basi

  1. BARD AI

    JamiiForums Tanzania Dereva wa Basi la Saratoga apigwa na Askari wa JWTZ

    Dereva wa basi la Saratoga linalofanya safari kutoka Dar es Salaam kwenda Kigoma, Yasini Shabani (45), ameshambuliwa kwa kupigwa maeneo mbalimbali ya mwilini na Askari wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), anayejulikana kwa jina la Emmanuel Peleka baada ya basi hilo kulipita gari la JWTZ katika...
  2. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Tunabaguliwa kiaina flani hivi naona sema basi tu.

    Sisi ambao tunakuwa sana nje ya nchi tukirudi tunabaguliwa sana. Sababu ya pamba tunazopiga na pesa. Yaani hata mademu unaona kabisa wanatubagua. Wanataka sisi kwetu wawe hivyo na kwa ninyi wawe vile. Serikali iangalie suala la uraia pacha pia. Humu JF wengi ni Watanzania tunaoishi nchi za ukweli.
  3. Mamujay

    JamiiForums Tanzania Niko kwenye basi lina mende balaa sheria zinasemaje

    Natoka Tanga kuja dsm niko kwenye basi lina mende balaa zinazunguka kwani sheria za usafi ziko vp
  4. Mganguzi

    JamiiForums Tanzania Kama mnayoyasema ni kweli, basi muombeni msamaha marehemu Benard Membe

    Ametutoka huyu mwamba na sauti zinasikika kutoka pande zote za nchi ya kwamba huyu mtu alikuwa hazina ya taifa ni kweli. Inawezekana alikuwa hazina lakini kwa makusudi mliamua kumpuuza..membe kama kweli hizo sifa mnazompa ndizo basi mliamuaje kumpiga benchi kijana wa kitanzania na...
  5. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Kama mlikuwa hamlijui hili kuhusu Marumo Gallants FC basi leo mlijue

    1. Kwao huwa hawafungiki na Wageni 2. Kwao hucheza kwa Spidi ya Kutukuka na isiyoelezeka 3. Uwanja wao wa Nyumbani ni mkubwa na mpana kuliko mbovu wa Jangwani na wa Watalii wa Kigamboni 4. Wakiwa Kwao wana Fitna za Kisayansi. 5. Usithubutu Kuwaroga kwani licha ya Wao Kuujua huo Uchawi ila...
  6. kmbwembwe

    JamiiForums Tanzania Ndege ya ATCL iliyokamatwa uholanzi mbona hatuambiwi chochote; au ndiyo basi tena?

    Huku nyuma awamu ya 5 kila jaribio la wale nawaita wahuni kushika ndege za ATCL ili kulipwa madeni ya mchongo na Tanzania yamekua yanashindwa na ndege zimekua zinaachiwa baada ya muda mfupi. Wakati wa awamu ya 5 tuliona pale jaribio la kushika ndege ya ATCL kule afrika ya kusini liliposhindwa...
  7. Slowly

    JamiiForums Tanzania Ukitaka kujipima kama una upendo wa kweli na uvumilivu basi fuga mbuzi wa kienyeji

    Kuwafuga hawa wanyama inahitaji uvumilivu wa Hali ya juu na upendo uliotukuka vinginevyo utakuwa unavunja mguu wa mbuzi kila sku. Wana visirani na viburi sijawahi ona. Picha linaanza akikata kamba aisee atakupigisha tizi moja sio ya nchi hii na ukimkamata ukaanza kumvuta na kamba yake...
  8. Sildenafil Citrate

    JamiiForums Tanzania Cyprian Musiba atakiwa kumlipa Membe Tsh. Bilioni 9 ndani ya siku 14

    Mahakama Kuu ya Tanzania imempa siku 14 za kazi mmiliki wa Gazeti la Tanzanite, Cyprian Musiba na wenzake watatu kumlipa Waziri wa Mambo ya Nje Mstaafu, Benard Membe TZS bilioni 9.92 kama fidia ya kumchafua kupitia vyombo vya habari. Mahakama imetahadharisha deni hilo lilipwe ndani ya muda...
  9. Teslarati

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Huyu mwanamke alikuwa anaonyesha u-wife material ila baada ya kumwambia sitafuti business partner nataka mke basi kaanza kutafuta njia ya kuondoka

    Wanawake jifunzeni basi, hata kama mme wako nakushirikisha mara chache kwenye deals zangu za biashara usijiweke uhusika ambao sijakupa. Kuna mwanamke nimezaa nae na anakaa kwenye nyumba yangu huko mkoani, mimi nipo zangu hapa Town nimeajiriwa ofisi fulani na nimepanga ila mara kwa mara huwa...
  10. Chizi Maarifa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Aaargh.... Hii Dunia hii. Watu wa hivi wanakuwa NDO BASI TENA Maskini!

    Tuvijana twa siku hizi.... Tunapenda sana. 1. Kulelewa na mijimama 2. Kudanga 3. Kuwa Chawa 4. Kuwa NDO BASI TENA (MASHOGA) Yaani hawataki kazi za wima, kazi sugu na kazi za kazi. Wanataka kuinama tu au kukalia kitu wapate pesa. Yaan unashangaa kakijana kanamwona mmama ana gari kanaanza...
  11. S

    JamiiForums Tanzania Kama sijakutakia Heri ya Eid basi ujue sikutaki, punguza harakati zako

    Mapenzi yana nguvu sana. Yule ninaye mopenda toka moyoni nimemtumia Heri ya Eid tangu Jana saa 2 usiku lakini wewe ambaye umejifaragua na kunitumia salaam imekula kwako. Unatumika tu kama ATM. Poleni nyote msiopendwa, ambao bila kuanza wewe kutoa salaam kwa mpenzi wako, hupati salaam toka kwake.
  12. anti-Glazer

    JamiiForums Tanzania Siasa kwenye elimu. Kila goli tsh 5000000, basi ili watoto wajue kusoma Kila mwl posho 200,000.

    Ndg wanajamii Kuna mambo yanaendelea lakin ukweli ni maslahi pekee. Sasa pamoja na challenge zote Bado Kuna matatizo ya kimfumo. Mwl na koi saw key performance indicator zitapatikana vyuoni au maekelezo??
  13. T

    JamiiForums Tanzania Job Ndugai aliachia kiti kwa ubashiri wake tu! Huyu aliyepo anashirikiana na wezi? Basi ang'olewe haraka sana!

    Nina imani na wabunge wazalendo walioko Bungeni ambao hawana hatia juu ya ubadhirifu ulioibuliwa na CAG, hawaungi mkono mafisadi kupewa miezi sita ili hatua kuchukuliwa! Lakini pia, Karibu 90% ya wananchi hatuungi mkono hoja ya mh Sipika kuyapa miezi sita majambazi ya CCM Kipindi cha...
  14. MOSHI UFUNDI

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna basi inatoka Tanga kwenda Tabora?

    Msaada tafadhali anaefahamu.
  15. Mr Why

    JamiiForums Tanzania Raisi anapokuwa dikteta basi huondolewa madarakani kwa nguvu

    Rejelea kifo cha maraisi wakiwemo Saadam Hussein, Gaddaf na wengineo wengi ikiwemo wa Africa kama Idd Amin na wengineo hii inadhihirisha kuwa raisi anayekandamiza demokrasia basi hung'olewa madarakani kwa lazima. Marekani haitakuwa tayari kuwaacha maraisi wenye tabia kama hizi kuendelea...
  16. Hemedy Jr Junior

    JamiiForums Tanzania Hivi Mchakamchaka bado upo shuleni au ndio basi tena?

    Tuna watoto mandazi sana siku hizi, hata Michezo imepungua ya kumjenga mtoto kiakili kwanini mambo machafu yasipate nafasi. kuna maana kubwa ya kuwepo michezo tofauti tofauti katika maisha yetu.
  17. B

    JamiiForums Tanzania Chanzo zcha ajali za mabasi ya abiria ni abiria wenyewe

    Ajali za barabarani zinaepukika ukiachilia mbali matatizo ya kibinadamu. Kuna sababu nyingi sana zimekuwa zikitajwa, lakini mimi niseme mbali na sababu zote hizo zinazotajwa chanzo kikubwa ni abiria wenyewe. Sijui ni ukosefu wa elimu ya kwa Watanzania au kudharau au kuona muda wote Mungu yupo...
  18. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Dar: Basi la Burudani kutoka Korogwe Tanga, lapata ajali Mbezi

    Watu kadhaa wanasadikiwa kupoteza maisha huku wengine wakijeruhiwa, kufuatia ajali iliyotokea maeneo ya Mbezi Luguluni, ikihusisha Basi la kampuni ya Burudani, lililokuwa likitokeaa mkoani Tanga kuelekea Dar es Salaam, ambapo basi hilo linadaiwa kuwa lilikuwa kwenye mwendokasi, hivyo wakati...
  19. Yofav

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ikiwa haya yatafanyika, basi ndoa zitadumu

    Hey there, Inakuwaje wadau wa humu ndani... Hope mpo poa na kama kuna tatizo lolote yeyote alienalo basi maombi yangu kwake ni Mungu amfanyie wepesi. Twende kwenye mada. Marriage/Ndoa imekuwa ni big issue hasa humu kwenye platform ya JF, Huku kukiwa na makundi mawili (wanaounga mkono ndoa na...
  20. mdukuzi

    JamiiForums Tanzania FBI walivyomdaka Thomas Lyimo 1998. Hata kama huwapendi wamarekani, basi tuwaheshimu tu

    Huyu Bwana yuko zake Kimara Bucha kwenye kasri au tuite hekalu lake mithili ya ikulu ndogo ya Singida, anakula bata huku akilea wajukuu, ameshazeeka sasa. Yeye na kizazi chake walipigwa ban wasikanyage USA wala kusogelea ubalazi wao. Wakati ubalozi wa Marekani unalipuliwa nchini pamoja na...
Back
Top Bottom