Tajiri Tanzanite
JF-Expert Member
- Oct 23, 2016
- 2,070
- 3,705
Hapo vipi!
Ni kwa muda mrefu Arusha imezorota kimaendeleo,mpaka vimikoa vidogo vinakua kasi ukilinganisha na Arusha yenye fursa nyingi za kiuchumi.
WanaArusha nyie ni mashaidi juu ya kupwaya na kulala kwa fursa mbalimbali zilizopo katika mkoa wa Arusha.
Arusha kama miaka kumia imegeuzwa na wapinzani kama ndio kitovu cha harakati na sehemu ya kuanza kumwaga damu eti kwa lengo la ukombozi.Arusha imekuawa na historia mbaya ya machafuko ya kisiasa, maana yake, wapinzani wamebadilisha image ya kutoka mji wa kistaarabu na tulivu na kuwa kitovu cha machafuko ya kisiasa.
Tunakumbuka Arusha kwa miaka ya nyumba ilikuwa ni mji ambao serikali ilipendekeza kufanyia mikutano yake ya kimataifa kwasababu ni mji ambao una hali ya hewa nzuri na hotel za kutosha za zenye hadhi ya kimataifa.
Ila baada ya machafuko haya ya kisiasa, imefuta kabisa mambo kama haya ambayo pia ilikuwa inasababishs mzunguko wa pesa hapa mjini.
Pia sekta ya utalii imepwaya sana,watalii ambao ni wazungu wanaogopa sana kufanya utalii maeneo ambayo yanamachafuko ya kisiasa,hivyo hali hii imesababisha watalii kupungua sana katika mkoa wa Arusha, mikutano ya East Afrika mara nyingi huwa inafanyia Dar..badala ya Arusha ambayo ndio ilikuwa makao makuu ya East Afrika. Hizi nilizotaja ni fursa chache tu kati ya fursa nyingi zilizopotea katika mkoa wa Arusha.
Kitendo cha Rais Magufuli kufufua Reli na kufikisha Arusha,tafsiri yake ana imani na fursa zilizopo katika mkao huu,Hivyo tukiifuta hichi chama chenye kuleta machafuko hapa mjini itakuwa tumemrudishia asante Rais Maghufuli na serikali yake itaanza kuipa Arusha hadhi yake kama jiji la kiamataifa Tanzania.
Hawa wapinzani hawajawahi kuleta maendeleo yeyote hapa Arusha, zaidi ya kusababisha mkoa huu udumae kama Kilimanjaro. Kwa anayebisha ataje maendeleo yaliyoletwa na Lema na chama chake.
Hizo barabara zilizojengwa ndani ya mji wa Arusha ambayo chadema inatumia kama ngao,ya kuwadanganyia hao wafuasi wake ni project ya World Bank iliyoanza kipindi cha Kikwete.
Ni YEYE Magufuli2020#
Ni kwa muda mrefu Arusha imezorota kimaendeleo,mpaka vimikoa vidogo vinakua kasi ukilinganisha na Arusha yenye fursa nyingi za kiuchumi.
WanaArusha nyie ni mashaidi juu ya kupwaya na kulala kwa fursa mbalimbali zilizopo katika mkoa wa Arusha.
Arusha kama miaka kumia imegeuzwa na wapinzani kama ndio kitovu cha harakati na sehemu ya kuanza kumwaga damu eti kwa lengo la ukombozi.Arusha imekuawa na historia mbaya ya machafuko ya kisiasa, maana yake, wapinzani wamebadilisha image ya kutoka mji wa kistaarabu na tulivu na kuwa kitovu cha machafuko ya kisiasa.
Tunakumbuka Arusha kwa miaka ya nyumba ilikuwa ni mji ambao serikali ilipendekeza kufanyia mikutano yake ya kimataifa kwasababu ni mji ambao una hali ya hewa nzuri na hotel za kutosha za zenye hadhi ya kimataifa.
Ila baada ya machafuko haya ya kisiasa, imefuta kabisa mambo kama haya ambayo pia ilikuwa inasababishs mzunguko wa pesa hapa mjini.
Pia sekta ya utalii imepwaya sana,watalii ambao ni wazungu wanaogopa sana kufanya utalii maeneo ambayo yanamachafuko ya kisiasa,hivyo hali hii imesababisha watalii kupungua sana katika mkoa wa Arusha, mikutano ya East Afrika mara nyingi huwa inafanyia Dar..badala ya Arusha ambayo ndio ilikuwa makao makuu ya East Afrika. Hizi nilizotaja ni fursa chache tu kati ya fursa nyingi zilizopotea katika mkoa wa Arusha.
Kitendo cha Rais Magufuli kufufua Reli na kufikisha Arusha,tafsiri yake ana imani na fursa zilizopo katika mkao huu,Hivyo tukiifuta hichi chama chenye kuleta machafuko hapa mjini itakuwa tumemrudishia asante Rais Maghufuli na serikali yake itaanza kuipa Arusha hadhi yake kama jiji la kiamataifa Tanzania.
Hawa wapinzani hawajawahi kuleta maendeleo yeyote hapa Arusha, zaidi ya kusababisha mkoa huu udumae kama Kilimanjaro. Kwa anayebisha ataje maendeleo yaliyoletwa na Lema na chama chake.
Hizo barabara zilizojengwa ndani ya mji wa Arusha ambayo chadema inatumia kama ngao,ya kuwadanganyia hao wafuasi wake ni project ya World Bank iliyoanza kipindi cha Kikwete.
Ni YEYE Magufuli2020#