ajira

  1. Traxtion

    Tanzania tunapaswa kufanya hivi ili kupunguza umasikini, uhaba wa ajira na kukuza lugha ya Kiswahili

    Hapa nitaongelea vipengele viwili na vinahusiana sana, kwa hiyo naomba usome hadi mwisho I. Suala la Uhaba wa Ajira II. Ukuaji wa Lugha ya Kiswahili I. UHABA WA AJIRA Tanzania ina uhaba wa ajira kwa sababu ya uhaba wa makampuni na wawekezaji. Sio tu wawekezaji wa nje, hata wa ndani pia ni...
  2. Dalton elijah

    Mfumo wa Ajira Tanzania: Ukiritimba unaodhoofisha Nguvu Kazi ya Taifa Na mustakabali wa vijana

    Ukweli usemwe: mfumo wa ajira Tanzania Kwa sasa hauendani na kasi ya uzalishaji wa wahitimu (graduate output) wala mahitaji halisi ya maendeleo ya taifa. Mfumo wa Ajira Online alimarufu "AJIRA PORTAL" kwasasa unafanya screening, sio placement nikiwa na maana unachuja badala ya kulinganisha sifa...
  3. Soul21

    MAPENDEKEZO: MFUMO WA "VIWANDA VYA AJIRA" KWA WAHITIMU WA UHANDISI NA UFUNDI

    Tanzania inazalisha maelfu ya wahitimu wenye vipaji katika fani za uhandisi, ujenzi, na usanifu majenzi kila mwaka. Hata hivyo, kuna changamoto mbili kubwa: uhaba wa ajira kwa vijana hawa na utegemezi mkubwa wa makampuni ya nje katika kutekeleza miradi ya miundombinu. Pendekezo hili...
  4. H

    Njia madhubuti ya kupunguza tatizo la ajira Tanzania ni kwa kuweka nguvu zaidi kwenye sekta binafsi

    Uimarishaji wa Sekta Binafsi: Sekta binafsi ndio chanzo kikuu cha ajira katika nchi nyingi duniani. Mfano, nchini Kenya, serikali imewekeza katika kuimarisha mazingira ya biashara kwa sekta binafsi kupitia mpango wa Big Four Agenda, ambapo viwanda vya ndani vimepewa kipaumbele. Tanzania pia...
  5. R

    Hadaa ya ajira au ni kweli!

    Kuna ajira zimetangazwa na Public Service Recruitment Secretariat juzi ambazo zinaendelea kufanyika?????. My worries, isije kuwa mbinu ya kuwapoza GenZ kuwapotezea watu muda na fedha...maana hawa hawaaminiki tena! Ngoja tusubiri
  6. H

    AJIRA ZA ELITE HOME TUITION ZITAKUA ZINAPATIKANA HAPA

    ATTENTION. ATTENTION ATTENTION ATTENTION Tunahitaji walimu wa home tuition services. Maeneo malombali 1.Mwalimu wa historia na Geography(awe mmoja) Mwalimu wa grade1(awe.mmoja) Mqalimu wa physics advance(awe mmoja) Location:Mwanza buswelu busenga. 2.Mwalimu wa physics,chemistry,&bios(mmoja)...
  7. Robert Heriel Mtibeli

    Serikali: Utumishi wasizuie vijana wanaoomba ajira kwenda kwenye usaili kisa hawajalipia leseni, hiyo sio Haki

    Mpo Salama! 1. Kuna baadhi ya Kada kama Kada ya afya wanatakiwa kuwa na Leseni. 2. Kuna waomba ajira zaidi ya mmoja walinitumia ujumbe ili niufikishe huku wakiomba Msaada wa serikali katika changamoto ya kuomba ajira kupitia mfumo wa Ajira portal 3. Vijana hao wote ni Clinical Officers ambao...
  8. M

    Maandamano ya kesho yatakuwa mazuri zaidi maana wasiokuwa na ajira hawana cha kupoteza

    Kesho ndiyo kutakuwa na mtiti wa ukweli maana wale wote wanaozarauliwa na serikali ndiyo watakaokuwa barabarani halafu hawana cha kupoteza ngoja tuone
  9. T

    Ajira nyingi ajira portal leo

    Kwa changamoto wasiliana na 0623446608
  10. M

    Fursa ya ajira ya kazi ya kibarua kwa muda wa miezi 6 hadi mwaka mmoja malipo 12000 kwa siku

    Habari JF Kuna kazi kwa vijana wa kiume 10 wanahitajika Mahali pa kazi ni Dar es salaam Vetenari Aina ya kazi ni kusaidia mafundi wa mechanics kuna ujenzi wa kiwanda unaendelea utakaochukua muda kati ya miezi 6 hadi mwaka au zaidi kulingana na kukamilika kwa mradi, kwahiyo ni kazi ya uhakika...
  11. Prof_Adventure_guide

    Serikali Inacheka, Watu Wanalia! Vijana Tumekosa Ajira, Lakini Mfumo Uko Tu Huko Ujinga!

    Hey wana JF, leo nataka tuongee ukweli mchungu kuhusu hali ya ajira kwa vijana na hizi system zenye kutufanya waogope zaidi kuliko ilivyo sasa. Serikali ya Tanzania imekuwa inajifanya kila kitu kipo sawa lakini ukweli ni kwamba vijana wengi wanateseka. Serikali inatupeleka wapi na hizi sera...
  12. CHAGOSI GERALD

    8. “Uchumi wa JKT usingetoa ajira - ungezaa UTAIFA.”

    Watu wengi hawajui kwamba ajira ni kitu kidogo sana ukilinganisha na utengenezaji wa utaifa. Taifa halijengwi na mishahara, halisimami kwa posho, halihifadhiwi na mabango; taifa linajengwa na umoja wa fikra, nidhamu ya kufanya kazi, na maono ya pamoja. Na JKT - ile ya mwalimu, si hii kambi ya...
  13. Nzi Chuma

    Je wewe ni mwajiri, tangaza ajira yako nasi hapa BURE

    Kama wewe ni mwajiri na unatamani kuajiri kisasa kabisa, tembelea website yetu www.kazilink.co.tz na utangaze kazi yako.. Platform hii pia itakusaidia kuweza kuona walioomba kazi kupitia account yako ya mwajiri na kuwaita kwenye interview moja kwa moja kwenye mfumo. Jisajili as employer na...
  14. T

    Changamoto ya maombi ajira zimamoto

    Wasiliana na 0623446608 kwa msaada binafsi
  15. tonicimmobility

    PostGE2025 Prof. Kitila: Serikali yatangaza mikakati 8 ya kupanua ajira kwa vijana

    Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais- Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo ametangaza mikakati mahsusi nane ya Serikali katika kuvutia uwekezaji na kupanua fursa za ajira kwa vijana nchini. Mikakati hiyo imetangazwa leo, Novemba 28, 2025 mkoani Dar es Salaam wakati wa hafla ya uzinduzi wa Bodi ya...
  16. Mad Max

    “Dereva Daraja la II” ndio nafasi ya kazi inayoongoza kutangazwa Ajira Portal.

    Wakuu. Wengi mtasupport ili, madereva ndio wanaotangazwa sana katika Ajira Portal. Sizisemi kada nyingine, lakini mfano hapo cheki wana nafasi 40 zimetangazwa, na kila nafasi unakuta zina post 5 kuzidi. Kwahiyo 40x5 inamaanisha kuna madereva 200 wanahitajika ndani ya hizi week mbili...
  17. Daby

    Msigwa na wengine mnafaidika na mfumo au faida yenu ni ajira tu?

    Tunaweza kutofautiana kwenye masuala mengi ila linapokuja suala la uhai wa binadamu tunatakiwa kuongea lugha moja. Bado nazidi kuwashangaa waTanzania wenzangu waliokubali kuaminishwa na mfumo kwamba waTanzania waliuliwa barabani kama mbwa ni wahalifu na walistahili kuliwa kinyama...
  18. M

    Mtanganyika akishapata Ajira, Cheo au biashara hana habari na mambo ya haki, mali, wala shida za Tanganyika

    Mpe mtanganyika ajira, cheo, tenda au awe na biashara yake, atajiona wa tofauti sana,
  19. Halmashauri ya Jiji DSM

    Nafasi za kazi Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

    TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI
Back
Top Bottom