ama

Āma was a medieval Indian king who ruled the Kingdom of Kannauj and surrounding areas during the 8th and the 9th centuries. According to the Jain chronicles, he was the son and successor of Yashovarman.

View More On Wikipedia.org
  1. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania “Mvua, Greed ama Negligence?” a 8-Storey Building Collapses in Oloolua, Workers Feared Trapped Under Rubble

    Residents wa Oloolua, Kajiado North walikesha kwa hofu na majonzi baada ya jengo la ghorofa nane lilokuwa linaendelea kujengwa kuporomoka usiku wa May 8, 2026. Mashuhuda wanasema waliisikia sauti kubwa kama mlipuko around 11PM before sehemu kubwa ya building kuanguka ghafla, burying workers...
  2. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya kuingia deal ya mafuta na Uganda Game changer ama risk kwa uchumi?

    Kenya imechukua hatua kubwa baada ya William Ruto kutangaza kuwa nchi itawekeza kwenye refinery ya mafuta ya Uganda yenye thamani ya zaidi ya Ksh.500 billion. Hii si deal ndogo ni move inayoweza kubadilisha mwelekeo wa energy sector Afrika Mashariki. Akiongea katika Africa We Build Summit 2026...
  3. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania “Free Education ama ni Story Tu? MPs Wafichua Ksh77B Hole Wazazi Sasa Wabebe Mzigo?”

    Kenya iko kwa dilemma kubwa sana kwa sector ya education. MPs sasa wanauliza swali direct—is education still free or ni slogan tu? Hii inakuja baada ya Basic Education PS Julius Bitok kufichua kuwa kuna underfunding ya karibu Ksh77 billion kwa secondary schools. Kwa ground, reality ni tofauti...
  4. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    JamiiForums Tanzania Umezaliwa Dodoma ukakulia na kusomea Dodoma unaoa ama kuolewa upo Dodoma na kuzaa watoto ukiwa hapohapo. Wagogo mmerogwa?

    Wagogo pamoja na kwamba ni watani zetu ila huu sio utani acheni ufala bana Tz kubwa hii. Mmerundikana kama uyoga fala sana. Halafu mizaramo ndo haishauriki kabisa imetembea sana mwisho morogoro wa kwa waluguru yaani ni chupa na mfuniko. Haya makabila ilitakiwa liwe koloni la wasukuma...
  5. Trainee

    JamiiForums Tanzania Neno Mubashara: Chaneli ya taifa mnaharibu lugha, chaneli ya dini na nyinyi amueni moja mtumie kiswahili ama kiarabu

    Ukiangalia kuna chaneli kama makundi matatu hivi juu ya uandishi wa neno LIVE kwa Kiswahili sanifu Kuna wanaoandika MBASHARA mfano TBC. Hawa jamaa mwanzoni nilidhani wamekosea tu katika typing lakini kumbe wapi, ni staili yao. Ni sawa na mtu aandike STAKI badala ya SITAKI eti kisa tu katika...
  6. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Media, Tukiendelea Kunyamazia Unyanyasaji wa Uhuru wa Habari Unaofanywa na JAB na TCRA, Mwisho wa Siku, Ama Tutanyamazishwa Jumla Ama Tuwe Machawa?.

    Wanabodi, Hii ni Makala yangu gazeti la mwananchi la leo https://www.mwananchi.co.tz/mw/kolamu/kwa-nini-tunahitaji-kuulinda-uhuru-wa-vyombo-vya-habari-5417540 Hili ni Swali: Media tukiendelea kuunyamazia unyanyasaji huu wa uhuru wa habari na uhuru wa maoni kwa mujibu wa Ibara ya 18 ya Katiba...
  7. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    JamiiForums Tanzania Ni kipi kitatokea iwapo jogoo la kuku likampanda kanga jike ama bata jike vipi kuhusu Tausi pia?

    Ni mfano tu kwa maana sijawahi kuona hadi umri huu. Chukulia mfano jogoo la kuku lipandane na kanga jike au either uchukue mbegu za jogoo la kuku kisha upandikize kwenye bata,Tausi au kanga jike ni kipi kitatokea wakuu? Nauliza nijue tu si kwa ubaya kabisa kwa wataalamu wa sayansi za wanyama...
  8. Ushimen

    JamiiForums Tanzania Hivi kwanini watanzania wengi wanapenda kuombea ama kusali kwa kitu wanachoweza kukifanyia kazi?

    Hapa namaanisha kwamba. Unakuta mtu anamikono na miguu na ana afya njema kabisa, lakini mtu huyo anatoka kwenda kusugua makoti kwenye nyumba ya ibada ili tu amuombe Mungu amshushie rizki, sasa.... unawezaje kupata rizki kama haufanyi kazi? Huu ni mfano wa kwanza, lakini kuna midano miiingi...
  9. Driz de Mafwele

    JamiiForums Tanzania Maandazi ni chakula lakini yamegeuzwa kuwa tusi ama madharau

    Utakuta watu wakitofautiana wanabaki kutukanana maandazi wewe ama andazi wewe. Sasa kwanini andazi ama maandazi itumike kwenye lugha chafu wakati ni kitafunio pendwa? Utakuta hadi kiazi nayo imekosewa heshima. Utasikia kiazi wewee. Hivi sisi Niggers tuna shida gani? adriz de mbusii
  10. Mshana Jr

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wakati wengine wakitupa watoto ama kutoa mimba.. Kuna wanaoiba watoto ili nao waitwe mama

    Mahakama ya Wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza imemhukumu Novina Yoel Kuboja (23), ambaye ni mkulima na mkazi wa Buchosa wilayani humo, kutumikia kifungo cha mwaka mmoja jela baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kuiba mtoto wa kiume mwenye umri wa miezi mitatu (jina limehifadhiwa kwa sababu za...
  11. Sister Abigail

    JamiiForums Tanzania Hivi kuandika hivi Kwa kizazi hiki ndio swaga ama Nini?

    Mtu anakusalimia " Mamb" Anakujibu "Pow" Anakuuliza "Mzm" Anaendelea "xaxa uk wp? "Xipajui" "Xamahan" "Dad xamahan nmekuj kwak xikuon uk wapi? Halafu Kuna hawa Sasa wanaoona aeiou ni mchosho "Dd smhn jn nlkj kwk nkkt umtk.ksh ntkj tn ntkkt? Wana shida gani kwenye ubongo wao hawa?
  12. Sister Abigail

    JamiiForums Tanzania Hivi kuandika hivi Kwa kizazi hiki ndio swaga ama Nini?

    Mtu anakusalimia " Mamb" Anakujibu "Pow" Anakuuliza "Mzm" Anaendelea "xaxa uk wp? "Xipajui" "Xamahan" "Dad xamahan nmekuj kwak xikuon uk wapi? Halafu Kuna hawa Sasa wanaoona aeiou ni mchosho "Dd smhn jn nlkj kwk nkkt umtk.ksh ntkj tn ntkkt? Wana shida gani kwenye ubongo wao hawa?
  13. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Fish Pond Mystery! Mtoto wa Miaka 3 Afariki Shuleni Drowning ama Kuna Kitu Kinafichwa?”

    A very disturbing incident imeibua maswali mengi sana after 3-year-old pupil Faiz Faraj tragically lost his life at Gilgil Hills Academy, Nakuru County. According to reports, the young boy alikuwa darasani kama kawaida until around 11AM when he was reported missing. Shockingly, saa mbili...
  14. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mapenzi sio Charity: 50/50 ama uko Solo

    Let’s be real hii tabia ya mtu mmoja kubeba financial burden yote in the name of “love” is outdated! Kama ni partnership, why not act like one? Bills, rent, groceries 50/50 sio option, ni responsibility. Watu wengi wanapenda kusema “mwanaume ndio provider” or “mwanamke anatakiwa kusaidiwa,”...
  15. secretarybird

    JamiiForums Tanzania Jameni walokole, hivi haya maneno mnayatumia vile yanavyopaswa ama mnatulisha matangopori?

    Namnukuu mchungaji aliyekuwa akihubiri kanisani leo mchana, "Tuko mbele 'zako' baba wa mbinguni". Hivi mungu ana mbele ngapi? ni 'mbele zako' au 'mbele yako'. Hebu tuwekane sawa maana mungu anaweza akawa na mbele zaidi ya Moja kwa sababu mara zote walokole wamekuwa wakisema "mbele za mungu"...
  16. Pdidy

    JamiiForums Tanzania Kwa nini mabosi au Watu wenye hela nyingi hawajengi kwao? Mkienda kuzika mpaka unaona aibu

    Hii n changamoto sana hapa mjini kwa kwelii.....Najiuliza kwa nini mabosi wengi maofisini wana shida kubwa hawajengi makwao wanapotoka??[sio wote] Na sasa hadi wafanyabiashara wakubwa wanajaza majumba Dar wanazikwa kijijinI. Majuzi kati nilienda kumzika bossi mmoja Tanga aisee nilishtuka. Dar...
  17. Pdidy

    JamiiForums Tanzania Kama mkristo ama muislam uko kwenye mfungo inakuhusu angalia kabla ujawa unapoteza swaumu yako..mbarikiwe mmalize salama

    5 Things You Must Remove From Your Life Before Fasting Fasting is not just about stopping food — it is about preparing your spirit to host God. If these things remain in your life, your fasting may become hunger strike instead of spiritual power. 1. Unforgiveness If you are still holding...
  18. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Wanatupanga ama ni kweli pameanza kuchangamka?

    Hii inaweza kuwa wiki ya kipekee kwa minong'ono mingi na ya kila aina huku "zile habari za chini ya zulia zikiwa nyingi" Mengi yaliyotokea wiki Hi yana hisia mchanganyiko, uzushi halisi na maigizo.. 1. Minong'ono kwamba kapteni Tesha yuko hai salama na huru nje ya nchi akiendeleza harakati 2...
  19. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania TFF: Dhana dhanifu ama halisi?

    Ilianza kama utani mitandaoni lakini ni wazi ni kitu kinachojijenga katika uhalisia wake TFF (Tanganyika Freedom Fighters) Wapigania Uhuru Tanganyika (WAUTA) Mwansilishi halisi hajulikani mpaka sasa lakini ni wazi ni kundi lenye vinasaba vyote na Gen-Z hasa baada ya yote yaliyotokea 0ctober 29...
  20. Pdidy

    JamiiForums Tanzania Usiku huu nimecheka sana sijui uchawi ama??

    Nikiwa natoka Kimara usiku huu kwenye bus Kaka mmoja kapendeza mtanashati kansalimia nkamjibu akaeema naona unarejea nkamjibu ndio He naomba sh 5000. Nkamwambia na 2000 nikupe hapana naomba alf 5..nkajibu sina Muda si mrefu akaja konda akaulizia naulii Nikaona mwamba anatoa 10000 kumpa konda...
Back
Top Bottom