ajira

  1. Yoyo Zhou

    Kiwango cha ukosefu wa ajira kwa watu wenye asili ya Afrika kimekuwa kiashirio cha Uchumi wa Marekani

    Tovuti ya habari ya Axios ya nchini Marekani, hivi karibuni imetoa ripoti, ikisema kiwango cha ukosefu wa ajira kwa Wamarekani wenye asili ya Afrika kimeongezeka kwa kasi mwaka huu, na kutoa tahadhari kwa uchumi wa Marekani, ikimaanisha kwamba kiwango hicho kimekuwa kiashirio cha uchumi wa...
  2. Isaka James

    Sekta ya Teknolojia Tanzania: Tech Zinazodominate na Fursa za Kazi kwa Job Seekers

    Habari wadau wa Jamiiforum! Mimi ni tech enthusiast hapa Dar, na leo nataka kushare thoughts zangu kuhusu technologies zinazotawala Tanzania na how they can help you kufind job au improve in your current one. Kama unajua, global tech na local one ni different sana, especially in developing...
  3. DuaZaMama

    Jeshi la Ulinzi la Kenya (KDF) linatekeleza zoezi la ajira kitaifa Oktoba

    Jeshi la Ulinzi la Kenya (KDF), kupitia taarifa iliyotolewa Jumapili, Septemba 14, linasema kuwa zoezi hili litalenga kuajiri Wakandarasi wa Huduma za Kawaida (GSO) – kwa kawaida na wahitimu wa vyuo vikuu, Wakandarasi Maalumu, Wajibu wa Kawaida, Wafundi wa Kazi na Wanawake, pamoja na Askari wa...
  4. QasraNet

    Ajira Portal System Error

    Nafanyaje chuo changu nilichosomea Diploma hakionekani Ajira Portal Mpya. Chuo ni Al Maktoum College of Engineering and Technology (AMCET) - Registered by NACTE as REG/EOS/039 (Full Registration) kipo Mbezi Beach. 1. Nimejaribu kupiga chuoni: Wanasema shida sio yao ni ya Ajira Portal. 2...
  5. M

    Aliemaliza degree 2018 yupo kitaa, mwenzake alierudia form 4 akiwa "25 years" kahitimu diploma mwaka jana 2024 ila tayari kapata ajira taasisi nzito

    Hawa ni wanafunzi naowajua vizuri walimaliza form 4 mwaka 2012 Moja alifaulu kwa division 1 ya point 16 (ya enzi hizo), akaenda A Level shule nzuri ya private akafaulu division 2 nzuri, chuo akamaliza 2019, hakuwa mvivu wa kusubiria kazi ijilete, ni mpambanaji, kajitolea sana na kuhudhuria...
  6. October 2pm

    KERO Walimu ajira mpya msitusahau bado tunalia

    Nipo zangu Nachingwea! Ajira mpya lakini bado hatujalipwa lakini hainizuii Oktoba kutiki.. nitatiki miye japo najua watu wale wanakeleka. Na bado! Mpwayungu Village tusemee
  7. Bueno

    Sehemu gani kwenye Ajira Portal naweza nika-cancel maombi yangu ya ajira

    Au niache tu wakiniita nisiende? Nataka ku-cancel sitaki tena kujisumbuasumbua na kupoteza gharama za stationary, nauli, chakula, nk kisha nabakia mikono mitupu, wapi kuna button ya ku-cancel maombi?
  8. SSH2025_2030

    Dr Kigwangala aanza kusaka ajira mbadala ya Ubunge

    Mwamba baada ya Nzega kumnyoosha ameanza kuiboresha CV Kusaka ajira mpya HALMASHAURI ili angalau asikose kitu kila mwezi. TEUZI ndo basi tena. Asanteni Nzega
  9. A

    KERO Wilaya ya Geita Vijijini tangu March 2025 mpaka leo Walimu wa Ajira Mpya hatujapewa hela ya kujikimu

    Wilaya ya Geita Vijijini tangu Mwezi wa tatu mpaka leo Walimu wa Ajira Mpya hatujapewa hela ya kujikimu, hivyo maisha yamekuwa magumu sana mitaaani naomba utusaidie kupaza sauti Jamii Forums. Nyingine soma ~ Ajira mpya za Walimu Msingi na Sekondari Mwaka wa fedha ulioisha hatujalipwa fedha za...
  10. DuaZaMama

    Jamaa kasomea uinjinia wa umeme lakini hana ajira

    Kutoka katika ukurasa rasmi wa Makamu mwenyekiti wa CHADEMA John Heche ameandika..... "Nchi ya Tanzanite, migodi mikubwa ya dhahabu, Nchi ya almasi, Nchi ya Ngorongoro, Serengeti na Serous.. Nchi ya makaa ya mawe, chuma, uranium, nickel na cobalt. Nchi inayoagiza Mpaka gunia la Kubenea viazi...
  11. Mboju

    Sisi tusio kuwa na Vyama tunaomba ajira basi ya kuhamasisha watu kupiga kura

    Wakuu habari za mida hii, wanasemaga usiache fursa ikapita bila kuichungulia, hichi ni kipindi cha kampeini na uchaguzi Tunaomba basi ajira za kuhamasisha watu kupiga kura iwe nyumba kwa nyumba kanisani na misikitini au maeneo yenye mikusanyiko tutafika Dau langu ni dogo tu 150000 inanitosha...
  12. A

    KERO Ajira mpya somo la biashara wengine tumenyimwa mikataba na TSC

    Habari, Naomba kuwasilisha changamoto yetu walimu ajira mpya somo la biashara tulioajiriwa kwa ajili ya uhaba wa walimu wa somo hilo tumenyimwa mikataba na TSC. Wanasema sisi bado sio walimu sasa wanasema wanasubiri muongozo mpaka leo kimya ila wenzetu wengine wamejaza mikataba ya TSC Naona...
  13. N

    Mwaka huu TAKUKURU hawatoi ajira?

    Wakuu mbona mwaka huu kimya TAKUKURU?
  14. chakutu

    Wajuzi wa mambo kuhusu nafasi za ajira utumishi

    Kuna nafasi TANROADS walizozitangaza tangu mwezi wa 6, 2025 kupitia Utumishi kuna mwana nilimuazima laptop yangu kwa ajili ya kufanya maomba juzi kati naonana nae namuuliza vipi interview anasema bado hawajaitwa. Mpaka leo mwana hajaitwaa kwa ajili ya Interview, Je ni kiini macho au wanasubiri...
  15. Jamii Opportunities

    Call for Interview Utumishi 2025: Ajira Portal, PSRS August, 2025

    Called for Interview UTUMISHI – Public Service Recruitment Secretariat (PSRS) August, 2025 Job recruitment Public Service Recruitment Secretariat (PSRS) on behalf of various government institutions would like to inform all job applicants who applied for a job that the interview is expected to...
  16. hamza mahundu

    KARANI WA POSTA LEVEL YA KIDATO CHA 4 ANALIPWA BEI GANI? Na maswalj yapi ataukizwa inter view AJIRA PORTAL

    Naomba majibu
  17. M

    Ajira ajira

    Ajira ajira Madereva wenye vigezo tajwa wanatafutwa Tafadhari usitume message, piga simu kwa ufafanuzi
  18. Mama Ametufikia

    Fanya hivi ikiwa umesoma ila hauna ajira inayokuweka mjini.

    Umesoma vizuri, mambo hayaendi maana yake akili imekungusha, sasa jaribu nguvu, potelea porini, fyeka miti, lima kwa mkono wako, fuga, jenga hata kijumba cha nyasi, anzisha maisha huko bila kujihurumia, potelea huko kwa miaka mitatu, minne, utaanza kuvuna mazao, ya mikono yako, pata pesa...
  19. ERTUGRUL BEY

    Naungana na Zemanda na Natafuta Ajira kupinga Usimp

    Watu wengi wanauelewa ambao sio sahihi kuhusu usimp,na ndio maana wanaona kama hawa ma expert wanashawishi wanaume kuwa na roho mbaya kwa wanawake. Ukweli hauko hivyo,ebu tufahamu kidogo tunamaanisha nini tunapo zungungumzia usimp au simp Here we go....... Simp ni mtu (mara nyingi mwanaume)...
  20. Just Pray

    Tanzania miongoni mwa nchi nne za Afrika zitakazonufaika na ajira, ujuzi kupitia mpango wa Japan wa thamani ya dola bilioni 5.5

    Tanzania imetajwa kuwa miongoni mwa nchi nne za Afrika zitakazonufaika na mpango mpya wa Japan uitwao “Hometown Initiative”, mpango unaolenga kuimarisha uhusiano na Afrika huku pia ukishughulikia changamoto za idadi ya watu nchini Japan. Kupitia mpango huo, Jiji la Nagai katika Prefecture ya...
Back
Top Bottom