Apple kuruhusu watumiaji kuweka Apps za nje ya App Stote

BARD AI

JF-Expert Member
Jul 24, 2018
3,376
8,120
maxresdefault.jpg

Apple inalazimika kuruhusu watumiaji wa iPhone kuwa na uwezo wa kuweka app bila kutumia App Store ya Apple. Mabadiliko haya yatawezesha watumiaji wa iPhone ku-install app yoyote nje ya App Store.

๐Ÿ“ฒ ๐™†๐™ฌ๐™– ๐™ ๐™–๐™ฌ๐™–๐™ž๐™™๐™–, ukiwa unataka kuweka app kwenye simu ya iPhone, unalazimika kwenda katika App Store. Sehemu ya App Store - ni stoo maalum ambayo inakuwa na apps zote ambazo Apple imezihakiki na kujiridhisha kuwa zinafaa kwa matumizi, pia ni sehemu ambayo Apple inaitumia ili kupata faida kwa sababu inachukua asilimia 30% ya faida inayopatikana katika malipo na manunuzi ndani ya apps zake.

Developers wa Apple wameanza kufanyia kazi mabadiliko mapya ya kuruhusu Third-party app store kuanzia katika mfumo wa iOS 17 na kuendelea.

๐Ÿ†• ๐™ˆ๐™–๐™—๐™–๐™™๐™ž๐™ก๐™ž๐™ ๐™ค ๐™ข๐™–๐™ฅ๐™ฎ๐™– ๐™ฎ๐™–๐™ฉ๐™–๐™ ๐™ช๐™ฌ๐™–๐™Ÿ๐™š?
Mabadiliko haya yakianza rasmi, itakuwa ni rahisi kwa watumiaji wa iPhone kuweka apps ambazo zinapatikana nje ya App Store. Na mabadiliko haya hayatakwepo katika iPhone tu; Apple itabadili utaratibu wake wa kufungia app hata katika Macs na vifaa vingine vya Apple.

Kwa watumiaji wa Android tangu zamani wana uhuru wa ku-install app bila kutumia Google Play Store. Na hii imerahisisha watu kuweka app kama vile Netflix Premium ambayo sio ya kulipia, WhatsApp GB, apps ambazo zimefanyiwa mabadiliko na modifications nje ya app official, mfano hata Spotify kuna watumiaji wengi wanatumia Premium ambayo unaipata nje ya official app ya Spotify.

โ‰๏ธ ๐™†๐™ฌ๐™–๐™ฃ๐™ž๐™ฃ๐™ž ๐˜ผ๐™ฅ๐™ฅ๐™ก๐™š ๐™ž๐™ฃ๐™–๐™—๐™–๐™™๐™ž๐™ก๐™ž ๐™ช๐™ฉ๐™–๐™ง๐™–๐™ฉ๐™ž๐™—๐™ช ๐™ฌ๐™–๐™ ๐™š?
Apple imelazimika kufanya mabadiliko hayo baada ya Umoja wa Nchi za Ulaya kuweka sheria kuwa mwaka 2024 kampuni za tech ziruhusu store za app nyingine ndani ya mifumo yao. Hii ni kuruhusu ushindani na kupunguza utaratibu wa makampuni ya tech kushikilia power kubwa ya kuamua app zipi zizuiliwe kwenye simu.

๐Ÿ“ต ๐™ˆ๐™–๐™™๐™๐™–๐™ง๐™– ๐™ฎ๐™–๐™ ๐™š
Apple imetishia kwa kusema kuwa; mabadiliko haya yakianza ndio MWISHO WA USALAMA WA MIFUMO YAKE. Apple imesema mabadiliko haya yataathiri mfumo wa usalama katika mifumo ya simu na kompyuta.

SwahiliTek
 
Its all depends na scope ya mashirika husika. ios on their side is all about security , is ili app yako ikubaliwe app store lazima developers wa apple wenyewe waifanyie majaribio mbali mbali ndio ipite.
Although kuna option ya ku side load apps but very compicated.

Google apps ni nzuri but it has too much bugs apps, simply because its easier kutengeneza app ambayo hata kazi haifanyi na uka upload play store bila shida yoyote. Ndio iko targeted na hackers sababu hakuna restriction


Mwisho wa siku its all up to user mwenyewe ana prefer nini
Security ya kitu gani? Hivi bado uko kwenye group la watu wanaopenda kufanganywa na wao wanakubali tu kama makondoo. Security ni propaganda tu apple anatumia na wamewanasa watu wengi.

Duniani hapa hakuna security, asikudanganye mtu. Wakiamua kukukamata na hiyo iPhone yako wanakukamata tu bila hata kwenda Apple. Hata watu walitaka kuiba taarifa zako na iPhone yako wanaiba tu ni vile ni kinyume cha sheria watu wanaogopa sheria.

Jambo la pili, kwani data zao ama zangu, security ya apps inatakiwa liability iwe kwa mwenye simu, sio manufacturer. Manufacturer wa simu na data zangu zinamhusu nini?
 
Security ya kitu gani? Hivi bado uko kwenye group la watu wanaopenda kufanganywa na wao wanakubali tu kama makondoo. Security ni propaganda tu apple anatumia na wamewanasa watu wengi.

Duniani hapa hakuna security, asikudanganye mtu. Wakiamua kukukamata na hiyo iPhone yako wanakukamata tu bila hata kwenda Apple. Hata watu walitaka kuiba taarifa zako na iPhone yako wanaiba tu ni vile ni kinyume cha sheria watu wanaogopa sheria.

Jambo la pili, kwani data zao ama zangu, security ya apps inatakiwa liability iwe kwa mwenye simu, sio manufacturer. Manufacturer wa simu na data zangu zinamhusu nini?

Umeponda security but hujaelezea security why and how.
Mtu atumii apple ili asikamatwe, serikali ikukuhitaji wana request tu na apple wenyewe wana handle vitu vyako.
Iphone is brand ambayo inakupa option ya ku allow apps kukusanya data data zako or not.
And that is small part
Apple is only company ambayo imeenda head to head na FBI ku unlock simu na wakashinda kesi, ilibidi serikal watafute mtu wa pembeni kufanya hiyo kazi.
Currently wako at war na facebook sababu ya data collection, fb want data watumie kwemye boashara , apple wamewapa users ability ya kukubali au kukataa? In android unayo?

Umeshawahi kusoma privacy policy ya apple?


No offense binafsi ni long term android and apple user. Nazijua hizi simu in and out. Android inakupa flexibiliy beyond, na visualy wise ni better than apple.

Ndio maana nasema mwisho wa siku it up to user mwenyewe, ana pendelea nini. Kila mtu ana different taste
 
Security ya kitu gani? Hivi bado uko kwenye group la watu wanaopenda kufanganywa na wao wanakubali tu kama makondoo. Security ni propaganda tu apple anatumia na wamewanasa watu wengi.

Duniani hapa hakuna security, asikudanganye mtu. Wakiamua kukukamata na hiyo iPhone yako wanakukamata tu bila hata kwenda Apple. Hata watu walitaka kuiba taarifa zako na iPhone yako wanaiba tu ni vile ni kinyume cha sheria watu wanaogopa sheria.

Jambo la pili, kwani data zao ama zangu, security ya apps inatakiwa liability iwe kwa mwenye simu, sio manufacturer. Manufacturer wa simu na data zangu zinamhusu nini?

Mkuu nani kakudanganya kuwa โ€œsecurityโ€ ya Apple ni kwamba usikamatwe?

Kwamba unasema jukumu la ulinzi wa data zako manufacturer halimuhusu!!!!???

Unaweza kujaribu kuponda unavyo weza lakini huwezi kuondoa ukweli kwamba Apple devices ndio device zenye โ€œsecurityโ€ bora kuliko kampuni zingine

Hata manufacturers wengine nao wana ubora wao kwenye eagles tofauti tofauti kulingana na market strategies zao
 
Back
Top Bottom