apps

  1. Apollo

    JamiiForums Tanzania Instagram inaweka sehemu ya kurekebisha ujumbe wa DM

    App ya Instagram inaweka sehemu mpya ambayo itawezesha watumiaji kurekebisha ujumbe wa DM. Kwa sasa Instagram haina sehemu ya kurekebisha (edit) ujumbe katika sehemu ya DM. Endapo kama ukituma ujumbe, utaona hakuna sehemu ya ku-edit, sehemu ambayo ipo ni "unsend" ambayo inafuta ujumbe ambao...
  2. Programu za PC

    JamiiForums Tanzania Je, unahitaji software ya kukusaidia kazi / biashara yako?

    Habari, Je unahitaji software yoyote katika kazi / biashara zako. Nipo hapa kukusadia kupata software yoyote unayotaka katika kukusaidia kazi / biashara yako. Software au program katika kifaa chako cha kazi kama kompyuta au simu. Nitajie sofware au kazi yako inayohitaji software maalum...
  3. Apollo

    JamiiForums Tanzania WhatsApp itaweka sehemu ya "ku-edit message"

    WhatsApp itaweka mabadiliko ambayo kila mtumiaji alikuwa anatamani kuona sehemu hii mpya inawekwa. Kwa kawaida WhatsApp haina sehemu ya ku-edit message baada ya kuitumia. Mtu akikosea kuituma analazimika kuifuta message na kuandika upya. WhatsApp inafanya majaribio ya kuweka sehemu ya...
  4. BARD AI

    JamiiForums Tanzania Apple kuruhusu watumiaji kuweka Apps za nje ya App Stote

    Apple inalazimika kuruhusu watumiaji wa iPhone kuwa na uwezo wa kuweka app bila kutumia App Store ya Apple. Mabadiliko haya yatawezesha watumiaji wa iPhone ku-install app yoyote nje ya App Store. 📲 𝙆𝙬𝙖 𝙠𝙖𝙬𝙖𝙞𝙙𝙖, ukiwa unataka kuweka app kwenye simu ya iPhone, unalazimika kwenda katika App Store...
  5. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Ni zipi alternative za playstore kwaajili ya kupublish na kudownload/kuinstall apps?

    Habari wakuu. Kwa android app. Ni alternatives zipi za kuchapisha na kupakua apps?
  6. shetani aka shetty baby

    JamiiForums Tanzania Software ipi kwenye PC inaweza ikatumika kuhifadhi apps mbalimbali?

    Naomba kujua ni application ipi ni install kwenye PC yangu ili niweze k-run application mbalimbali kama vile whatspp, telegram nk
  7. YphNet

    JamiiForums Tanzania Njia thabiti ya kujifunza programming ni kujaribu kutengeneza program

    Nataka niwakumbushe wale ambao wamesoma programming vyuoni lakini bado kwao programming imekuwa kama somo la nadharia tu. Njia pekee ya kujiendeleza katika programming ni uthubutu wa kutengeneza project ndogo ndogo. Wengi tunadownload games bure na tunaona kama wanaotengeneza vitu hivyo hawana...
  8. Kiranja Mkuu

    JamiiForums Tanzania Natafuta mtaalam wa kutengeneza Apps/ Software

    Je wewe ni mtaalam wa kutengeneza apps/ software? Karibu tuwasiliane. 0687969981 0764255769
  9. Mkurya romantic

    JamiiForums Tanzania Vidokezo (tips) kwa wanaotaka kujifunzakutengeneza apps

    1. Kwanza kuwa mpole, wala usipanic code zikizinguwa, hii ni kawaida. 2. Usiwaze kutengeneza app kubwa saaanaau yenye mambo mengi mapema. 3. Kutengeneza app ni kama ujenzi, usiwaze saaana kwamba utamaliza lini. 4. Usiwe msiri kuuliza unapokwama na wala usiwe msiri kusaidia wengine. Hata hivyo...
  10. Jugado

    JamiiForums Tanzania My phone is downloding certain Apps forcefully

    Dear members, I am using Tecno camon 17. This phone is a bit crazy. It downloads many apps by it self. Even when you uninstall the app it install it again. There is an app called SCOOPER NEWS. Every day I uninstall Scooper but the phone install it. Is this normal? Tecno acheni ulofa basi.
  11. Niache Nteseke

    JamiiForums Tanzania Nawezaje Kuzuia/Ku-freeze System Apps Zisifanye Kazi Kwenye Simu?

    Habari wakuu. Natumai mpo sawa kabisa, naomba msaada kama kuna App au njia ya kuzuia system apps kama vile calls na sms apps zisifanye kazi kwenye Infinix note 10. Nimejaribu ku-freezer kwa app ya freezer ila umekataa inaandika not supported. Kwa anayejua hiko kitu naomba anisaidie tafadhali...
  12. KENZY

    JamiiForums Tanzania Nawezaje kuona setting za VPN apps Kama manual VPN..?

    Mfano unatumia vpn app ambayo unabofya tu inajikonekti yenyewe,Sasa je Kuna namna ipi naweza pata data za hiyohiyo app na nikaziset mwenyewe manually..?? Msaada tafadhari.
  13. kali linux

    JamiiForums Tanzania Ukiachana na VPN na TOR hii njia pia inaweza kukusaidia ku-access blocked sites au apps kwenye internet kwa kubadili DNS Servers

    Hello bosses....... Kuna muda matumizi ya internet yanabanwa kiasi fulani hivyo kufanya watu wengi waishie kutumia VPN. Japo matumizi ya VPN yanaonekana kuaminiwa sana ila kiukweli mara nyingi hizi free au cheap VPN haziko safe sana sana kwenye privacy yako kwa sababu wao wanapata browsing...
  14. adriz

    JamiiForums Tanzania Hii imekaaje, lugha ya Kiswahili kutambulika kama lugha ya Kenya katika apps?

    Moja kwa moja.. Leo katika kuperuzi katika nikakuta adds ya app ya kujifunza kuongea kimalkia nikaamua kuipakua . Nimestaajabu kikivyokuja kipengele cha kuchagua lugha yako unayoitumia Kiswahili kukuta imewekewa bendera ya Kenya wakati Tanzania ndiyo wazungumzaji wa Kiswahili kwa asilimia...
  15. Eng Kimox Kimokole

    JamiiForums Tanzania Upgrading Old Mac Computers to latest OSX Versions and New Apps (Kuhuisha Mac ya zamani kwenda OS na Program Mpya)

    Habari zenu wana Jamiiforums na wote wanaopenda kufahamu zaidi maswala ya teknolojia. Kwa walio wengi ambao ni watumiaji wa Mac Computers za zamani iwe ni PPC au Intel wamekutana na majawabu kadhaa kutoka kwa mafundi kwamba Computer zao zimepitwa na wakati na hivyo haziwezi tena kuingia...
  16. Eng Kimox Kimokole

    JamiiForums Tanzania Upgrading Old Mac Computers to latest OSX Versions and New Apps (Kuhuisha Mac ya zamani kwenda OS na Program Mpya)

    Habari zenu wana Jamiiforums na wote wanaopenda kufahamu zaidi maswala ya teknolojia. Kwa walio wengi ambao ni watumiaji wa Mac Computers za zamani iwe ni PPC au Intel wamekutana na majawabu kadhaa kutoka kwa mafundi kwamba Computer zao zimepitwa na wakati na hivyo haziwezi tena kuingia...
  17. ukara

    JamiiForums Tanzania Apps za kuulizwa maswali na kulipwa pesa zipo kweli?

    Natumaini nyote mmekuwa na siku njema. Niende moja kwa moja kwenye mada husika Nimeuliza swali kama kweli zipo mfano wake ni zipi?
  18. R

    JamiiForums Tanzania Tatizo kudownload Apps Play store

    Habari Wakuu, Kwa siku tatu Sasa Simu yangu Tecno BC3 imekuwa na tatizo la kudownload Apps kwenye play store. Nikijaribu inasema pending tu. Nimejaribu solutions zote nilizopata mtandaoni isipokuwa factory reset bila mafanikio. Msaada tafadhali.
  19. KijanaHuru

    JamiiForums Tanzania Habari njema kwa wanaohitaji application,website and desktop apps

    Kama kichwa kinavyoelezea hapo juu, Kwa upande wa Mobile Application iwe Android au iOS platform , Katika mifumo miwili hiyo hapo juu unaweza kujipatia App za mifumo App za kioffice App za majukwaa App za Biashara nk Pia katika maorodhesho hayo hapo juu inaweza kuwa ni Desktop App au Website...
  20. Simeone

    JamiiForums Tanzania Java Apps

    Kisimu changu Itel It6910 kuna uwezekano nikatumia Facebook Lite au WhatsApp? Je, kuna uwezekano wa ku-update Java Version? Je, kwanini Apps nyingi zinagoma ila kwenye simu za batani zinakubali? Java AppStore gani yenye apps ambazo nitaweza kuzitumia kwenye simu h it6910? Pia Browser gani...
Back
Top Bottom