audio

  1. O

    AUDIO DOCK ZA SAMSUNG KAMA DA-E750, DA-E670, and DA-E550, IPI NI BORA ZAID KATI YA HIZI NAFIKIRIA HII 550 KAMA KUNA MTU KADHATUNIA NIPE UZOEFU

    Vipi kuhusu ubora WA sauti, uimara n.k Extrovert
  2. posian el

    Audio player nzuri kwa simu za Android

    Je kuna offline audio player nzuri kushinda hizo hapo juu zenye user face nzuri na quality nzuri ya muziki kushinda poweramp player...kama zipi basi unaweza kuzitaja hapo chini....Kwangu Poweramp na oto player ni best
  3. N

    Mafwele ana akili sana. Kavujisha audio mwenyewe ili wafanyakazi wa serikali waogope

    Nimesikiliza kwa ukaribu sana ile audio iliyovuja nimejiuliza yafuatayo? 1. Faida au hasara ya kuvuja ni nini ? Kwanza watu wakijua kuwa hata madoctor na wanajeshi wameshikwa itawafanya wengine wote kuwa waoga na wasijiunge na movement ya tarehe 29 2. Ingetakiwa isivuje wangeambiwa waweke cm...
  4. The Burning Spear

    Audio: Magufuli akiviagiza Vyombo vya ulinzi kumchukulia hatua aliyelipwa mabilion ya pesa kuhusu sare za polisi

    GT Nikikaa nafikiria ulegelege wa vyombo vya ulinzi na usalama awamu hii mwili huwa unakufa ngazi kabisa. Jamani au na Wao wamejiunga na MACCM Kuiba rasilimali za nchi hii. Hapa Hayati Magufuli aliagiza Angela kizigha achukuliwe hatua lakini why siyo sasa na amerudishwa tena ooh nooo my country..
  5. N

    Msanii chipukizi yupo hodi akijiuguza maumivu baada ya kurekodi audio milioni 1 na video ya milioni 5 halafu kapata views 200

  6. Mwl.RCT

    Audio: Ugonjwa wa Herpes Simplex na VVU/UKIMWI

    --- --- --- Thread Rejea: - Niko kitandani siku ya pili Sasa Baada ya kukutana na huyu Dada
  7. S

    Format factory Software (image, audio, video) - 20,000 Tsh

    Format factory Software (image, audio, video) - 20,000 Tsh *Sifa zake Video converter video downloader Picture converter Audio converter Document manipulation Mawasiliano: 0756704145 Eneo: Dar es salaam, Mbezi
  8. Royal Son

    AUDIO BLUETOOTH RECEIVER KWA BEI POA

    📢 Wireless Audio Receiver - Earldom M73 💽 Portable USB Wireless Audio Music Receiver 🎶 Badilisha redio au spika yako kuwa ya kisasa kwa kutumia hii adapter ya Earldom M73! Inakuwezesha kucheza muziki kutoka kwenye simu yako kwa njia ya Bluetooth bila waya! ✅ Inafaa kwa magari, redio za...
  9. Meneja Wa Makampuni

    Nafasi za Kazi ya Kusikiliza Audio na Kuhariri Maandishi

    🚨 NAFASI ZIMEJAZWA TAYARI 📝 Tangazo kutoka Bright and Genius Editors Bright and Genius Editors inatangaza nafasi za kazi kwa watu wenye uwezo wa kusikiliza sauti na kuhariri maandishi yaliyopatikana kutoka kwenye audio kwa usahihi na ufasaha. 🔊 Kazi: Kusikiliza Audio na Kuhariri Maandishi 💻...
  10. Mwl.RCT

    Swahili Audio: Seven Signs They Only Love What You Have (Ishara Saba Kwamba Wanapenda Tu Kile Unachokimiliki)

    Ishara Saba Kwamba Wanapenda Tu Kile Unachokimiliki
  11. The Burning Spear

    Audio: Pata tafasiri halisi na Maana ya Neno "Gwajimanization"

    GT Sukikiza hii hapa mpaka mwisho..Mkuu.wa Nchi awe anachunga sana kauli.zake kwa umakini Mkubwa.
  12. Trinity

    Nawezaje ku download videos na audio YouTube?

    Nawasalimu kupitia jina kuu lipitalo majina yote ulimwenguni.! Naomba msaada wadau maana nimehangaika tangu zamani bila mafanikio. Miaka ya nyuma Kuna jamaa yangu aliniwekea app ilinisaidia sana, lakini Leo nikiiweka inagoma kabisa, inasema "not permission mara strickted dah nafeli sana kwa...
  13. T

    Nawezaje kuweka Audio Status Whatsapp

    Msaada tafadhali mwenye kujua
  14. Mwl.RCT

    Audio: Case of Incitement – Republic v. Boniface Jacob (Boniyai) and Godlisten Malisa

    Case of Incitement – Republic v. Boniface Jacob (Boniyai) and Godlisten Malisa Lead Section The case of incitement involving former Ubungo Mayor Boniface Jacob (Boniyai) and human rights advocate Godlisten Malisa represents a high-profile legal proceeding in Tanzania. The defendants face...
  15. V

    AUDIO SOUND CARD ZINAUZWA

    Audio sound card 2 zinauzwa hazijatumika Bongo imported from UK 1 . M_Audio njia mbili haijatumika .Bei 350000 2.¹Focusrite 3rd generation Bei 450000 Simu 0712652110 Dar
  16. Bujibuji Simba Nyamaume

    UZI MAHSUSI: Zilipendwa, audio/ video/ mashairi lyrics). Karibu upate burudani.

    Huu ni Uzi maalum wa kupata flashbacks za nguvu kutoka nyumbani Tanzania Na hata nje ya Tanzania. Karibuni kwa audio, video Na lyrics..
  17. Tanki

    Sikilizeni hii audio. Kisha nipeni ushauri. Je, nafaa kuwa muhadithiaji wa hadithi au simulizi?

    Ninaplan ya kuanza kujirecord nikisimulia hadithi au matukio. Hii audio hapa nilikuwa natest tu nione ninavyosikika. Nimeamua kushare na nyinyi mnichane nafaa ?? Niongeze nini??? Nipunguzie nini???? Note: NIMERECORD KWA SIMU, na EDITING ni simu pia.
  18. Faana

    Msaada: Naomba mwenye hii audio kamilifu anisaidie

    https://www.facebook.com/reel/1203968907588101
  19. R

    Msaada: Anayejua App au platform ya kufasiri audio to audio

    Nimejaribu baadhi lakini hazitafsiri audio(mp3) kutoka kiingereza kwenda lugha nyingine kwa ufasaha. Kwa anayejua app au online platform kwa ajili ya kufasiri audio file kutoka lugha moja kuwa audio file kwenye lugha nyingine tafadhali nijuze. Thanks in advance.
  20. U

    Naomba nyimbo MAARUFU za audio za kwaya Kanisa Katoliki tanzania

    Wadau hamjamboni nyote? Niwe muwazi mimi ni muumini wa Kanisa la Waadvetista wasabato ila napenda sana kusiliza nyimbo za kwaya za Kanisa Katoliki Hivyo siku ya leo kwa heshima kubwa naomba mwenye nyimbo za audios za kwaya maarufu za Kanisa Katoliki tanzania. anipatie Napendelea zaidi...
Back
Top Bottom