Basi la kwenda Dodoma

Mzee Saliboko

JF-Expert Member
Jan 29, 2018
1,204
885
Habari za wakati huu wadau, poleni na majukumu ya kufuatilia mkataba na maandamano. Kwa yeyote anayefahamu kama kuna usafiri wa kutoka Dar es Salaam to Dom siku za Jumamosi alasiri namaanisha kuanzia saa tisa na kuendelea anijuze plus jina la basi.
 
Back
Top Bottom