Uchaguzi 2020 Askofu Gwajima: Nimewasaidia waislamu nikiwa siyo mwanasiasa nimewajengea visima msikiti wa Salasala na Makuti

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,968
141,976
Askofu Gwajima amesema yeye amekuwa akiisaidia jamii kabla hata hajawa mwanasiasa kwa mfano kuwachimbia Waislamu visima vya maji katika misikiti ya Salasala na Makuti.

Pia amewachimbia visima wananchi zaidi ya 200 na kununua magari ya wagonjwa zaidi ya 17 aliyoyagawa sehemu mbalimbali Kinondoni.

Askofu Gwajima amesema Mungu siyo mwanademokrasia ndio sababu yeye ameamua kufanya siasa ili kupata mchanganyiko sahihi wa kumhudumia mwanadamu kiroho na kimwili.

Askofu Gwajima yuko mubashara Channel ten akihojiwa na Albert Kilala na Vida.

Maendeleo hayana vyama!
 
1603346952776.png
 
Hizo ndio zinaitwa last kick of a dying horse.

Huwezi mtu mmoja unaejiita Askofu Rashid ukamuhudumia mwanadamu kiroho na kimwili, usitudanganye Rashid; siku zote roho ni ya Mungu na mwili ni wa shetani, ndio maana kwenye mwili kuna matendo yote machafu.

Kazi yako ilikuwa ni kumuongoza huyo mwanadamu aifuate roho yake, na kuukana mwili wake, aache kuongozwa na mwili kutenda maovu, sasa unaposema utamuongoza mwanadamu kwenye yote mawili (ya rohoni na mwilini) wewe ni wakuogopwa.

Hapa ndio natambua kwanini Askofu Rashid ana kashfa za uzinzi, kumbe ni kwasababu ni fundi wa vyote, huyu mtu anazidi kututhibitishia hatufai wana Kawe.
 
Askofu Gwajima amesema yeye amekuwa akiisaidia jamii kabla hata hajawa mwanasiasa kwa mfano kuwachimbia Waislamu visima vya maji katika misikiti ya Salasala na Makuti.

Pia amewachimbia visima wananchi zaidi ya 200 na kununua magari ya wagonjwa zaidi ya 17 aliyoyagawa sehemu mbalimbali Kinondoni.

Askofu Gwajima amesema Mungu siyo mwanademokrasia ndio sababu yeye ameamua kufanya siasa ili kupata mchanganyiko sahihi wa kumhudumia mwanadamu kiroho na kimwili.

Askofu Gwajima yuko mubashara Channel ten akihojiwa na Albert Kilala na Vida.

Maendeleo hayana vyama!
Mudhihir Mudhihir, yule mbunge mstaafu wa Mchinga ambaye pia ni mshairi maarufu, aliwahi kusema kuwa kondoo wa manyoya muda wake wa kunyolewa ukifika huzizima. Hapo kondoo wa manyoya anazizima. Anajua alivyowatukana waislamu alipokuwa hajagundua kama angegombea ubunge. Leo anawafanyia utoto wa 'sugar coating', dharau.
 
Mudhihir Mudhihir, yule mbunge mstaafu wa Mchinga ambaye pia ni mshairi maarufu, aliwahi kusema kuwa kondoo wa manyoya muda wake wa kunyolewa ukifika huzizima. Hapo kondoo wa manyoya anazizima. Anajua alivyowatukana waislamu alipokuwa hajagundua kama angegombea ubunge. Leo anawafanyia utoto wa 'sugar coating', dharau.
Maji ni uhai tena msikitini maji hutumika kutawadha kabla ya ibada.

Gwajima ametenda jambo jema Salasala na Makuti
 
Maji ni uhai tena msikitini maji hutumika kutawadha kabla ya ibada.

Gwajima ametenda jambo jema Salasala na Makuti

Mkuu ,acha kuwadharau ndugu zangu Waislam kuwa wame shindwa kuchimba Vijisima vya Maji.Huyu Shekhe wa kuchonga Gwajiboy hafai na hasafishiki tafuta dodoki jingine.
 
Askofu Gwajima amesema yeye amekuwa akiisaidia jamii kabla hata hajawa mwanasiasa kwa mfano kuwachimbia Waislamu visima vya maji katika misikiti ya Salasala na Makuti.

Pia amewachimbia visima wananchi zaidi ya 200 na kununua magari ya wagonjwa zaidi ya 17 aliyoyagawa sehemu mbalimbali Kinondoni.

Askofu Gwajima amesema Mungu siyo mwanademokrasia ndio sababu yeye ameamua kufanya siasa ili kupata mchanganyiko sahihi wa kumhudumia mwanadamu kiroho na kimwili.

Askofu Gwajima yuko mubashara Channel ten akihojiwa na Albert Kilala na Vida.

Maendeleo hayana vyama!
Huyu jamaa mbona kakomaa na waislamu namna hii??
 
Askofu Gwajima amesema yeye amekuwa akiisaidia jamii kabla hata hajawa mwanasiasa kwa mfano kuwachimbia Waislamu visima vya maji katika misikiti ya Salasala na Makuti.

Pia amewachimbia visima wananchi zaidi ya 200 na kununua magari ya wagonjwa zaidi ya 17 aliyoyagawa sehemu mbalimbali Kinondoni.

Askofu Gwajima amesema Mungu siyo mwanademokrasia ndio sababu yeye ameamua kufanya siasa ili kupata mchanganyiko sahihi wa kumhudumia mwanadamu kiroho na kimwili.

Askofu Gwajima yuko mubashara Channel ten akihojiwa na Albert Kilala na Vida.

Maendeleo hayana vyama
Askofu Rashid atapigiwa kura na wakorintho wa kawa kama wapo ila wanakawe tupo na halima
 
Askofu Gwajima amesema yeye amekuwa akiisaidia jamii kabla hata hajawa mwanasiasa kwa mfano kuwachimbia Waislamu visima vya maji katika misikiti ya Salasala na Makuti.

Pia amewachimbia visima wananchi zaidi ya 200 na kununua magari ya wagonjwa zaidi ya 17 aliyoyagawa sehemu mbalimbali Kinondoni.

Askofu Gwajima amesema Mungu siyo mwanademokrasia ndio sababu yeye ameamua kufanya siasa ili kupata mchanganyiko sahihi wa kumhudumia mwanadamu kiroho na kimwili.

Askofu Gwajima yuko mubashara Channel ten akihojiwa na Albert Kilala na Vida.

Maendeleo hayana vyama!
Si ili akiibadilisha kuwa Sunday school asipate taabu ya kuvuta maji
 
Mkuu ,acha kuwadharau ndugu zangu Waislam kuwa wame shindwa kuchimba Vijisima vya Maji.Huyu Shekhe wa kuchonga Gwajiboy hafai na hasafishiki tafuta dodoki jingine.
Kura za maoni zinaonyesha atashinda kwa 97%
 
Back
Top Bottom