amavubi gfsonwin

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Nyendo

    Chakula kinachodaiwa kuwa na sumu chaua watoto 5 wa familia moja

    Watoto watano wa familia moja Kijiji cha Nyakanazi wilaya ya Biharamulo mkoani Kagera wamekufa baada ya kula chakula kinachohofiwa kuwa na sumu huku mmoja akiwa anaendelea kupatiwa matibabu hospitali teule ya Biharamulo. Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Kagera Brasius Chatanda amesema kuwa...
  2. Suzy Elias

    Ndugai: TANESCO ni kikwazo kikuu kwa maendeleo ya Watanzania

    Spika aliyeondolewa kwa uonevu ndugu Job Yustus Ndugai amelitupia lawama Shirika la umeme la Tanzania kwa kuwa ndilo hasa linalo kwamisha maendeleo ya Watanzania kwa desturi yake ya kukata umeme hovyo hovyo. ----- Spika wa Bunge Mstaafu Job Ndugai, ameitaka Serikali kuboresha taratibu zake...
  3. Herbalist Dr MziziMkavu

    Antonio Guterres: Kwanini Israel imekasirishwa naye?

    CHANZO CHA PICHA,EPA-EFE/REX/SHUTTERSTOCK 26 Oktoba 2023 Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres, alielezea wasiwasi wake kuhusu "ukiukwaji wa wazi wa sheria ya kimataifa ya kibinadamu huko Gaza," na kusisitiza kwamba "hakuna upande wowote katika mgogoro wa silaha ulio juu ya sheria...
  4. Herbalist Dr MziziMkavu

    Sababu nne kwanini Palestina haijakuwa nchi huru

    Ilikuwa mwaka wa 1948. Tangu wakati huo, vita vya Waarabu na Waisraeli vilianza. Tangu wakati huo, vita vya Palestina havijakoma. Chini ya miaka hamsini iliyopita mnamo 1973, vita vya tatu vya Waarabu na Israeli vilifanyika. Tangu wakati huo Israeli haijapigana moja kwa moja na mataifa ya...
  5. Herbalist Dr MziziMkavu

    'Ninapiga simu kutoka shirika la ujasusi la Israel. Tunarusha bomu, una saa mbili kuondoka’

    Maelezo kuhusu taarifa Simu ya Mahmoud Shaheen iliita alfajiri. Ilikuwa Alhamisi tarehe 19 Oktoba karibu saa 12:30, wakati Israel ikiendelea kuishambulia Gaza kwa siku 12 mfululizo. Akiwa katika ghorofa ya tatu, kwenye nyumba ya vyumba vitatu vya kulala huko al-Zahra. Ghafla alisikia kelele...
  6. Herbalist Dr MziziMkavu

    Ni wakati gani nyeti ya mwanaume huvunjika wakati wa tendo la ndoa na ipi tiba yake?

    Kuvunjika kwa uume ni tatizo la kawaida miongoni mwa wanaume, licha ya kwamba tatizo hili halizungumzwi sana. Kuvunjika kwa uume kuna uwezekano mkubwa wa kutokea pale unapogonga mguu au sehemu ya siri ya mwanamke wakati wa kujamiiana. Ikiwa tatizo hili halitatibiwa kwa wakati, linaweza kuathiri...
  7. Herbalist Dr MziziMkavu

    Marekani imepeleka Wanajeshi 10.000 nchini Saud Arabia. Je, wanajiandaa Kupigana vita nani? Iran Au Yemen Au Hezbollah?

    Amerika amepeleke Majeshi 10.000 nchini Saud Arabia . Je anajiandaa Kupigana vita nani? Iran Au Yemen Au Hezbollah? Ninajiuliza Swali mpaka sas sijapata jibu lake hebu nijibu hilo swali kama unaweza kulijibu.
  8. Herbalist Dr MziziMkavu

    Biden cheers Israeli decision on pausing Gaza fighting: ‘A step in the right direction’

    US President Joe Biden speaks to United Auto Workers at the Community Building Complex of Boone County, November 9, 2023, in Belvidere, Illinois. (AP Photo/Paul Beaty) US President Joe Biden welcomes the Israeli decision to formalize and broaden humanitarian pauses to its fighting in Gaza...
  9. Herbalist Dr MziziMkavu

    Ugonjwa Wa Kudhoofu Kwa Mifupa (Osteoporosis).

    Ugonjwa wa kudhoofu kwa mifupa (Osteoporosis). -Ugonjwa huu hufanya mifupa iwe dhaifu, ipungue ujazo wake na iwe kwenye hatari kubwa ya kuvunjika kirahisi pasipo kuhitaji mgandamizo mkubwa. Dalili muhimu za ugonjwa huu -ni kupatwa na maumivu ya mara kwa mara ya mifupa, hasa sehemu ya mgongo...
  10. Herbalist Dr MziziMkavu

    Matatizo Ya Afya Ya Akili Mental Retardation

    MATATIZO YA AFYA YA AKILI. -Shirika la Afya Duniani (WHO) linataja kuwa kabla ya janga la COVID19, takriban mtu 1 Kati ya 8 Duniani kote walikumbwa na matatizo ya kiakili, hata hivyo Msaada sahihi wa miundombinu na kiuchumi kwa ajili yao, ulikosekana -Matatizo ya afya ya akili yapo katika...
  11. Herbalist Dr MziziMkavu

    Mzungu awajaribu Wa-Tanzania wanaoishi Amerika

    Mzungu awajaribu Wa-Tanzania wanaoishi Amerika. Mzungu amewaomba wampe chakula wao Wa-Tanzania wamesema chakula hawana. Ila wamempa pesa aende Mzungu kula MC DONALD matokeo yake Mzungu amewapa Dollar 1000 kama zawadi yao kwa nia njema ya kutoa pesa japo kidogo. Mungu anasema toa japo kidogo...
  12. Herbalist Dr MziziMkavu

    Maradhi ya kifua kikuuu aka tuberculosis

    Kifua kikuu (kwa Kiingereza tuberculosis, kifupi TB) ni ugonjwa wa kuambukizwa ulio hatari. Ugonjwa huu husababishwa na aina mbalimbali za bakteria ambazo hujulikana kama Mycobacterium tuberculosis.[1] Kifua kikuu kwa kawaida kinaathiri mapafu, lakini pia kinaweza kuathiri sehemu nyingine za...
  13. Herbalist Dr MziziMkavu

    The Royal Visit: King Charles' III speech at the State Banquet at State House, Nairobi

    The Royal Visit: King Charles' III speech at the State Banquet at State House, Nairobi. https://www.youtube.com/watch?v=YSMqoQg6554&ab_channel=CitizenTVKenya
  14. Herbalist Dr MziziMkavu

    Nigeria: Mwanamke ajifungua watoto 9 baada ya miaka 25 ya ndoa bila mtoto

    Mwanamke wa Nigeria Obinuju Anthonia Ibeanu, amejifungua watoto 9 baada ya miaka 25 ya ndoa. Ripoti zilizoenea kwenye mitandao ya kijamii zilifichua kuwa mwanamke huyo alikuwa ameolewa kwa zaidi ya miongo miwili lakini hakubahatika kupata mtoto katika kipindi chote hicho. Kwa bahati nzuri...
  15. Herbalist Dr MziziMkavu

    Common Foods That Contain Natural Poisons That Can Cause Death Or Harm Your Health

    Common Foods That Contain Natural Poisons That Can Cause Death Or Harm Your Health. According to the World Health Organization (WHO), certain naturally occurring toxins are created in food as a type of defense mechanism to protect plants from animal infestation and consumption. These toxins can...
  16. Herbalist Dr MziziMkavu

    Alichokisema Socretes kuhusu Demokrasia zaidi ya miaka 2000 iliyopita

    Alichokisema Socrates kuhusu demokrasia zaidi ya miaka 2000 iliyopita. Alisema kuwa demokrasia lazima ianguke kwa sababu itajaribu kurekebisha kila mtu. Masikini watataka utajiri wa matajiri, na demokrasia itawapa. Vijana watataka kuheshimiwa kama wazee na demokrasia itawapa. Wanawake watataka...
  17. Herbalist Dr MziziMkavu

    Hizi ndio faida 5 za machungwa kwa afya yako

    Machungwa yamejaa vitamini na madini, lakini je, yanaweza kuzuia homa? Tunaangazia kwa undani jinsi matunda haya yanaweza kuchangia ustawi wa afya yako. Machungwa ni nini? Chungwa ni tunda la mchungwa. Jina la kisayansi ni Citrus aurantium L. var. sinensis L. au Citrus sinensis (L.) Osbeck...
  18. Herbalist Dr MziziMkavu

    Fahamu chakula unachopaswa kula ukiwa na zaidi ya miaka 40

    Chakula ni kirutubisho muhimu sana kwa wanadamu na maisha hayangewezekana bila lishe bora. Hata hivyo licha ya umuhimu wa lishe kwa mwili wa mwanadamu, wataalamu mara nyingi huwa wanazingatia faida za lishe bora na kiwango cha chakula ambacho mtu anapaswa kula kwa ajili ya afya yake. Wataalamu...
  19. Herbalist Dr MziziMkavu

    Utaifiti: ulaji wa vyakula vyenye mafuta mengi, unahusishwa na matatizo ya utasa miongoni mwa wanawake

    Maelezo ya picha, Mwanamke akila burger na vibanzi Mwanamke ambaye ana mazoea ya kula vyakula vyenye mafuta mengi na sukari bila ya kutumia matunda kwa wingi, yumo kwenye hatari ya kutopata uja uzito, utafiti unasema. Utafiti uliofanyiwa wanawake 5,598, uliwapata wale ambao wana mazoea ya kula...
  20. Herbalist Dr MziziMkavu

    Vyakula hivi vitano ni hatari zaidi kwa uhai wako

    Maelezo ya picha, Maharage Inaweza kuonekana kuwa hakuna ubaya katika kula aina fulani ya vyakula. Lakini, kuna wakati, kutojali kunaweza kusababisha matatizo mengi ya kiafya. Wakati mwingine kutojali kuhusu kuacha kuvila, ama kuvila kwa wingi kunaweza kuhatarisha maisha yako na kusababisha...
Back
Top Bottom