Je hii ni kweli: Baada ya kutoka Urusi kaenda Oman Ujombani?

Je hii ni kweli: Baada ya kutoka Urusi kaenda Oman Ujombani?

Kommando muuza madafu

JF-Expert Member
Joined
Aug 30, 2022
Posts
3,442
Reaction score
7,660
Taarifa za kufuatilia mienendo ya ndege imeonesha Mheshimiwa Rais kaende Oman baada ya kutoka Russia.

Je kwanini kaenda huko bila kutoa taarifa? Je ndege ikipata hitilafu na ikatokea ajali huko, watatuambia nini sisi tuliomchagua?
1780727585285.jpg
 
Maeneo hatarishi kweli hayo, alhamdulilah, mara tusikie bahati mbaya, rocket kang'aa, mtu challi, aisee.
 
Taarifa za kufuatilia mienendo ya ndege imeonesha Mheshimiwa Rais kaende Oman baada ya kutoka Russia.

Je kwanini kaenda huko bila kutoa taarifa? Je ndege ikipata hitilafu na ikatokea ajali huko, watatuambia nini sisi tuliomchagua?
Labda alifikiri anafanya siri bila kujua dunia ya sasa hakuna siri!
 
Back
Top Bottom