apps

  1. Last_Joker

    JamiiForums Tanzania Mambo ya Dating Apps: Kupata Mapenzi Huko ni Rahisi au Unapoteza Muda?

    Hivi ukiingia kwenye dating apps, unatafuta mapenzi au unatafuta maumivu? Watu wengi wanajaribu bahati yao huko, na wengine wanajikuta wakipoteza muda huku wakichanganywa na maswipe right na swipe left. Inajulikana kuwa hizi apps zimejaa watu wa kila aina – wengine wanatafuta penzi la kweli...
  2. excel

    JamiiForums Tanzania Mwezi ujao naanza project maalum ya kusaka mtaji wa Tsh laki 5

    Ni kupitia Apps za mikopo mtandaoni. Nimekuja na strategies maalum sana kwa hizi kausha damu za Online Mbinu nitakazotumia 1. Nimesajili Simcard Ya Vodacom maalum kwa ajili ya kukopea tu. 2. Nimetumia hio Simcard kuwasiliana na watu maalum ambao hawanifahamu, na nimesev majina yao.. hapo ni...
  3. officialbryteskylinks

    JamiiForums Tanzania Mobile Apps & Website Design Services

    We are dedicated to delivering top-tier mobile app and website design services that set you apart in the digital landscape. Our approach blends creativity with technology, ensuring that each project is visually stunning and functionally robust. We focus on user-centered design to enhance...
  4. Collin Butondo

    JamiiForums Tanzania Mobile Apps (iOS & Android) and Website Designers in Tanzania

    In today’s fast-paced digital landscape, businesses need to establish a strong online presence to remain competitive. Whether it’s a dynamic mobile app or a visually appealing website, the digital face of a company significantly impacts customer engagement and brand reputation. Mobile apps and...
  5. Mwl.RCT

    JamiiForums Tanzania Essential AI and Productivity Apps for Professionals: A Comprehensive Guide

    - 🏆 ChatGPT - IOS ➜ - Android ➜ - ⚡ Socratic AI - IOS ➜ - 💼 Perplexity AI - IOS ➜ - Android ➜ - 🌐 Fireflier.ai - IOS ➜ - Android ➜ - 🖼️ Canva - IOS ➜ - Android ➜ - 💡 Microsoft Copilot - IOS ➜ - Android ➜ - 📼 SwiftKey Keyboard - IOS ➜ - Android ➜ - 📋...
  6. Kulwa Paschal Martin

    JamiiForums Tanzania SoC04 Matumizi fanisi katika teknolojia ya kidijitali ili kuchochea ukuaji wa mfumo wa elimu Tanzania (e-Student App)

    UTANGULIZI. Taifa lolote ili liendelee linahitaji watu ambao watapandikizwa elimu sahihi, Elimu sahihi inajengwa na mfumo bora wa elimu. Kulingana na ulimwengu tuliopo sasa ili kupiga hatua tunahitaji matumizi ya sahihi ya kiteknologia katika mfumo wa elimu ili kuchochea ukuaji wa elimu yetu...
  7. Accumen Mo

    JamiiForums Tanzania Kujitokeza kwa malalamiko mengi ya watanzania kudhalilishwa na apps za mikopo, ni ishara tosha watanzania 98% sio waaminifu kwenye kukopeshwa

    Mnaendeleeja ndugu zangu watanzania, Rejea kichwa cha uzi hapo juu, kwa masikitiko napenda kuwaambia huu ukweli , watanzania wengi sio waaminfu linapokuja suala la kukopeshwa . Hizo apps zisingekuwa zinawadhalilisha kama mngekuwa mnalipa, kwanza mda wa marejesho mnakubali wenyewe ila baadae...
  8. Guus

    JamiiForums Tanzania Apps kila kona!!

    Wiki kadhaa niliingia CRDB na shida zangu kama mteja. Baada ya kukutana na wafanyakazi na kuwaeleza shida yangu ikawa kama mteja mkorofi. Jamaa nikashangaa wanakuwa wakali, eti "unatakiwa uwe na CRDB App". Nilipowajibu siitaki ikawa kama nimewaambia wasinihudumie, hii imenishangaza kwa kweli...
  9. PAZIA 3

    JamiiForums Tanzania SoC04 Wataalamu wa TEHAMA nchii, wabuni Apps na simu zitakazotumiwa na makundi yote ya jamii ikiwemo watu wenye mahitaji maalumu kama vile vipofu na viziwi

    Habari za uzima watu wote? Nimekuja tena kuleta wazo litakaloweza kuibua au kuchochea maendeleo katika jamii zetu bila kuacha kundi lolote kwenye jamii zetu. Bila shaka utakubaliana nami kwamba, mpaka Sasa, wataalamu wa TEHAMA wameshindwa kabisa kutuletea vifaa na programs zenye uwezo wa...
  10. Swahili AI

    JamiiForums Tanzania Tusanue apps zipi unatumia zinakurahishia kwenye nyanja tofauti

    Tusanue apps zipi unatumia kwenye simu, Android OS au iOS Ambazo zinakurahishia kwenye nyanja tofauti. Tuambie na namna ya kuzipata. Mfano: Hii unaweza kuipata kwa kuidownload kutumia browser yako maana haipo playstore wala appstore. Inarahisisha kwenye ku-copy captions na comment kwenye...
  11. Mto Songwe

    JamiiForums Tanzania Wataalam wa Tech naomba elimu yenu kuhusu Apps na websites

    Wataalam wa tech naomba elimu yenu kuhusu maeneo hayo Apps na Websites. Ukitaka kutengeneza apps unapaswa kupitia hatua zipi au kozi gani fupi? Hivyo hivyo kwa website unapaswa kupitia hatua zipi au kozi gani? Gharama za mafunzo zinaweza gharimu kiasi gani cha pesa na muda unaweza kuchukua...
  12. Influenza

    JamiiForums Tanzania Kama unatumia Apps hizi kwenye kifaa chako cha Android, ziondoe haraka. Ni hatari! | Xamalicious, a new dangerous Android 'copycat app'

    Wakati watumiaji wa Android walipoambiwa kuchungza vifaa vyao kwa programu (Apllications) zenye hatari kubwa ya kuwa na Wadudu (Malware) wa "SpyLoan" wasio salama, tishio jipya lilijitokeza kwa jina la "Xamalicious," mlango wa nyuma uligundulika hivi karibuni katika programu kadhaa kwenye Google...
  13. Annie X6

    JamiiForums Tanzania Naomba kujua kwanini whatsapp GB inaomba udownload official apps? GB inaondolewa?

    Wakuu habarini Nimetumia WhatsApp Gb muda mrefu sasa. Moja ya simu yangu imeomba nitafute official app kwenye playstore. Kabla ya hapo WhatsApp gb nilipatika kwa kudowload through akp kwenye search engine particularly chrome Je, ninkwamba gb whatsapp inatuagaaga au? Wajuzi msaada hapo?
  14. greater than

    JamiiForums Tanzania Screenshot apps zinazokusaidia katika uwekzaji na uchumi

    weka screenshots ya Apps ambazo zinakufanikishia kwenye uwekezaji... Tujifunze kitu. Kwangu mimi ni hizo...hapo Luna 1.UTT (Unit Trust of Tanzania) 2.NIC KIGANJANI (National Insurance Corporation) 3.DSE (Dar es Salaam Stock Exchange) 4.NSE (Nairobi Security Exchange)
  15. snipa

    JamiiForums Tanzania Naomba TCRA mlinde taarifa zetu kwa apps zinazodai kutoa mikopo.

    Habari wanajukwaa natumaini mbuheri wa afya. Leo naomba nigusie japo kwa kiasi kuhusu hizi apps za mikopo ambazo kwa Sasa zimekuwa nyingi sana na promotion kubwa inafanyika huko YouTube. Nimeileta hii mada hapa kwenye jukwaa hili kwasababu hii mada sio ya kisiasa Bali kuweka wazi kwa...
  16. Elon J

    JamiiForums Tanzania Simu yangu inaingiza Apps bila ridhaa yangu (bila kudownload), shida ni nini?

    Aisee, simu yangu inaingiza ma apps ya aina mbalimbali kama vile ma games n.k bila ridhaa yangu (bila kudownload). Mfano Kuna Aapp inaitwa Ayoba kila nikiifuta nikiweka MB tu inarudi tena. Kuna muda nikiweka MB zinaisha faster kwasababu ya kujidownload kwa hizi apps. Wazee wa IT shida ni nini...
  17. and 998 others

    JamiiForums Tanzania Apps zinazohamasisha ushoga zifungiwe

    Zipo Apps mitandaoni zinahamasisha ushoga ambapo zinaunganisha watu walio eneo moja mfano Sinza. Ukiingia humo dakika 10 nyingi mtu anakuja na Bodaboda ulipo huku anahema juu juu na unapata wa kufukua mapema asubuhi. Wanachuo wanashinda humo
  18. Intelligent businessman

    JamiiForums Tanzania Important Applications to have as a Blogger or Journalist

    𝟭𝟬 𝗠𝗢𝗕𝗜𝗟𝗘 𝗔𝗣𝗣𝗟𝗜𝗖𝗔𝗧𝗜𝗢𝗡𝗦 𝗘𝗩𝗘𝗥𝗬 𝗕𝗟𝗢𝗚𝗚𝗘𝗥 𝗦𝗛𝗢𝗨𝗟𝗗 𝗛𝗔𝗩𝗘 𝗜𝗡 𝟮𝟬𝟮3 These days blogging has quite changed from what it used to look like with new strategies adopted in content creation. In recent times you will have to do more than copywriting about the fact social media and digitalization have influenced...
  19. General Nguli

    JamiiForums Tanzania Naomba kujuzwa Apps nzuri ya kutunzia Documents

    Apps nzuri ya kuntuzia data Kisha ni unstall nikizihitaji ni zipate tena niki download.
  20. cleokippo

    JamiiForums Tanzania Mwenye kujua Apps nzuri ya music player msaada tafadhal

    Habar za usiku wananzengo!! Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza Kwayeyote mwenye kujua apps nzuri ya music player kwenye simu naomba anitajie tafadhali ili ni download niweze kuskiliza good music na mimi kwenye kijitambo changu
Back
Top Bottom