biashara

  1. ndege JOHN

    Ukiwa huna hela mipango ya biashara ina click vizuri kichwani

    Ukiwa huna maisha umefulia balance haisomi kila idea unayoipenda ukiifikiria unaipangilia vizuri kabisa Kiasi cha mtaji,gharama za uendeshaji,faida,..imagine niliishiwa hela nikaanza kufikiria biashara ya uji,matunda,genge...na tena kisasa ma innovations kama yote.. Kosa waniingizie mkwanja Tu...
  2. kavulata

    Kukataza biashara 15 zisifanywe na wageni ni kupuyanga na kuwalisha wazawa vibovu

    Tunajua kuwa serikali imezuia wageni kufanya aina 15 za biashara hapa nchini. Nia ni njema ya kuwapa wazawa ajira. Hata hivyo Kuna wakati uwamuzi huu itasababisha wateja (wageni na wazawa) kulishwa huduma mbaya na wazawa wetu. Mfano, simu yangu ilipata hitilafu nikaipeleka kwa mafundi wengi wa...
  3. ndege JOHN

    Biashara zangu Bora kwa sasa hapa bongo NI apartments, pool tables, saloon.

    Bado kuna upungufu mkubwa wa nyumba na lodge aisee wageni nchini wanazid kuingia mambo NI MENGI wachina na watu kutoka Mataifa wanamiminika kwenye miradi.imagine anakuja mchina anakuta Una nyumban hujamaliza kujenga yuko tayari kukupa hela uimalizie finishing wahamie.cake ya TAIFA iliwe kila mtu...
  4. L

    Kama Unataka Kufunga Biashara Yako au Kupumzika Kufanya Biashara Kwa muda Fulani, Fuata hatua hizi

    Kama ukisajili biashara yako Brela na ukatalka kufunga au kuacha kufanya kwa muda hizi ni hatua za kufuata; 1. Funga jina la biashara Hapa Kuna processes kadhaa -Log in kwenye account yako ya Brela -Chagua new services -Chagua business name cessation Brela watakutaka uandike sababu ya wewe...
  5. Zanzibar-ASP

    Je, kiuhalisia Tanzania ni taifa la kibaguzi dhidi ya wageni wanaokuja nchini kufanya kazi na biashara?

    Unaweza usielewe vyema hii dhana ikiwa utaitazama kwa mlengo wa kishabiki, lakini ukielewa mantiki unaweza kukubaliana na hili. Tembea dunia nzima (kuanzia Kenya, Uganda, DRC, Rwanda, Namibia, South Afrika, Misri, USA, UK, Germany, Canada, China, Qatar, France nk), utakutana na utiriri wa...
  6. Mkalukungone Mwamba

    Aina za biashara zilizopigwa marufuku kwa wageni wasio raia

    Uuzaji wa bidhaa kwa jumla na rejareja (isipokuwa supermarket, maduka ya bidhaa maalum, na vituo vya jumla vya wazalishaji wa ndani). Uhamishaji wa fedha kwa njia ya simu (mobile money). Matengenezo ya simu na vifaa vya kielektroniki. Biashara ya saluni (isipokuwa kwenye hoteli au kwa shughuli...
  7. J

    Ifahamu biashara ya spea za pikipiki na bajaji (Sehemu ya Kwanza)

    KAMA UNA MTAJI NA UNATAFUTA BIASHARA YA KUFANYA? Umeshawahi kufikiri kuhusu biashara ya spea za pikipiki na bajaji? Hii ni moja kati ya biashara zinazokua kwa kasi sana, kwani maelfu ya vijana wamejiari kwenye boda boda na bajajiIdadi hii inaongezeka siku hadi siku, hivyo kufanya idadi ya...
  8. Prakatatumba abaabaabaa

    Kwa Million 8 nifanye biashara ya nafaka kwa njia ipi? Njia ninayowaza ni hii

    Wakuu, nipo Kigoma town, changamoto iliyopo hapa ni purchasing power ni ndogo, watu ni wachache kwahiyo mzunguko sio mzuri sana, Mimi ni mtumishi wa umma. Idea nilikua nayo kama 3. 1.phone accecories Huku charge wanauza 8000, protector 5000, n.k bei zipo juu kweli kweli, niliwaza kufanya hii...
  9. The Burning Spear

    Kwa nini watanzania hawapendelei Malipo kwa njia ya mtandao?

    GT Jambo moja ambalo huwa linanishangaza kwa watanzania ni kupenda kutumia cash katika manunuzi mbalimbali ya vitu. Faida za online transactions ni kama hizi hapa. 1. Kurahisa ukusanyaji waa kodi Kwa njia ya cash ni mtihani mzito maanake mpaka mfanya biashara awe mwamimifu kwa TRA.Lakkni pia...
  10. Mtu_imara

    Biashara ya kuuza ferniture Arusha

    Habari Wana jf naomba kuuliza nataka kufanya io biashara ya kuuza ferniture Arusha Mimi ni fund sofa ,bed sofa na pia niuze magodoro.naomba ushauri Wana Arusha inalipa uko
  11. Mtu_imara

    Biashara ya fenicha Arusha

    Habari Wana JF naomba kuuliza nataka kufanya hio biashara ya faniture Arusha. Mimi ni fundi sofa, bed sofa na pia niuzie magodoro. Naomba ushauri Wana Arusha inalipa uko
  12. ContentCreator

    Biashara hizi zimezuiwa kufanywa na wafanyabiashara wa kigeni

    Jana Waziri wa Viwanda na Biashara ametunga amri inayozuia wageni kutoka mataifa ya kigeni kufanya baadhi ya biashara kama zilivyoainishwa kwenye amri hiyo. Amri hiyo imetungwa kupitia kifungu Cha 14A(2) Cha Sheria ya Leseni za Biashara yaani Business Licencing (Prohibition of Business...
  13. Abdul Said Naumanga

    Jafo awazuia Raia wa kigeni kufanya baadhi ya Biashara Nchini

    Kumekua na malalamiko na mijadala juu ya uwepo wa utitiri wa raia wa kigeni, hususan Wachina, katika baadhi ya biashara, especially zile ndogondogo hadi zile za kati hasa katika maeneo ya Dar Es Salaam, na hata masokoni ya mikoani. Wengi wamehoji namna wageni hawa wanavyoingia sokoni kwa nguvu...
  14. L

    Hizi Ni Taarifa Zinazohitajika Wakati wa Kusajili Jina la Biashara

    Kusajili jina la biashara Kuna hitaji taarifa muhimu ikiwemo; 1. Jina la Biashara Hapa unatakiwa kuweka jina la biashara ambalo halifanani na jina lingine (Uzi wa siku ingine) 2. Anuani ya biashara Hapa una specify ni wapi hasa biashara yako itakuwepo. Kama huna sehemu maalumu kama ofisi...
  15. K

    Umasikini wetu umechagiwa na Biashara ya Siasa

    Wananchi tumekubali siasa kuwa biashara ndiyo maana kila mtu anakimbilia kwenye chaguzi. Bila kuvunja hii biashara na kufanya siasa kuwa witu hatutaweza kutoboa kama nchi Umasikini wetu umechagiwa na Biashara ya Siasa
  16. Mtu_imara

    Nina 1Milioni nifanye biashara gani?

    Ndugu zanguni Wana Jamiiforums naomba ushauri 1M nifanyie biashara gani na mkoa gani unafaa nije niwekeze
  17. MamaSamia2025

    Ukipata mfanyakazi anayeenda sawa na maono ya biashara yako usimvuruge

    Watu wanaoomba kazi kwa sasa ni wengi mno ila bado waajiri wana changamoto ya kupata wafanyakazi watakaoenda sawa na maono ya kampuni zao. Ni ngumu kupata kijana mchapakazi, mwaminifu na makini kuendana na biashara. Unaweza pata mchapakazi na smart ila akawa na hitilafu kwenye uaminifu. Au...
  18. The ice breaker

    Biashara ya majeneza

    Mwenye uzoefu na biashara ya kuuza majeneza , naomba experience especially kwa hapa dar. Mtaji Location demand Kila kitu
  19. R

    Marekani na Umoja wa Ulaya (EU) yafikia makubaliano ya 15% ya ushuru wa biashara kati yao

    Marekani imefikia makubaliano ya awali ya kibiashara na Umoja wa Ulaya siku ya July 27,2025, ambapo imeweka ushuru wa kuagiza bidhaa kutoka EU kwa kiwango cha asilimia 15 ikiwa ni nusu ya kiwango kilichokuwa kimetishiwa awali. Hatua iliyosaidia kuepusha vita vikubwa vya kibiashara kati ya...
  20. matunduizi

    Kama umefikisha miaka 40 na hujapata KAZI. Achana na kutafuta kazi omba kibali cha biashara

    Kwa umri huo hata matangazo MENGI ya ajira serikalini yanataka umri wa chini ya hapo. Una umri mfupi tu wa kufanya kazi baada ya hapo utastaafu ukiwa na Mafao kiduchu. Kama huna uzoefu wa unachokiomba ni vigumu kuaminika maana Bora achukuliwe kijana mwenye Ubongo mchanga na mbichi...
Back
Top Bottom