ajira

  1. C

    Ajira za Mawakala Zanzibar

    🎯 TENDA YA MAWAKALA - HORIZON INSTITUTE 🎯 📍Chuo Kipo Zanzibar 📍 💰 FURSA YA KUPATA MAPATO KILA SIKU! 💰 --- 📋 JINSI YA KUFANYA KAZI: 1️⃣ JIUNGA KWENYE MFUMO WA WAKALA: 👉Ingia hapa kujiunga: Horizon Institutes 📝JISAJILI kwenye mfumo wa wakala 🔐PATA NAMBA YAKO YA WAKALA baada ya kujisajili...
  2. Mtu_imara

    Nafasi za kazi ulinzi

    Assalamualaikum Nafasi za kazi ya ulinzi na dereva dsm na dodoma Whatsapp nikupe vigezo na malipo 0614951696 natoa connection tu siitaji pesa
  3. C

    Ajira za walimu

    📢 TANGAZO LA KAZI – HORIZON INSTITUTE 📢 Horizon Institute inafungua nafasi za kazi katika kozi mbalimbali za kuelimisha! Ikiwa una ujuzi au shauku ya kufundisha, hii ni fursa yako ya kuunga mkono jamii ya wanaojifunza. 🌟 Maeneo ya Kazi Yanayopatikana: 🗣 LUGHA ZA KIGENI ✅ English ✅ French ✅...
  4. C

    Ajira Tanzania

    📢 TANGAZO LA KAZI – HORIZON INSTITUTE 📢 Horizon Institute inafungua nafasi za kazi katika kozi mbalimbali za kuelimisha! Ikiwa una ujuzi au shauku ya kufundisha, hii ni fursa yako ya kuunga mkono jamii ya wanaojifunza. 🌟 Maeneo ya Kazi Yanayopatikana: 🗣 LUGHA ZA KIGENI ✅ English ✅ French ✅...
  5. C

    Tangazo la Ajira Zanzibar

    📢 TANGAZO LA KAZI – HORIZON INSTITUTE 📢 Horizon Institute inafungua nafasi za kazi katika kozi mbalimbali za kuelimisha! Ikiwa una ujuzi au shauku ya kufundisha, hii ni fursa yako ya kuunga mkono jamii ya wanaojifunza. 🌟 Maeneo ya Kazi Yanayopatikana: 🗣 LUGHA ZA KIGENI ✅ English ✅ French ✅...
  6. Silivian

    Tafuta ajira

    kuajiriwa sio utumwa bali ni njia ya kukufundisha Kua na chakoili uweze kumiliki, kumbuka unatamani pia Kua boss na bila wafanyakazi ni bure ivyo akuna ufalme bila wafuasi sema amen. kuajiriwa ni njia ya kujua vingi.
  7. Just Pray

    Bunge latangaza nafasi 28 za ajira

    Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limetangaza nafasi za ajira katika kada tofauti likiwaalika Watanzania wenye sifa stahiki kutuma maombi yao. Lengo ni kuongeza nguvu kazi na kuboresha utendaji wa sekretarieti ya Bunge. Kwa mujibu wa tangazo lililotolewa jana Jumatano, Novemba 5, 2025...
  8. T

    Utatuzi changamoto za ajira portal, nssf portal nk

    Kama una changamoto kama kusahau password,email na kutengeneza akaunti kwa mifumo kama AJIRA PORTAL, NSSF PORTAL,LOAN BOARD, NK Wasiliana na 0623446608 kwa msaada binafsi
  9. M

    Aliyejiriwa ni mtumwa aliyefungwa mdomo na mshahara au cheo, ni ajabu kuona mtu asiye na ajira wala uhakika wa kipato akiogopa kujitetea

    Ni tangu enzi za ukoloni ajira iliweza kutumika kama kifaa cha kuogopesha watu wasifungue mdomo. Mkoloni alifungua mashamba, viwanda, na miradi mingi sana, watu walilipwa mshahara waweze kujihudumia hata kama walipata kidogo, ambao hawakuwa na ajira nao waliweza kusurvive, enzi hizo mambo...
  10. Boeing787-8

    KERO Ni mateso kwa ajira mpya Halmashauri ya Msalala-Kahama

    Niwe mkweli sijawahi ona halmashauri wazembe, wala rushwa, wavivu kama halimashauri ya Msalala-Kahama. Halmashauri hii imegeuka kuwa kilio kwa watumishi wa umma, ukiwa na shida husikilizwi, mtumishi unaonekana kama kibaka. Ajira mpya walioajiriwa toka February halmashauri hii imegoma kata kata...
  11. Carlos The Jackal

    Je, ajira mpya zaidi ya elfu 17 zilizotangazwa na Serikali ni kupunguza vuguvugu la vijana kuelekea uchaguzi mkuu?

    Ni nani Miongoni mwenu angeweza amini Hawa Vijana wa TikTok , wenye Miaka 18,19,20,21 ni Tishio Kwa Samia?. Sasa tazameni Kutoka Kwa LISSU Hadi PADRE KITIMA Hadi POLEPOLE Hadi MDUDE hadi Vijana wa miaka 18, 19, 20, 21. Kwa Mama mwenye Akili, Hawa bado ni watoto Kwa namna yoyote wanayobehave ...
  12. T

    Ajira mpya Leo kupitia ajira portal

    AJira nyingi kwa kada za afya,walimu,nk zimetangazwa Leo. Kwa wenye changamoto katika kuomba wasiliana na 0623446608 usaidiwe personally
  13. Powell Gonzalez

    Naungana rasmi na Zemanda na Natafuta Ajira kwenye operation tokomeza simping

    Rasmi najiunga na Zemanda na Natafuta Ajira kwenye operation tokomeza simping! kwanzia sasa wakurugenzi wa hii operation naomba mnitag popote mtakapokuwa mnazungumzia hili swala. We gotta save this generation! Na kwa kuanza natoa some point on how to stop simping! Daily moves to kill...
  14. ngara23

    Rais Mstaafu Kikwete Anampotosha Samia: Wakati Wake Alisimamia Demokrasia, Ajira na Kuepusha Mauaji

    Wanasemaga mchawi hatoki mbali au mchawi ni nduguyo Yaani Mstaafu wetu ndo amshauri Samia mambo ya ajabu kama haya 1. Wakati wa Kikwete Democrasia ila hai Leo anamshauri mwenzake apeleke wabunge wa Chama kimoja tu bungeni 2. Wakati wa Kikwete hapa kuwa na mauaji kama kipindi hiki. Watu...
  15. Ndengaso

    GE2025 Hata ajira hawa wanazo wamezificha wanasuburi wabustiwe

    Salamu, Ya Mwendokasi mmeyaona ? October 29 Twendeni tukawaboost. Ajira Zipo.
  16. K

    Natafuta ajira ya kibarua

    Habari za wakati huu wanajamii wenzangu, Naomba kuchukua nafasi hii kuwasalimia na kuwaomba msaada wenu. Mimi ni kijana mchapakazi, mwenye ari na nguvu za kufanya kazi mbalimbali ili niweze kujipatia riziki halali ya kila siku. Kwa sasa ninatafuta kibarua chochote halali, iwe ni kazi ya muda...
  17. Mashamba Makubwa Nalima

    Week chache zijazo Chawa na Wasiojulikana wanakwenda kupoteza ajira

    Moja la jambo kubwa sana tunakwenda kulifanya kwa mustabali wa nchi yetu
  18. Mashamba Makubwa Nalima

    Machawa wanaenda kupoteza ajira, mkoloni anaondoka

    Zile buku kumi kumi na picha na viongozi mnazoziweka sebuleni, ndiyo zimefika mwisho. Ni muda nchi inaenda kurudi wa watanzania. Kama haukujenga au kutumia vizuri nafasi mliyopewana wakoloni jiandae kutumia akili. Uzi tayari
  19. N

    KERO Sekretarieti ya Ajira /Ajira Portal Wahudumu wenu hawapokei simu

    Hii ni changamotoni kubwa sana. Hawa jamaa wa huduma kwa wateja wa Ajira Portal unaweza kuwapigia tokea asubuhi hadi jioni na simu haipokelewi na mbaya zaidi namba yao sifo free kupiga kwahiyo unapopiga dakika zinaenda. Naomba wahusika wajaribu kuwapa elimu watoa huduma wao tafadhali, wawe...
  20. W

    GE2025 Wagombea wasiishie tu kutoa ahadi za Ajira kwa vijana Uchaguzi 2025. Je watalitekelezaje hili?

    Miaka nenda miaka rudi kila mgombea akiwa ananadi sera zake wanatumia tatizo la ukosefu wa ajira kwa vijana iliw achaguliwe. Lakini viongozi hawahawa tukishawapeleka bungeni ndo wanaorudi na kusema "Vijana mjiajiri serikali haiwezi kuajiri kila mtu." Wananchi tunaposikiliza tunatakiwa kuuliza...
Back
Top Bottom