biashara

  1. M

    Kero za ushuru wa biashara ndogo ndogo temeke

    Habari wanajikwaa Nimekua mfanya biashara mdogo katika halmashauri ya manispaa ya TEMEKE na changamoto ni kua wanakuja kuchukua ushuru kila siku sokoni lakini swali la kujiuliza mbona ushuru huu wa Tsh 500 kila siku umekuwa ukitolewa lakini wahusika hawatuboreshei mazingira ya kazi mfano...
  2. Netfasta - Web Hosting

    Natafuta adsense yenye site kama unayo njoo inbox tufanye biashara, 0718474600

    Natafuta adsense yenye site kama unayo njoo inbox tufanye biashara, 0718474600
  3. B

    Tunatengeneza viti vya pallets kwa biashara km cafe, pub, restaurants,,

    maboss zangu wale wenye pub,grosar, cafe, migahawa ya chakula.. nipeni oda niwatengenezee viti imara na vyenye muonekano mzur sana.. Nipo dar mbagala ila ad mikoani tunaenda kufanya kaz. Karibu tukupendezeshee biashara yako.. 0692477610
  4. B

    Tunatengeneza viti vya pallets kwa biashara km cafe, pub, restaurants..

    maboss zangu wale wenye pub,grosar, cafe, migahawa ya chakula.. nipeni oda niwatengenezee viti imara na vyenye muonekano mzur sana.. Nipo dar mbagala ila ad mikoani tunaenda kufanya kaz. Karibu tukupendezeshee biashara yako.. 0692477610
  5. B

    Tunatengeneza viti vya pallets kwa biashara km cafe, pub, na restaurants

    maboss zangu wale wenye pub,grosar, cafe, migahawa ya chakula.. nipeni oda niwatengenezee viti imara na vyenye muonekano mzur sana.. Nipo dar mbagala ila ad mikoani tunaenda kufanya kaz. Karibu tukupendezeshee biashara yako.. 0692477610
  6. N

    Biashara ya Chipsi: Faida na Changamoto kwa Mtaji wa TZS 2M

    Kutoka kwenye kichwa HapO Nina 2M nataka kufungua kibanda cha chipsi nimuweke jamaa maeneo Kati ya Goba Centre,Tegeta Nyuki na Mbezi Nifanye nini kuepuka 1.Kuibiwa na muuzaji maana Mimi nitakuwa naendelea na kazi zangu zingine 2.Changamoto na namna ya kuziepuka 3.Nifanye nini ili kuvutia...
  7. J

    Nyie Wajasiriamali zaidi ya 1,400 mnakumbuka mlivyopanga biashara zenu chini kabla ya Rais Samia hajatoa TZS27bn za ujenzi wa soko kuu la Mwanza?

    Rais Samia ametumia TZS26,61bn kujenga Soko Kuu Mwanza linalochukua wafanyabiashara 1,400 na maduka 500, maegesho ya magari zaidi ya 190 kwa Pamoja. Madhumuni ya Rais Samia ni kuongeza mapato ya ndani kwa halmashauri pamoja na kuhamasisha shughuli mbalimbali za kibiashara Ukanda Mzima wa ziwa...
  8. Scared

    Nimepigwa Tsh milioni 8 kwenye biashara ya uwakala kupitia mfanyakazi mzembe

    Aisee siku ya Jana imekuwa mbaya sana kwangu mfanyakazi wangu amenitia hasara ni hivi Kwa mujibu wake huyu binti walikuja jamaa wiki Moja kabla wakamuambia awape simu waweke laini akawapa wakati nilishamkataza asimpe mteja simu kilichotokea kumbe walisave jina langu namba yao kwenye simu yake...
  9. Crocodiletooth

    Air bnb,ni nini?,nawezaje kuanzisha biashara hii,inayoshika kasi kwa nyakati hizi.

    Wenye uelewa watujuze hii kitu,inafanywaje?,mazingira gani mazuri kwa biashara hii?, vyumba vya aina hufaa kwa biashara hii?je banda zuri la manyasi linafaa kwa biashara hii?vibali vyake vinapatikanaje?,jinsi gani utafawafanyia wateja bookings kutoka nje ya nchi,na mengineyo, Kwani,MH.Rais wetu...
  10. Justine Mitumba

    Nawashauri vijana wasiogope kuanzisha hata biashara ndogondogo

    Kwa sasa ajira ni Changamoto nawashauri vijana wasiogope kuanzisha hata biashara ndogondogo muhimu uwe na malengo tu Kwa wale ambao wanatamani kufanya biashara ya mtumba ninatoa ushauri bure kabisa tunapatikana Ipogolo Iringa na Morogoro soko la chief kingalu ukihitaji nicheki inbox au...
  11. L

    Wakuu nna biashara nyingine nauza

    Habari za Jumamosi Wakuu,nna biashara wakubwa zangu nauza,biashara hizo ni pamoja na (1)Samick 12 Channel Mixing Console Model no SM-1200p hii naitakia 500,000. (2)Jebson SD 1 Table top Mixer hii naitakia 400,000. (3)Lenovo Mini Laptop,Battery iko poa sana 2hr,hii naitakia 200,000.Naambatanisha...
  12. youngkato

    Kwanini Biashara Nyingi Zinakufa?

    Changamoto hizi zimeua biashara nyingi Tanzania. Zinafanya watu wakate tamaa, wauze mali zao, na wengine hata waache kabisa ndoto zao za ujasiriamali. Hapa chini nimekuletea changamoto kuu tano na mbinu za kuzishinda ili usiishie kwenye orodha ya waliokufa kibiashara. 1. Mzunguko wa Fedha (Cash...
  13. youngkato

    Jinsi ya Kutangaza Biashara Yako

    Jinsi ya Kutangaza Biashara Yako Tatizo kubwa linalowakumba wengi ni hili: wana bidhaa au huduma nzuri, lakini hakuna anayejua inapatikana. Siku hizi kelele ni nyingi sana unahitaji visibility. Hakikisha jina lako linaonekana popote mitandaoni, mitaani, na kwenye vinywa vya wateja wako. Hizi...
  14. FYATU

    Kwa nini hizi barabara za Mwendo kasi zifanye biashara?

    Kuwekwe kiwango fulani cha tozo kwa Gari binafsi kwa wale wanaotaka kutumia miundo mbinu hiyo ili kukwepa kero sugu ya foleni ya jijini Dar. Mathalani waweza kuchaji Gari dogo shilingi elfu hamsini kutokea Kariakoo au Ferry mpaka Mbezi au Kibaha au Chalinze siku wakifikia huko. Naamini kabisa...
  15. Melki Wamatukio

    Ana mtaji wa 100,000 anahitaji biashara ya kumpatia 10,000 tu kwa siku kama Net Profit

    Ni kijana wetu mdogo mdogo, ameachana na mateso ya kuajiriwa anataka kufanya biashara yake mwenyewe. Ana kijilaki chake cha mchongo, anahitaji kutengeneza 10,000 tu kwa mwezi Msaidieni kwa hilo, maake nimemuomba ajiunge na gereji yangu akasema hataki kuajiriwa
  16. youngkato

    Jinsi ya kusajili biashara yako ya Mtandaoni (Online Business)

    Jinsi ya kusajili biashara yako ya Mtandaoni (Online Business) Kama huwezi kuanza moja kwa moja na kampuni, usiogope anza na jina la biashara na mengine utamalizia kwa badae. Hapa chini kuna hatua kuu ambazo zitakuongoza ili usajili wako uwe rahisi, wa haraka na wa kisheria kabisa. Hatua ya...
  17. 1Africa54

    Sura Tatu za Dini ya Kisasa: Biashara, Udhalilishaji na Siasa

    Katika kipindi cha sasa, dini imeanza kuchukua sura mpya katika jamii ambayo inazua maswali mengi kuhusu uhalisia wake. Kwa baadhi ya watu, dini imepoteza dhima yake ya msingi ya kuwa chombo cha maadili, mshikamano, na uhusiano kati ya binadamu na Muumba wake. Badala yake, inatajwa kuwa njia ya...
  18. B

    TRA imetangaza wafanyabiashara wanaofanyia mtandaoni kujisajili biashara zao? Huu ni uonevu

    Sasa najiuliza maswali haya 1.inamaana mtu kama una duka lako na umelipa TRA ukafungua akaunti mtandaoni unalipia ya nini tena? 2.Kwenye zile ads/matangazo zile VAT niza nini? 3.Naponunua bando bado wanakata kodi 4.Vijana hatuna kazi tumeamua kuwinga biashara mtandaoni hatuna uwezo kulipa...
  19. E

    Mwanza samaki fresh: Tunatafuta Ushirikiano wa Kibiashara kwa yeyote anayejihusisha na biashara ya samaki na yupo mikoani basi tuaweza kuwasiliana

    MWANZA SAMAKI FRESH: Tunatafuta Ushirikiano wa Kibiashara Habari ndugu wanajamii JF: Mimi ni Emmanuel Mashack, mwanzilishi wa biashara ya Mwanza Samaki Fresh, tunajishughulisha na uuzaji na usambazaji wa samaki fresh aina ya Sato na Sangara kutoka Mwanza kwenda mikoa mbalimbali Tanzania. Kwa...
  20. B

    Vijana hasa Wakike wa Kaskazini ni Waaminifu ukiwachia biashara, hawana Kona kona Nyingi

    Pamoja na mapungufu yao. Hawa vijana wa kaskazini kanda za Arusha, Moshi, kilimanjaro n.k ni waaminifu kwenye biashara. Ukipata Mwanamke kutoka huko ukamkabidhi biashara mfano Duka, Pub, Mghahawa wanajua kupambania biashara kwa bidii. Pia hawana kona kona za leo hivi kesho vile ulilinganisha na...
Back
Top Bottom