili hadi sasa. Taarifa zinaeleza kuwa uongozi wa timu hiyo umetoa kipaumbele kwa mishahara ya wachezaji, huku benchi la ufundi likikabiliwa na hali ngumu, hasa wakati huu wa kuelekea Sikukuu ya Eid.
Klabu ya Singida Black Stars imemtangaza Waziri wa Fedha na Mbunge wa Iramba Magharibi, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, kuwa mlezi wao rasmi.
Awali, Dr. Mwigulu alikuwa akishiriki kama mdau wa kawaida kwa kutoa michango yake kusaidia timu hiyo, lakini sasa atakuwa na nafasi kubwa katika kuiunga...
As the oldest profession of physical deception is prostitution, the oldest profession of mental deception is religion.
If the Europeans and Arabs kept their opinions about their God to themselves, we will not be having Christianity and Islam in Africa.
But because you are now a christian or...
These are the possibility of actors to be casted (don't take it seriously 😃)
Tom Cruise
John Depp
Samuel Jackson
Morgan Freeman
The Rock
Arnold Schwarzenegger
Rambo
The Taker
Freelancer
Dr. John Sins
African Blackwood, mojawapo ya miti ghali na adimu zaidi duniani.
Pia inajulikana kama "dhahabu nyeusi ya misitu".
Rangi yake nyeusi kali na ugumu wa kipekee huifanya kuhitajika katika tasnia mbalimbali, kama vile utengenezaji wa vyombo vya muziki na fanicha nzuri.
African Blackwood...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.