bagamoyo

Bagamoyo, Tanzania, is a town founded at the end of the 18th century, though it is an extension of a much older (8th century) settlement, Kaole. It was the capital of German East Africa and was one of the most important trading ports along the East African coast along the west of the Indian Ocean. In 2011, the town had 82,578 inhabitants and is the capital of the Bagamoyo District.

View More On Wikipedia.org
  1. R

    JamiiForums Tanzania Wizi wa pikipiki wilaya ya Bagamoyo

    Polisi Bagamoyo tusaidieni jamani pikipiki zinaibiwa kila siku, madereva wanaumizwa tunawaomba mchukue hatua stahiki kwa wahusika uhalifu unazidi siku hadi siku siku.
  2. dalalitz

    JamiiForums Tanzania Viwanja Pacha vyenye Hati Miliki Vinauzwa MBWENI-Maputo

    Ni Viwanja 'pacha' kwa Matumizi za Shughuli za makazi. Vinauzwa vyote kwa pamoja au kimojakimoja. Eneo: MBWENI-Maputo, Maarufu kama Kwamasista. Ukubwa: Kimoja ni SQM 1227, Kingine ni SQM 1234. Jumla Viwanja vyote vina eneo la ukubwa wa SQM.2451. Umiliki ni HATI MILIKI ya Wizara ya...
  3. Gea1

    JamiiForums Tanzania Viwanja vilivyopimwa Bagamoyo Mjini na Morogoro Msamvu

    Karibuni, viwanja vipo Bagamoyo karibu na ofisi za mradi wa malaria kwa mkoa wa pwani. na km 1 kutoka bahari ya Hindi. MOROGORO, vipo Morogoro Kwa mkundi makunganya.. bei kwa square metre ni sh 10000 Jirani na ENGEN PETROL STATION. UMEME UPO. BARABARA YA KWENDA DODOMA,, hata kiwanja cha kujenga...
  4. T

    JamiiForums Tanzania Nahitaji shamba ekari 2, maeneo ya Bagamoyo au Mlandizi

    Wadau habari, nahitaji shamba eneo la mlandizi au bagamoyo. Eneo liwe linafikika kwa barabara ya gari na liwe flat. Ukubwa ni isipungue ekari 2.
  5. BIN BOR

    JamiiForums Tanzania TANESCO Bagamoyo imulikwe - ni hujuma au magendo?

    Kuna tabia imezuka kwa muda sasa, ikifika saa moja au mbili usiku wanakata umeme. Hakuna mvua au radi (ambavyo huwa visingizio vyao) au maelezo yoyote yanayotolewa na kisha baada ya lisaa hivi ndipo wanarudisha. Wiki imetokea hivi kila siku. Wakazi wa huku tunajiuliza kuna nini? Zamani za...
  6. S

    JamiiForums Tanzania Drive in lodge tupo Bagamoyo road

    Sasa Mambo yamerahisishwa ni rahisi sana kuishinda njaa na kiu kwa wewe dereva au abiria unayeelekea Dar,Tanga,Arusha kupitia Bagamoyo road. Drive in lodge tunatoa huduma kuanzia Breakfast,Lunch & Dinner. *Supu ya kuku/kienyeji inapatikana,Kama mtakuwa watu zaidi ya watano mnahitaji tafadhali...
  7. K

    JamiiForums Tanzania Wachina wanasubiri Rais Magufuli aondoke kwenye bandari

    Mradi wa bandari ya bagamoyo ambao ulikuwa mbaya sana haujafutwa kwa ujumla wake. Kuna watu wengi serikalini wamekaa mkao wa kula wakisubiri Magufuli aondoke ili warudishe mradi kwa manufaa yao binafsi. Kuna watu wengi sana walikuwa wameshawekwa mfukoni. China watahakikisha wanatumia kila namna...
  8. Empower Africa

    JamiiForums Tanzania Ajira Chuo kikuu kishiriki cha Marian- MARUCO cha Bagamoyo

    Chuo kikuu kishiriki cha Marian- MARUCO kilichopo Bagamoyo kinatangaza nafasi za assistant lecturer, lecturer na senior lecturer katika masomo ya Chemistry, Physics, English, History na Economics Vigezo ni 3.5 undergraduate na 4.0 Masters (Minimum requirements) Kwa maelezo zaidi I have...
  9. No Escape

    JamiiForums Tanzania Naomba kujuzwa Garage ya uhakika Bagamoyo Road

    Habari za "Usiku huu wa Manane" Naomba msaada wa garage makini na ya uhakika iliyopo barabara ya Bagamoyo ambayo naweza kufanya service kubwa ya gari langu nina safari ndefu next week. Ahsanteni.
  10. Valencia_UPV

    JamiiForums Tanzania Madam Sepenga kujenga SHOPPING MALL Bagamoyo

    Katika kuitikia wito wa kuwekeza nchini. Tanzania Sweetheart ameamua kujenga Shopping Mall kubwa mjini Bagamoyo **Hongera Madam
  11. Waziri wa Kaskazini

    JamiiForums Tanzania Mradi wa bandari Bagamoyo pamoja na Magufuli kusema ni wakinyonyaji lakini unatekelezwa!!!

    Nimeangalia kipindi Azam Tv wanaonyesha namna ya huu mradi utakavyo kuwa, yaani Tanzania haitatumia hata sent tano... Lakini Magufuli alisema huu mradi ni wakinyonyaji na haufai kutekelezwa lakini leo nimeona kwenye kipindi Azam Tv wakisema mradi utaanza kutekelezwa.. Ni kweli huu mradi wa...
  12. Kurunzi

    JamiiForums Tanzania Bagamoyo: Mitishamba ya kuongeza nguvu za kiume yadaiwa kusababisha vifo vya vijana Wanne

    Vijana wanne wamepoteza maisha baada ya kunywa dawa ya kienyeji ya mitishamba inayodaiwa ya kuongeza nguvu za kiume. Mkasa huo umetokea Huko Bagamoyo Maeneo ya Kiromo, ambapo vijana hao ambao kwa umri wao ni kama miaka 25-30. Kwa mujibu wa taarifa ya mmoja wa marehemu alijulikana kwa jina la...
  13. esther mashiker

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli ataja sababu kusitisha ujenzi bandari ya Bagamoyo kwa Mkopo wa Dola Bilioni 10

    RAIS John Magufuli amesema sababu kubwa ya kusitishwa kwa ujenzi wa bandari ya Bagamoyo ni masharti magumu yaliyomo katika mkataba wa utekelezaji wa kazi hiyo. Jiwe la msingi la ujenzi wa bandari hiyo liliwekwa na Rais mstaafu Jakaya Kikwete mwaka 2015 na ulitarajiwa kugharimu dola za Marekani...
  14. MK254

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tanzania govt admits, no progress on Bagamoyo port project

    Dodoma. The government admitted yesterday that it has not made progress with the implementation of Bagamoyo port project because of failing to reach an agreement with Oman and China, who are the project implementing partners. In November, 2017, Oman’s State General Reserve Fund (SGRF) announced...
  15. NairobiWalker

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Lamu and Bagamoyo Ports Progress

    A few years ago Kenya announced grand plans to construct Africa's largest infrastructure dubbed LAPSSETT which would see a modern port in Lamu, then poised to be the largest in Africa, served with a modern network of Rail and Roads to all her neighbors. A few months later Tanzania responded with...
  16. Informer

    JamiiForums Tanzania AfDB gives Tanzania $1.1 billion for railway, Bagamoyo port

    Benki ya Maendeleo ya Afrika(AFDB) imeipatia Tanzania mkopo wa Dola bilioni 1.1, utakaotolewa kwa awamu kwa kipindi cha miaka mitano kwa ajili kuhudumia miradi ya ujenzi wa miundombinu. ======================== The African Development Bank (AfDB) has approved a loan package worth $1.1 billion...
  17. kbm

    JamiiForums Tanzania Serikali yasitisha Ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo. Kuimarisha Bandari za Mtwara, Dar

    The Construction of the 10 billion (about Sh22 trillion) Bagamoyo Port has been suspended, The Citizen has learnt. The government wants to focus instead, on improving the capacity, performance and efficiency of the Mtwara and Dar es Salaam ports. The Minister for Works, Transport and...
  18. Geza Ulole

    JamiiForums Tanzania Tanzania dreams big with port project at former slave harbour

    Tanzania dreams big with port project at former slave harbour Sun Mar 15, 2015 8:47am GMT By Edith Honan BAGAMOYO, Tanzania (Reuters) - In its heyday, Bagamayo was a gateway to the heart of Africa for colonisers, with trade goods surging in from the Indian Ocean, and timber, ivory and...
  19. U

    JamiiForums Tanzania Zanzibar ndani ya Tanganyika ilianzia huku

    Nianze kwa kunukuu tangazo nililokuta Bagamoyo, nilipokwenda katika shughuli zangu za kutoa ushauri kuhusu maendelezo bora ya ardhi eneo la makurunge ili kunogesha mjadala katika makala yangu leo ubaoni. Tangazo liliandikwa hivi: TAHADHARI! USIKUBALI KUNUNUA ARDHI/SHAMBA KATIKA ENEO LILILOKUWA...
  20. nngu007

    JamiiForums Tanzania Bagamoyo port construction censured

    Tue, Apr 9th, 2013 Tanzania Zanzibar Revolutionary Government has been advised to convince their counterparts in the mainland to stop Bagamoyo port construction and instead build it in Zanzibar. An aerial view of Dar es Salaam port, whose limitations stakeholders hope the new Bagamoyo port...
Back
Top Bottom