Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,643
- 218,099
Hii ndio taarifa iliyozagaa Mkoani Pwani baada ya Jeshi la Polisi Mkoani humo kumkamata kwa style ya kumteka Mwenyekiti wa CHADEMA Jimbo la Bagamoyo Mh Mathayo Torongei na kumnyima dhamana kwa zaidi ya siku 7 na kugoma kumpeleka Mahakamani , jambo ambalo ni kinyume cha sheria za nchi .
Mpaka sasa haijulikani kosa lake na wala haifahamiki sababu hasa za Polisi kuvunja sheria za nchi kwa kumshikilia bila kumpeleka Mahakamani .