audio

  1. F

    Ukisikiliza audio ya kocha wa Yanga, ameongea ukweli mtupu. Uongozi wa Yanga haupendi kuambiwa ukweli

    Habari wadau, Nimesikiliza Audio ya kocha wa Yanga maneno aliyoyasema ni ya kweli tupu. Mimi ni mwanayanga ila sijasikia sehemu akitutukana. Viongozi wa Yanga wameibadilisha tafsiri ya maneno ya kocha ili walinde vibarua vyao na kujitetea maovu yao kwa mashabiki. Kocha amesema anashangaa...
  2. mathsjery

    Nimeeleza hapa kuhusu kubadili video yoyote kuwa audio

    kuna jamaa kaniuliza kuhusu software inayoweza kubadili video kuwa audio, huyu jamaa anajiita EINSTEIN112 kwa hiyo nimeona nifungue huu uzi hapa. Kwa kuwa kule kulikuwa na uzi unaohusu mambo mengine. Karibu we jamaa. Ndugu, Nafikiri kuna software kibao ziko sokoni kwa ajili ya kazi hiyo...
  3. P

    Audio Battle: Ipi bora kati ya nyimbo hizi?

    StarBoy Wizkid__Joro vs Davido__Risky Kama umewahi kusikiliza hizi mbili ipi kali zaidi kwa upande wako?
  4. chiembe

    Wizara ya Elimu imeshindwa kuandaa audio na video ya vipindi vya masomo mbalimbali?

    Karne hii ya kidigitali wizara hii inafanya ? Vifaa vipo, walimu wapo wa kurekodi, nini shida? Kwa kila topiki tena na nyenzo za kufundishia Hii Wizara iamke usingizini
  5. Kiyoya

    Software gani nitume kukonvert audio tape kwenda digital

    Wataalam habari zenu ninaaudio tape za miaka hiyo natafuta namna gani huu music naweza weka ktka digital.
  6. Mr Why

    Audio Mpya

    Hello nimewaletea Audio Mpya hebu tusikilize alafu mtoe mawaidha yenu.
  7. Mr Why

    Tanzania Yapata Mwanamziki Mpya

    Tanzania yapata Mwanamuziki Mpya. Hayo yametokea hivi karibuni baada ya Mwanamziki huyo Paw Sixs wa miondoko ya Pop kuachilia kibao chake cha "Ooh" Sasa unaweza kusikiliza kibao chake
Back
Top Bottom