Njoo tujifunze namna ya kutengeneza Mobile Apps kwa Flutter

African Geek

JF-Expert Member
Jul 29, 2022
779
1,354
Flutter ni moja ya Frameworks pendwa inayotumika kwa ajili ya kutengeneza cross platform applications. Kwa kutumia code base moja utaweza kutengeneza Apps kwa ajili ya Android, IOS, Mac OS, Windows, Linux na Web.

Kutokana na ujuzi mdogo nilioupata nikaona sio vibaya nikianzisha uzi huu ili tuweze kunufaika wote. Nakaribisha wajuzi wa Flutter, wanaoanza kujifunza flutter na wapenda tech wote tukutane hapa tubadilishane vitu viwili vitatu.

LET'S GO!

Screenshot 2023-06-09 at 01.11.38.png
 
Nyuzi nizipendazo
Hivi nyie mmewezaje wakuu
Mimi nishainstall Android studio nikaishi na Tutorial za youtube lakini kwenye vitendo ni zero
 
Nyuzi nizipendazo
Hivi nyie mmewezaje wakuu
Mimi nishainstall Android studio nikaishi na Tutorial za youtube lakini kwenye vitendo ni zero
Itakuwa unakabiliwa na hali ya kutokujiamini na skills ulizokuwa nazo. Njia pekee ya kuondokana nayo ni kupractice vya kutosha.

Ukimaliza kuangalia tutorial, jaribu kufanya tena kitu ulichojifunza bila kuangalia tutorial. Jaribu kufanya kitu tofauti. Mfano kama tutorial inaelekeza jinsi ya kutengeneza user login page, kutumia ujuzi huo wewe tengeneza kitu kingine tofauti. Kiufupi practice, experiment and be creative. Vitu vitakaa vyenyewe.
 
Itakuwa unakabiliwa na hali ya kutokujiamini na skills ulizokuwa nazo. Njia pekee ya kuondokana nayo ni kupractice vya kutosha.

Ukimaliza kuangalia tutorial, jaribu kufanya tena kitu ulichojifunza bila kuangalia tutorial. Jaribu kufanya kitu tofauti. Mfano kama tutorial inaelekeza jinsi ya kutengeneza user login page, kutumia ujuzi huo wewe tengeneza kitu kingine tofauti. Kiufupi practice, experiment and be creative. Vitu vitakaa vyenyewe.
Kweli aisee ngoja nikomae
 
Mkuu IDE nzuri ya dart ni ipi kwa upande wako
Nimejaribu Android Studio iko very complicated kwa begginer
Nimejaribu IntelliJ IDEA ni nzuri lakini ni ya kulipia na nimekwama bado sjafanikisha kuset flutter sdk

Naomba muongozo
Naona huu Uzi utafika reply 100 kwasababu ndo nimeamua rasmi kuchapa code
 
Mkuu IDE nzuri ya dart ni ipi kwa upande wako
Nimejaribu Android Studio iko very complicated kwa begginer
Nimejaribu IntelliJ IDEA ni nzuri lakini ni ya kulipia na nimekwama bado sjafanikisha kuset flutter sdk

Naomba muongozo
Naona huu Uzi utafika reply 100 kwasababu ndo nimeamua rasmi kuchapa code
Visual Studio Code haifai?
Screenshot_20230807-231943.jpg
 
Mkuu IDE nzuri ya dart ni ipi kwa upande wako
Nimejaribu Android Studio iko very complicated kwa begginer
Nimejaribu IntelliJ IDEA ni nzuri lakini ni ya kulipia na nimekwama bado sjafanikisha kuset flutter sdk

Naomba muongozo
Naona huu Uzi utafika reply 100 kwasababu ndo nimeamua rasmi kuchapa code
VS Code mkuu
 
VS Code mkuu
Na hii flutter naanzia wapi naona umeukimbia uzi.nipe muongozo

1.Nijifunze dart sina ujuzi wa PL yoyote na inasisitizwa ujue walau JS

2.Nirudi kwenye JS kwanza nimeze alaf ndo niende kwenye Dart

3.Dart aina umuhimu sana??

4........
 
saivi nimekuwa mzee akili ikiona hizi vitu naskia kuchanganyikiwa😂😂😂😂
 
Na hii flutter naanzia wapi naona umeukimbia uzi.nipe muongozo

1.Nijifunze dart sina ujuzi wa PL yoyote na inasisitizwa ujue walau JS

2.Nirudi kwenye JS kwanza nimeze alaf ndo niende kwenye Dart

3.Dart aina umuhimu sana??

4........
Hapana sio lazima urudi kwenye JS. Na sio lazima uijue sana dart ili uweze kutengeneza user interface kwa flutter.

Anza kujifunza syntax za dart. Then jifunze Object Oriented Programming kwa dart. Baada ya hapo utakuwa uko tayari kwa kuanza kujifunza Flutter. Jifunze kutumia widgets mbali mbali na siku hizi si unajua code zinajiandika wenyewe
 
Hapana sio lazima urudi kwenye JS. Na sio lazima uijue sana dart ili uweze kutengeneza user interface kwa flutter.

Anza kujifunza syntax za dart. Then jifunze Object Oriented Programming kwa dart. Baada ya hapo utakuwa uko tayari kwa kuanza kujifunza Flutter. Jifunze kutumia widgets mbali mbali na siku hizi si unajua code zinajiandika wenyewe
Hapa tutatumia Android studio au IDE gani itapendeza zaidi kutumia?
 
Back
Top Bottom