WAGOMBEA MTUKEMEE
Katika hali ya kawaida, Vijana huwazika wazee. Katika hali isiyo ya kawaida, wazee huwazika Vijana.
Katika hali ya kawaida, Viongozi wa dini huwakemea Wana siasa. Katika hali isiyo ya kawaida, Wana siasa huwakemea Viongozi wa dini.
Tuna hali isiyo ya kawaida katika taifa...