amavubi gfsonwin

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Ujumbe wa Manara Kwa jipu la Tanesko

    ======= Haji Manara amelalamikia shirika la umeme nchini, Tanesco kukata umeme kwa muda mrefu na kusababisha kutumia gharama kubwa kuwasha jenereta. Manara amesema wananchi wengi hawana uwezo wa kununua jenereta au kununua mafuta ya kuendesha majenereta hayo.
  2. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Mwenye Nguvu aje kupambana na mimi. Kama Utaweza Njoo

    LIKUD Mkuu LIKUD Ajiandaa kupamba na na maaduwi zake hapo kazi kweli ipo
  3. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Mbinu nzuri ya ku-save Pesa zako kwa Mwanamke Mwenye Tamaa

    Umejifunza kitu gani kwenye video hii?
  4. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Ama kweli Mbuzi amekufia kwa Muuza Supu sijuwi itakuwaje atapona huyo Mbuzi?

    Ama kweli Mbuzi amekufia kwa Muuza Supu sijuwi itakuwaje atapona huyo Mbuzi?
  5. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Hilo Ndilo Gazeti la Mllard AyouUpdates

    🤣 :D😁😄😃😀o_O Ipe neno moja hiyo habari umelewa kitu gani hapo?
  6. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Hivi ni kwanini bando lina expire? Tungekuwa na wabunge kama huyu 100 nchi yetu ingeendelea kiuchumi

    "Hivi ni kwanini bando zina expire? Simu ni ya kwangu, nimenunua bando kwa fedha yangu halafu unanilazimisha nitumie kwa muda unaotaka wewe, hii ni kwanini Mh Spika? Kama ni sheria, basi iletwe sheria hapa ibadilishwe, kwasababu tunaibia wananchi. "Anatafuta fedha kwa jasho, ananunua simu...
  7. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Dereva Amelewa sanaGari aka lori ameliingiza porini karibu na Zesko

  8. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Unaweza kuhisi hiyo ni mji gani barani Afrika?

  9. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Ujumbe maalum kwa Rais Samia kuhusu uzembe unaofanywa na wafanyakazi wa Bandari Jijini Dar

    Wana Bahati sana hawa Wafanyakazi wazembe wa Bandari mjini Dares-Salaam. Laiti kama ningelikuwa ndio mimi Rais wa nchi ninge wasimamisha kazi na huku uchunguzi unafanyika na ikibainika maneno anayo yasema huyu mfanya biashara kijana ni maneno ya ukweli basi ningeliwafukuza kazi wote wanao...
  10. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Kucha Zako Za Mikononi Zinavyoweza Kuonyesha Afya Yako jinsi ilivyo Tuwe Makini Sana kuchunguza Afya Zetu.

    Hakuna Nusu ya Mwezi kwenye kucha inamaanisha tezi dhaifu Ambayo inaweza kusababisha mabadiliko ya hali ya unyogovu kupata uzito na kukonda kwa nywele. Kucha kukatika kama nyufa kama kwenye misumari inaweza kuonyesha Dalili ya ugonjwa wa ngozi Kucha kuwa na rangi nyeupe huonyesha matatizo...
  11. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Unguja: Kijana ajaribu kujiua kwa kujinyonga

    Mjini Unguja Kijana Mmoja Leo Asubuhi alijaribu kutaka kujiuwa kwa njia ya kujinyonga Lakini baadhi ya ndugu zake wamuokoa. Walikuwa wanamuogopa kumuokoa ana kisu hapo alisema mtu akija kumkamata atamchinja ninahisi atakuwa na maradhi ya akili huyu.
  12. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Kitu Usicho Kijua Kuhusu Juisi Boksi

    KITU USICHO KIJUWA KUHUSU JUISI YA BOKSI BILA shaka unapoingia dukani au supermarket kununua juisi ya box, huwa unaamini kuwa iliyoandikwa ‘100% Puer Juice’ huwa ni halisi na ndiyo bora. Kwa kukuongezea imani zaidi, watengenezaji wameweka na neno ‘No Sugar Added’ au ‘No preservatives’...
  13. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania My birthday is today. Leo ndio sikukuu yangu ya kuzaliwa, karibuni marafiki zangu

    My birthday is today. Leo ndio sikukuu yangu ya kuzaliwa, ninamshukuru Mungu kwa kunifikisha kuiona siku yangu ya leo ya kuzaliwa. Karibuni wote tupate kushereheke sikukuu yangu ya kuzaliwa.
  14. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Ajali kama hii ingelitokea Barani Afrika au Asia watu wengi wangelikufa, kwakuwa imetokea Ulaya wamepona

    Hapa ingekuwa Afrika au Asia watu wengi wangekufa. One of the things I admire Western nations ni kuwa wanajiandaa na balaa kabla halijatokea. Sisi huwa tunamwachia Mungu na kuomba sana dua!
  15. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Ukiangalia video hizi unajifunza nini kuhusu wasichana wa kazi?

  16. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Haya Kwa wale wanaotaka kwenda kuishi Amerika sikiliza hiyo video hapo chini

  17. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Faida ya Pilipili Kengele Kiafya

    Ikilinganishwa na pilipili zingine, pilipili za kengele hujulikana kwa kiwango cha juu cha spiciness(viungo).Pilipili za kengele nyekundu huwa ni tamu, kama aina nyingine za manjano na rangi ya machungwa. Kiwango cha joto cha pilipili kengele (pilipili hoho) kinapimwa katika vitengo vya joto...
  18. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Kwanini maharage yanaweza kuwa suluhisho la matatizo mengi duniani?

    CHANZO CHA PICHA,GETTY IMAGES Maelezo ya picha, Maharage huwa na rangi na aina mbali mbali Binadamu wanakabiliwa na vitisho vingi, kuanzia mabadiliko ya hali ya hewa, utapiamlo hadi kupanda kwa gharama ya maisha. Je, maharage yanaweza kuwa jibu la matatizo ya kimataifa? Jamii hii ya kunde ni...
  19. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Je, dawa za antibiotiki zina madhara gani kwa utumbo wako?

    CHANZO CHA PICHA,GETTY IMAGES Miili yetu ina matrilioni ya bakteria ambayo hatuwezi kuishi bila kuwa nayo idadi kubwa ya bakteria hao wakiishi zaidi katika matumbo yetu. Lakini je, tunaharibu kabisa sehemu hii muhimu ya mwili wetu kila wakati tunapotumia dawa za antibiotiki? "Viini vya bakteria...
  20. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Faida za kushangaza ambazo pengine hukuzijua za kutumia papai

    Faida za kushangaza ambazo pengine hukuzijua za kutumia papai Papai ni tunda la kushangaza na lenye afya. Ina 'antioxidants' ambayo hupunguza kuvimba na kupambana na magonjwa na kusaidia mtu kuonekana na umri mdogo. Virutubisho katika papai Kalori, Wanga, Nyuzinyuzi, Protini, Vitamini C...
Back
Top Bottom