WhatsApp itaweka sehemu ya "ku-edit message"

Apollo

JF-Expert Member
May 26, 2011
4,920
3,221
WhatsApp itaweka mabadiliko ambayo kila mtumiaji alikuwa anatamani kuona sehemu hii mpya inawekwa.

Kwa kawaida WhatsApp haina sehemu ya ku-edit message baada ya kuitumia. Mtu akikosea kuituma analazimika kuifuta message na kuandika upya. WhatsApp inafanya majaribio ya kuweka sehemu ya kurekebisha message ambayo umekosea kuituma (edit).

Sehemu hii itakwepo inapatikana kwa watumiaji wote wa iOS (iPhone) na watumiaji wa Android. Pia kwa watumiaji wa WhatsApp Beta ya kompyuta tayari kuna hii sehemu katika majaribio.

WA_EDITING_MESSAGES_EDIT_ACTION_LABEL_DISMISS_IOS copy.png

Soon watumiaji wa WhatsApp wataweza ku-hold message na kupata option ya EDIT. Endapo mtu akirekebisha message (edit); WhatsApp itakuwa inaandika muda ambao mtumaji amerekebisha message. Hivyo ile sehemu ya kuonyesha muda ambao message imetumwa, itabadilika na kuandika Edited 00:00 (itaweka muda ambao mtu amerekebisha message).


Feature hii tayari ipo kwenye iMessage na Telegram.

WhatsApp itaweka sehemu ya ku-edit message
 
WhatsApp itaweka mabadiliko ambayo kila mtumiaji alikuwa anatamani kuona sehemu hii mpya inawekwa.

Kwa kawaida WhatsApp haina sehemu ya ku-edit message baada ya kuitumia. Mtu akikosea kuituma analazimika kuifuta message na kuandika upya. WhatsApp inafanya majaribio ya kuweka sehemu ya kurekebisha message ambayo umekosea kuituma (edit).


Sehemu hii itakwepo inapatikana kwa watumiaji wote wa iOS (iPhone) na watumiaji wa Android. Pia kwa watumiaji wa WhatsApp Beta ya kompyuta tayari kuna hii sehemu katika majaribio.

View attachment 2528518
Soon watumiaji wa WhatsApp wataweza ku-hold message na kupata option ya EDIT. Endapo mtu akirekebisha message (edit); WhatsApp itakuwa inaandika muda ambao mtumaji amerekebisha message. Hivyo ile sehemu ya kuonyesha muda ambao message imetumwa, itabadilika na kuandika Edited 00:00 (itaweka muda ambao mtu amerekebisha message).


Feature hii tayari ipo kwenye iMessage na Telegram.

WhatsApp itaweka sehemu ya ku-edit message
Mkuu karibu tena jukwaani ulipotea kwa muda humu
 
Back
Top Bottom