rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 17,995
- 25,593
Jana mo kaongea mengi lakini tujikumbushe ahadi zake kabla na baada ya kuingia Simba.
Kabla ya kuingia Simbq alisema anataka kuifanya Simba ishindane na Mazembe ambayo wakati huo ilikuwa kiwango cha juu pamoja na Al ahly ya Misri pia alilalamika kwanini Simba inauza wachezaji wake wakati anataka Simba ishindane kimataifa.
Tukija kqenye uhalisia hakuna kipindi Simba imeuza wachezaji kama kipindi bodi yake imeingia, Konde boy, Chama, Bwalya, Sackho tena hata bei zilifichwa.
Alipiga picha na viongozi wq Juventus ya Italia na kusema ameingia makubaliano na Juventus kuhusu ushirikiano na Simba hayo makubaliano sijui yalifia wapi.
Baadae akaenda Marekani akapiga picha na timu moja ya huko akasem ameingia makubaliano na timu hiyo kuhusu uahirikiano na Simba wakati haijulikani lini mashirikiano yataanzq janq kasema kaingia makubaliano na Stuttgqrt ya ujerumani.
Wanaosema runamchukia mo waje watueleze kwanini anakuwa anatudanganya kama watoto wadogo.
Kabla ya kuingia Simbq alisema anataka kuifanya Simba ishindane na Mazembe ambayo wakati huo ilikuwa kiwango cha juu pamoja na Al ahly ya Misri pia alilalamika kwanini Simba inauza wachezaji wake wakati anataka Simba ishindane kimataifa.
Tukija kqenye uhalisia hakuna kipindi Simba imeuza wachezaji kama kipindi bodi yake imeingia, Konde boy, Chama, Bwalya, Sackho tena hata bei zilifichwa.
Alipiga picha na viongozi wq Juventus ya Italia na kusema ameingia makubaliano na Juventus kuhusu ushirikiano na Simba hayo makubaliano sijui yalifia wapi.
Baadae akaenda Marekani akapiga picha na timu moja ya huko akasem ameingia makubaliano na timu hiyo kuhusu uahirikiano na Simba wakati haijulikani lini mashirikiano yataanzq janq kasema kaingia makubaliano na Stuttgqrt ya ujerumani.
Wanaosema runamchukia mo waje watueleze kwanini anakuwa anatudanganya kama watoto wadogo.