Je, mnakumbuka ahadi?

Je, mnakumbuka ahadi?

idiomer

Senior Member
Joined
Aug 15, 2012
Posts
181
Reaction score
212
1. Uchumi ukikaa vizuri nitaongeza mshahara
2. Mmeona wenyewe corona ilivyotikisa dunia, fedha hakuna
3. Uchumi ukiimarika nitaongeza mshahara.
4. Vita ya Ukraine na Urusi imeharibu Uchumi
5. Vita ya Irani na Israel misaada hakuna kabisa
 
1. Uchumi ukikaa vizuri nitaongeza mshahara
2. Mmeona wenyewe corona ilivyotikisa dunia, fedha hakuna
3. Uchumi ukiimarika nitaongeza mshahara.
4. Vita ya Ukraine na Urusi imeharibu Uchumi
5. Vita ya Irani na Israel misaada hakuna kabisa
huku wakiongeza matozo kila sehemu! hakika tunaisoma namba
 
Back
Top Bottom