askofu

  1. Sarikiaeli

    Waumini wa FGBF wampa zawadi ya nyumba Askofu Kakobe na Mkewe

    MAASKOFU, WACHUNGAJI NA WASHIRIKA WA MAKANISA YA FGBF KOTE NCHINI TANZANIA WAMPA ASKOFU MKUU ZACHARY KAKOBE ZAWADI YA NYUMBA WALIYOMJENGEA Nyumba ya kawaida inayoonekana katika PICHA MBILI ZA KWANZA, ni nyumba binafsi ya pekee, ya Askofu Mkuu wa Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship (FGBF)...
  2. Msambaa mkweli

    Hatimaye Askofu Munga wa DKMS - KKKT apata mrithi wake

    Leo tarehe 26/11/2020 Askofu Munga wa DKMS-KKKT amepata mrithi wake Mch. Dr. Msafiri Joseph Mbilu kwa ushindi wa 84%. Uchaguzi umekuwa wa Huru na Haki. Mungu awe kiongozi wenu kwani kuna mambo mengi hayapo sawa haswa sharikani, wengi tumeumizwa mioyo yetu. Big up kwa Wizara ya Mambo ya Ndani...
  3. joto la jiwe

    Askofu afariki baada ya kurushiwa mabomu ya kutoa machozi na polisi Kenya

    Bishop, Rev Stephen Ng'anga who hosted the Deputy President William Ruto in Kenol Muranga county in October has died. According to the church leadership the Bishop died from Pneumonia. The conditioned was triggered and worsened after the bishop inhaled tear gas fumes when the police were...
  4. J

    Nashauri shehe Alhad Salum na askofu Gamanywa wawafanyie maombi maalumu viongozi wa CHADEMA watulie nchini!

    Tanzania ni kimbilio la wengi wanaoitafuta amani na siyo kinyume chake. Napendekeza viongozi wa kamati ya amani nchini , mwenyekiti shehe wa mkoa wa Dsm Alhad Mussa Salumu na askofu Gamanywa wa Huduma ya Hakuna Lisilowezekana kukaa na viongozi wa Chadema na kuwaombea. Kitendo cha baadhi ya...
  5. Replica

    Amnesty International yaitaka Kenya kumpa hifadhi Godbless Lema kulingana na sheria ya wakimbizi, yasema kumrudisha nchini ni kinyume cha sheria

    Katika taarifa yao waliyoitoa kwa Umma, shirika lisilo la kiserikali la Amnesty international linalojihusisha na haki za kibinadamu limeona uwezekano wa mamlaka za Kenya kulazimika kumrejesha Mwanasiasa wa Upinzani, Godbless Lema au familia yake kwenye mateso ya kisiasa au uwezekano wa kufungwa...
  6. J

    Askofu Gwajima anafaa kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Dkt. Kimei Waziri wa Fedha, Tarimba Abbas Waziri Viwanda na Biashara!

    Ni mapendekezo tu kutokana na viwango vyao vya elimu na uzoefu wao katika kutumikia watanzania. 1. Askofu Dr Gwajima........ Waziri wa mambo ya ndani 2. Dr Kimei........Waziri wa Fedha 3. Mh Abbas Tarimba.......Waziri viwanda na biashara 4. Mh Babu Tale........Waziri wa Habari, Sanaa na...
  7. CHADEMA

    GE2020 CHADEMA na ACT-Wazalendo Wapinga Matokeo, Wataka Uchaguzi Urudiwe, pia NEC na ZEC zivunjwe

    UPDATES: 05:55 Asubuhi: Viongozi wa vyama vya ACT na CHADEMA wakiongozwa na Freeman Mbowe, Tundu Lissu na Zitto Kabwe wanaingia kwenye ukumbi ambapo watafanya mkutano na waandishi wa habari. MNYIKA: Viongozi wakuu wa vyama vyetu tumekuwa kwenye vikao vya mashauriano na vimeendelea leo asubuhi...
  8. BAK

    Askofu Mwamakula: Walioitwa kwenye kazi hii [ya kusimamia Uchaguzi siku ya kupiga kura] asilimia kubwa ni makada wa CCM

    ASKOFU AELEZWA NA 'RAIA MWEMA' KUHUSU NJAMA ZA KUHUJUMU UCHAGUZI MKUU! Baba Askofu Mwamakula! Nimekutafuta sana. Nimeingia gharama kubwa kuhakikisha nakueleza haya chini ya kiapo. Mimi nipo katika 'kazi maalum' kuhusiana na Uchaguzi Mkuu! Kinachoendelea huku in kama ifuatavyo: 1.Walioitwa...
  9. B

    Unaweza kujibu maswali haya magumu ya Askofu Bagoza kuhusu Uchaguzi 2020?

    1. Ukiiba fedha za umma unaitwa mwizi/ fisadi. Ukiiba kura uitwe nani? 2. Ukilazimisha kufanya mapenzi kwa mtu unaitwa mbakaji. Ukilazimisha kututawala tukuiteje? 3. Ukichaguliwa kihalali unaitwa kiongozi. Ukichaguliwa kwa Ujanja, kwa kura za ujanja, kimagumashi tukuiteje?
  10. M

    GE2020 Dua ya Askofu Mwamakula: Atakayehusika na kudhulumu uchaguzi afedheheshwe yeye hadi kizazi chake cha nne!

    Kama watumishi wa NEC, TISS, Wakurugenzi, Watawala, Wasimamizi wa vituo na mtu yeyote anayehusika na uchaguzi wanataka waendelee kuishi kwa baraka katika maisha yao, basi wajichunge sana namna watakavyoendesha na kusimamia uchaguzi huu. Wawe makini kwa sababu kuna dua nzito sana imeombwa na...
  11. BAK

    GE2020 Askofu Bagonza: Ujumbe kwa vyombo vya Ulinzi

    KWA VYOMBO VYA ULINZI Askofu Mkuu Oscar Romero wa El-Salvador ana ujumbe kwa vyombo vya ulinzi tunapoelekea Uchaguzi Mkuu tarehe 28/10/2020. Baba Mtakatifu Papa Francis alimtangaza kuwa Mtakatifu tarehe 14/10/2018. Askofu Romero alizaliwa 15/8/1917 na kufariki 24/3/1980. Alipadrishwa kuwa Padre...
  12. J

    GE2020 Askofu Gamanywa: Mungu amemteua Rais Magufuli kuwa kiongozi wa Tanzania, uchaguzi ni utaratibu wa kikatiba tu!

    Askofu Gamanywa amesema kuna watu wanamzushia kuwa yeye ni usalama wa taifa ila kiukweli yeye ni " usalama wa mbinguni" Anasema yeye huwa habwabwaji kwa sababu yuko well informed na ndio sababu anawataka wampigie kura Rais Magufuli kwa sababu ni mtu mwenye hofu ya Mungu. Askofu Gamanywa...
  13. BAK

    GE2020 Askofu Mwamakula: Uchaguzi uwe wa haki na uhuru

    Mtu ye yote anayehangaika na mikakati ya kuweka wapiga kura hewa, kuandaa watoto na wasio na sifa za kupiga kura ili wapige kura, kuiba kura, kuongeza vituo hewa na kuongeza kura za ziada kwenye vituo, huyo atakuwa amekosa kibari kwa watu na Mungu! Wananchi, madereva, wanafunzi, waalimu...
  14. J

    Askofu Gwajima: Siasa ni kipaji siyo akili za darasani. Ya siasani hayapelekwi kwenye dini ila kinyume chake ni sahihi

    Askofu Gwajima amesema mtu kuwa mwanasiasa mahiri hakuhitaji kwenda darasani kwani uanasiasa ni kipaji " taranta" Siasa ni swala zima la kuwaletea watu maendeleo ikiwemo maji, umeme, elimu na Huduma za afya na kuyaweza hayo siyo lazima uwende darasani, amesisitiza. Askofu Gwajima pia amesema...
  15. J

    Askofu Gwajima: Sijaacha utumishi wa Mungu bali nimepanua Huduma na kuwafikia watu wengi zaidi

    Akijibu swali kwanini anagombea ubunge wakati huko nyuma aliwahi kusema hawezi kugombea vyeo vya kisiasa kwa sababu atajishusha hadhi, askofu Gwajima amesema yeye hajaacha uchungaji bali atafanya kazi mbili kwa pamoja yaani mchungaji na mbunge. " ni kwamba nimepanua tu Huduma ili kuwafikia watu...
  16. J

    GE2020 Askofu Gwajima: Nimewasaidia waislamu nikiwa siyo mwanasiasa nimewajengea visima msikiti wa Salasala na Makuti

    Askofu Gwajima amesema yeye amekuwa akiisaidia jamii kabla hata hajawa mwanasiasa kwa mfano kuwachimbia Waislamu visima vya maji katika misikiti ya Salasala na Makuti. Pia amewachimbia visima wananchi zaidi ya 200 na kununua magari ya wagonjwa zaidi ya 17 aliyoyagawa sehemu mbalimbali...
  17. R

    GE2020 Askofu Emaus Mwamakula, wewe ni Mtumishi wa Mungu kweli kweli!

    Mtumishi wa Mungu Askofu, nakusalimu kwa Jina la Yesu Kristo. Amani ya Bwana Iwe pamoja nawe. Napenda kukuandikia barua fupi yenye maneno machache. Napenda kukutambua rasmi kuwa wewe ni Mtumishi wa Mungu kweli kweli. Kazi yako ya upatanishi, haki na imani umeitendea haki, na Mungu akubariki...
  18. J

    Askofu Gamanywa: Haki ni tunda la utii wa sheria vs Shehe Kishki: Haki ni tunda la uhuru wa binadamu. Ipi ni sahihi?

    Askofu Gamanywa ameitafsiri Haki kama tunda la utii wa sheria na kwamba Sheria ndio hutoa haki. Gamanywa amesema Amani ni muhimu kuliko haki kwa sababu Haki hubadilika badilika kulingana na mabadiliko ya sheria lakini Amani iko pale pale. Naye shehe Kishki ametofautiana na askofu Gamanywa kwa...
  19. J

    Kongamano la amani: Wanenaji ni Askofu Kakobe, Askofu Malasusa na Sheikh Abdallah

    Kongamano kubwa la amani na maendeleo linafanyika leo katika ukumbi wa Golden Tulip jijini Dsm. Mwezeshaji wa kongamano hilo ni askofu Gamanywa wa BCIC na wanenaji watakakuwa askofu Kakobe askofu Dr Malasusa na shehe Abdallah. Kongamano hilo litarushwa mubashara na runinga za TBC, Channel ten...
Back
Top Bottom