mahirtwahir
JF-Expert Member
- Jan 12, 2013
- 614
- 322
Waungwana naomba munisaidie mwenzenu nimejichanga na kupata TZS 40,000,000/ ila kwa kweli nimeshidwa kuona ni Biashara gani ya kufanya
Naomba msaada kwenye tuta wasichana wasije kuchungulia mifuko yangu
Naomba msaada kwenye tuta wasichana wasije kuchungulia mifuko yangu