baada

The Bardi people, also spelt Baada or Baardi and other variations, are an Aboriginal Australian people, living north of Broome and inhabiting parts of the Dampier Peninsula in the Kimberley region of Western Australia. They are ethnically close to the Jawi people, and several organisations refer to the Bardi Jawi grouping, such as the Bardi Jawi Niimidiman Aboriginal Corporation Registered Native Title Body (RNTBC) and the Bardi Jawi Rangers.

View More On Wikipedia.org
  1. Richard

    Iran yaomba ruhusa FIFA kuhamishia timu yake ya taifa Mexico baada ya kugundulika wachezaji, makocha na maofisa wote wamepitia mafunzo IRGC.

    Ijumaa ilopita Iran wamezungumza na shirikisho la kandanda Duniani FIFA kuomba kuhamisha timu yake ta taifa ya kandanda na maofisa wote wanoandamana na timu hiyo nchini Mexico, baada ya kukikiri kuwa wachezaji karibu wote wamepitia mafunzo maalum kutoka jeshi maalum la mapinduzi la Iran maarufu...
  2. P

    Tanzania tuna import maji kutoka nje baada ya miaka 64 ya uhuru

    Hii chupa ya dripu ina nusu lita ya kimiminika aina ya ‘maji’. Lebo hapo inasema "0.9% w/v" Sodium Chloride (chumvi). Kwa kifupi, maana yake ni kwamba 99.1% ya hii chupa ni maji. Kwenye hii dripu ya 500 ml, kuna gram 4.5 ya chumvi. Kilichobaki 495ml ni maji. Haya maji yamekuja kutoka India kwa...
  3. A

    KERO Kutohama kwa Mshahara wa Mtumishi baada ya kuhama kutoka halmashauri moja kwenda nyingine

    OW-TAMISEMI wanatumia vigezo gani kuhamisha mishahara na taarifa za utumishi? Kama wanataka rushwa waseme ili niwatumie wanihamishie taarifa zangu, haiwezekani mwaka wa pili huu tangu nihamie halmashauri nyingine lakini taarifa na mshahara zinasoma halmashauri nilikotoka hii siyo sawa...
  4. Huihui2

    Selasini arudi CHADEMA baada ya kukihama NCCR

    Hili ni kokoro linasomba yeyote yule. Maisha ya Ajabu sana. Leo hii Selasini aliyekaribishwa na Mbatia NCCR alimtimua Mbatia aaliyemkaribisha baada ya kutumiwa na TISS. Huyu pia alitumika kudhoofisha NCCR ya akina Mabere / Mrema miaka ya 1990s Selasini ni bingwa wa siasa za majungu, unafiki na...
  5. Lycaon pictus

    Baada ya Trump kukosa points Iran sasa anataka kuzipata kwa Cuba?

    Trump alijua vita ya Iran itamuongezea points na MAGA wenzake kuelekea uchaguzi wa wabunge na magavana mwezi Novemba. Kilichotokea ni amepoteza points nyingi. Sasa juzi serikali yake imemfungulia mashtaka Raul Castro kwamba mwaka 1996 akiwa waziri wa ulinzi kwenye serikali ya Fidel Castro...
  6. ndege JOHN

    Mimi sifanyi maombi yoyote zaidi ya kusali sala ya baba yetu uliye mbinguni kila baada ya lisaa limoja

    mimi ni mkristo nishaamuaga sifanyi maombi yoyote sijui kuombea taifa sijui kuombea mambo mbalimbali mara kulia sijui kunena kwa lugha sijui kusali rozali mimi huwa nasali sala moja tu..ya baba yetu uliye mbinguni na huwa nasubiri ifike saa fulani kamili..07;00,08;00 n.k kwa hiyo kwa siku...
  7. loose Nut

    Hata Merino ambaye ni majeruhi alirukaruka kwa furaha baada ya Arsenal kutwaa ubingwa

    Kwenye Video hapo chini usiku wa kuamkia leo Kikosi kizima cha Arsenal kilikuwa Kwenye chumba uwanjani kwao Emirates wakifuatilia mubashara mechi kati ya City na Bournemouth. Unaweza kumuona Martinelli akikata tamaa baada ya Haarland kusawazisha goli. Lakini baada ya kipenga cha mwisho ni...
  8. loose Nut

    Hongera ARSENAL kwa kutwaa Ubingwa wa Premier League 2025/26 baada ya kupita Miaka 22

    Arsenal imetwaa ubingwa wa Premier League 2025/26 baada ya Manchester City kulazimishwa sare ya Goli 1-1 kutoka kwa Bournemouth, matokeo hayo yanamaanisha hakuna timu itakayoweza kufikia alama za Arsenal na zote zikiwa zimesaliwa na mchezo mmoja. Hadi sasa Arsenal ina pointi 82, Man City ni ya...
  9. W

    Kenya ya kushusha bei ya mafuta baada ya Maandamano

    Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Petroli nchini Kenya (EPRA) imetangaza marekebisho mapya ya bei za mafuta, Katika mapitio hayo, bei ya dizeli imepunguzwa kwa Sh10.06 kwa lita, huku mafuta ya taa yakiongezeka kwa Sh38.60 kwa lita, wakati bei ya Super Petrol ikibaki bila mabadiliko. Mabadiliko...
  10. Q

    Kenya yapunguza bei ya mafuta baada ya kutokea maandamano

    Mamlaka ya Kudhibiti Nishati na Petroli nchini Kenya (EPRA) imetangaza kupunguza bei ya dizeli kwa Shilingi za Kenya 10.06 kwa lita baada ya shinikizo kutoka kwa waendeshaji wa sekta ya usafiri waliopinga ongezeko kubwa la bei ya mafuta. Katika mapitio mapya yaliyotangazwa Jumatatu jioni, bei...
  11. O

    “Msikiti Geuka Crime Scene!” Lamu Wakazi Wabaki na Hofu Baada ya Sheikh Kuchinjwa Wakati wa Swala

    Wakazi wa Faza, Lamu East bado wako kwa shock baada ya msiba wa kutisha kutokea ndani ya msikiti mchana kweupe. Mwanaume mmoja mwenye umri wa miaka 33, anayejulikana kama Khalid Maka, aliuawa kwa kuchomwa kisu akiwa ndani ya Faza Jamia Mosque wakati wa swala. According to taarifa za polisi...
  12. D

    Baada ya kumhudumia vya kutosha ananikataa; anasema Nina sura ngumu kama wimbi la uji!😠

    Wakati tunaanza na kumpatia uhakika wa huduma alikuwa anatoa ushirikiano nzuri tu kunipatia sifa kedekede za 'uhandsome'. Leo, baada ya kuyafikia malengo yake kwa asilimia kubwa, amenizingua kwa kauli kama hiyo. Nimfanyie uhuni gani. Nje ya mada; hivi miaka 40+ unaweza kumpata bint wa 2005 kuja...
  13. Mohamed Said

    Picha ya Makatibu wa Kwanza Tanganyika Baada ya Jamuhuri 1962

    Hii ni picha ya makatibu wa kwanza baada ya nchi yetu kuwa jamhuri mwaka1962. Katika picha hii walikuwa wamebaki watatu waliohai kabla ya kufariki dunia Paul Sozigwa aliye wa pili kulia msitari wa pili. Tunao waombea mmaisha zaidi ni fredrick mchauru 97yrs aliye wa pili kushoto mstari wa pili...
  14. loose Nut

    Baada ya Buyobe na wasiwasi pia Bagonza

    Baada ya Fortunatus Buyobe kuanikwa nina hofu na wasiwasi pia na askofu Bagonza. In your life don't trust anyone even your own shadow you'll survive. Always seek divine guidance. adriz de mbusii
  15. kiredio Jr

    Baada ya kupima HIV, japo matokeo ni mazuri lakini siamini

    Ni feeling Gani unaipata baada ya kupima HIV na kukuta upo salama yaani Negative? Hasa baada ya kushiriki tendo bila Kinga, kupata wasiwasi hasa baada ya kuwa na mgogoro wa kiafaya kama kupata homa za mara Kwa mara, tumbo kusumbua na uchovu? Wadau, au nikapime mara ya pili maana baada ya...
  16. Zack Abdul

    Inuka Tena Baada ya Kuanguka: Somo la Maisha

    Kaa chini kwa dakika chache na utafakari maisha. Fikiria watu uliowahi kuwaona wakifanikiwa sana — leo hawapo tena. Fikiria wafanyabiashara waliotikisa miji kwa utajiri wao — leo majina yao hayasikiki. Fikiria kampuni zilizokuwa kubwa, maduka yaliyokuwa yamejaa watu, biashara zilizokuwa...
  17. Financial Analyst

    Unaitazama na kuitathimini vipi Tanzania ya baada ya miaka 50 kutoka leo?

    Karibuni🇹🇿
  18. Mwizukulu mgikuru

    Kuna haja gani ya kuchafuana baada mahusiano kuvunjika?

    Mmeamua kuachana si kila mmoja aondoke kimyakimya...ishu za kuchafuana zina umuhimu wowote? eti wakuu🤔
  19. Zack Abdul

    Mwanamke Anayerudi Baada ya Mafanikio

    Mwanamke kukuacha wakati wa struggles inaweza kueleweka. Lakini kumrudisha baada ya wewe kusimama tena — hiyo inaweza kuwa kujisaliti mwenyewe. Wapo wanawake ambao hawawezi kuvumilia kipindi kigumu cha mwanaume. Kipindi cha kujijenga. Kipindi cha uncertainty. Kipindi ambacho maisha bado...
Back
Top Bottom