Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 21,339
- 51,882
Kwema Wakuu!
Ni ngumu Sana kukuta upendo Kwa watoto ambao hawajalelewa na Baba na Mama, hiyo ndio sababu siku hizi kwenye jamii upendo wa wengi umepoa.
Mtoto asipolelewa na wazazi wawili, Baba na Mama yake hisia na vyanzo vya upendo hufa POLEPOLE Kwa uhakika.
Kuachana Kwa wenza, Baba na Mama huathiri hisia za mtoto.
Huwezi ukamlea mtoto wewe mwenyewe bila mwenza wako alafu akakupenda huyo mtoto, labda mwenza wako awe amekufa, hiyo ni tofauti na kutengana.
Moyo wa mtoto aliyelelewa na wazazi waliotalakiana umepasuka mapande mawili, ni ngumu Sana kukuta upendo wa kweli kwake, Labda iwe Exceptional
Hivyo, ni vyema Kama wazazi kuhakikisha tunalea watoto wetu tukiwa Baba na Mama.
Usiku mwema!
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Dar es salaam
Ni ngumu Sana kukuta upendo Kwa watoto ambao hawajalelewa na Baba na Mama, hiyo ndio sababu siku hizi kwenye jamii upendo wa wengi umepoa.
Mtoto asipolelewa na wazazi wawili, Baba na Mama yake hisia na vyanzo vya upendo hufa POLEPOLE Kwa uhakika.
Kuachana Kwa wenza, Baba na Mama huathiri hisia za mtoto.
Huwezi ukamlea mtoto wewe mwenyewe bila mwenza wako alafu akakupenda huyo mtoto, labda mwenza wako awe amekufa, hiyo ni tofauti na kutengana.
Moyo wa mtoto aliyelelewa na wazazi waliotalakiana umepasuka mapande mawili, ni ngumu Sana kukuta upendo wa kweli kwake, Labda iwe Exceptional
Hivyo, ni vyema Kama wazazi kuhakikisha tunalea watoto wetu tukiwa Baba na Mama.
Usiku mwema!
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Dar es salaam