binadamu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. MamaSamia2025

    Kibiblia mtumwa anachukuliwa kama mali na sio sawa na binadamu wengine

    Ee Mungu nisamehe kwa sababu kila ninavyosoma Biblia ndo ninakutana na maandishi yenye ukakasi yenye kutia hasira mno. Kwenye KUTOKA 21 tunaona kulikuwa na adhabu ya kifo kwa mtu atakayemuua mtu ila kulikuwa na adhabu isiyo ya kifo endapo mtu atamuua mtumwa wake. Na biblia imeandika kuwa mtu...
  2. M

    Polisi: Taarifa ya mabaki ya viungo vya binadamu Mpiji Magoe ni ya zamani

  3. Papillon 1906

    Binadamu pekee aliye nyoosha mkono juu kwa miaka zaidi ya 52 bila kuushusha

    Amar Bharati ni raia wa India aliyeweza kuunyosha mkono wake juu bila kushusha toka mwaka 1973 kwa kuashiria kumtukuza mungu Shiva. Ameweka nadhiri hii kwa lengo la kusafisha na kutakasa nafsi yake na kuonyesha Imani thabiti kwa Shiva. Kwa miaka Mingi mkono wake umekuwa juu na kutengeneza...
  4. H

    Hakuna binadamu aliyeitumikia ccm na mwenye dini ya kuja atakayewapigania WaTanzania kamwe!

    Asiye na akili timamu ndiye atakayeamini maigizo ya kisiasa wanayofanya ccm na wanasiasa wake
  5. Ojuolegbha

    Mwanaharakati maarufu wa haki za binadamu, Kombo, ametuma ujumbe mzito kwa aliyekuwa balozi wa Tanzania nchini Cuba, Humphrey Polepole, kufuatia

    Mwanaharakati maarufu wa haki za binadamu, Kombo, ametuma ujumbe mzito kwa aliyekuwa balozi wa Tanzania nchini Cuba, Humphrey Polepole, kufuatia kujiuzulu kwake hivi karibuni. Akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari leo Julai 16, 2025 , Kombo alieleza kushangazwa na kauli za Polepole...
  6. Roving Journalist

    Mafunzo ya vitendo kwa kutumia Mdoli wenye muonekano wa binadamu (Manikin) uliounganishwa na teknolojia

    Mganga Mkuu wa Serikali Dkt. Grace Magembe akiangalia mdoli wenye muonekano wa binadamu (Manikin) ambao umeunganishwa na teknolojia inayowezesha mdoli huo kujieleza namna inavyoumwa wakati huduma ikitolewa. Midoli hii ambayo inatumika kwa mafunzo kwa vitendo (Skills Lab) katika Chuo Kikuu cha...
  7. KING MIDAS

    Matendo ya ukiukwaji wa haki za binadamu yanafanya watu wawachukie sana watu wanaojipendekeza kwa watu dhalimu. Mrisho Mpoto kapatwa na ujumbe mzito

    Ona alichojibiwa CHAWA kindakindaki Mrisho Mpoto
  8. Kipenzi Changu

    "Mimi sitegemei binadamu namtegemea Mungu pekee"

    Mimi namtegemea Mungu pekee, sitegemei binadamu...alisema Ninajiuliza huyo Mungu atashuka kukufanyia wewe jambo fulani? Sio kwamba anapotaka kufanya anafanya kupitia hao watu? Ulipoumwa si mtu daktari alikutibu? Huo mshahara si mimi mtu muhasibu nilikulipa? Sasa iweje useme hutegemei watu...
  9. Ojuolegbha

    Waziri Kombo akutana na Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu ya Umoja wa Afrika, Mhe. Janet Sallah-Njie (kulia).....

    Pembezoni mwa Mkutano wa Saba (7) wa Uratibu kati ya Umoja wa Afrika na Jumuiya za Kikanda jijini Malabo, Equatorial Guinea Julai 13, 2025, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Mahmoud Thabit Kombo (Mb.) amekutana na Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Afrika ya Haki za...
  10. OMOYOGWANE

    Binadamu ana majibu ya maswali yote! Wachache wanaujua huu ukweli

    Ukiniuliza swali nikupe majibu, majibu nitakayokupa mimi ni yangu binafsi sio yako. Majibu yangu nitakayokupa yatatokana na experience yangu na sio yako. Wewe una experience yako, mimi nina experience yangu. Kama swali lako ni la ki proffesional na mimi ni proffesional basi majibu yangu...
  11. DR HAYA LAND

    Psychological crisis -Mgogoro wa kisaikolojia katika Maisha ya binadamu ni chanzo kikubwa cha msongo wa mawazo

    Psychological crisis Mgogoro wa kisaikolojia ni chanzo cha stress katika maisha . Inaanza hivi. Katika utafutaji -wengi tumejikuta tunasafiri , kutoka eneo moja mpaka eneo lingine. Ila wengi tukifika katika baadhi ya maeneo bado tunakuwa na ile hali ya kuendelea kutamani ulipotoka . Yaani...
  12. Chuo Cha Tafakari

    Binadamu na Nyota: Mwangaza Mfupi Kati ya Giza Mbili?

    Na: Mjumbe wa Nafsi za Watu Je, binadamu ana uhusiano wowote wa kweli na nyota? Je, tunaongozwa nao? Tumetokana nao? Au nyota ni mapambo tu ya anga, kama taa zisizo na maana zaidi ya kutufurahisha macho? Maswali haya si mapya. Yamechochea fikra za watawala, wanafalsafa, wachawi, manabii na...
  13. Yoda

    Uingereza inavyojitawala. Inawezekana ndio binadamu waliostaarabika kuliko wote duniani

    Fikiria taifa liloweza kuendeshwa kwa miaka zaidi ya mia mbili kama demokrasia bila kuwa na katiba iliyoandikwa na bado raia wake wanaweza kupata haki zao zote, mihimili iko huru na jamii haifarakani kwa sababu ya dhulma au uhuni wa kiutawala wa kisiasa. Wanaingia mawaziri wakuu na kuondoka...
  14. Just Pray

    KWELI Upo uwezekano wa funza kuishi kwenye sikio la binadamu na kusababisha ugonjwa wa Myiasis

    Salama wanajamvi? JamiiCheck naomba msaada wa kupata uhalisia wa hili kwamba wapo funza wanaoweza kuishi kwenye sikio la binadamu, je, ni kweli? na kama ni kweli kuna madhara gani na tunaepukaje?
  15. Mshana Jr

    Mnyama anaua mara moja binadamu anaua mara tatu

    Tumewapa wanyama hadhi ya uhayawani kwakuwa hawana utashi wa kibinadamu... Lakini nina hakika tumewaonea Sana Mnyama anaua tu pale anapohisi hatari kubwa na anafanya hivyo kwa njia ya kujitetea.. Akipata nafasi hukimbia.. Hana kisasi Mnyama anaua tu pale anapoumwa njaa ili apate chakula. Na...
  16. S

    Ujue Ubongo wa binadamu ulivyogeuzwa kwa kanuni ya (High na Low) part2

    Huu ni mwendelezo wa somo letu la kanuni ya ubongo sehemu ya pili. Ubongo wa kushoto Kwenye mada iliyopita tuliona vile kazi ya ubongo wa kushoto inavyoratibu viungo vyote vya mwili upande wa kulia. Yaani mfano shambulio la ubongo wa kushoto linafanya viungo upande wa kulia vipararaizi...
  17. S

    Ubongo wa binadamu umegeuzwa na unafanya kazi kwa kanuni kuu mbili tu (High na low), ukijua kuzitumia unatoboa

    Tangu misingi ya ulimwengu kanuni ya kuishi Ulimwenguni haijawahi kubadilika! Ukitaka kufanikiwa lazima kwanza utambue matumizi sahihi ya kanuni kuu 2 za ulimwengu (High na low) Mifumo yote iliyopo ulimwenguni ni lazima iongozwe na kanuni hizo kuu ili kuleta matokeo! UBONGO WA BINADAMU Kwa...
  18. excel

    Umeshawahi kuchati na ChatGPT kitu chochote? Hii AI inaweza kukufanya ujisikie kama unachati na binadamu

    Noma sana. Nilikua bored sana nikaona nitafute sababu ya kuwa na furaha leo😅😅😅 Baada ya kutengeneza CV kwa dakika 10 kupitia Hii AI nikaona nianze kujifurahisha
  19. Now and then

    Niliwaambia acheni hizo tabia za kumsifu binadamu kama Mungu sasa mmejionea wenyewe !

    Kiko wapi. Hakuna kwenda nje Hakuna favor Utalii umeshuka Sana Mialiko imekuwa adimu sana Na mwisho unaelekea kukabidhi kijiti Kama utani .
  20. Marco Seth

    Je unaamini Binadamu alikuwa Sokwe?

    Charles Darwlin He proposed that humankind originated from man-like apes (first quote) in Africa and that humans are most allied to chimpanzees and gorillas (second quote). Further, Darwin seems to have thought that our progenitors were more like chimpanzees than gorillas (third quote). Na...
Back
Top Bottom