Tunapoendelea na shughuli zetu huku kwenye hizi nchi zetu tusisahau kumuomba Mungu atuepushe na ugonjwa wa hatari kabisa wa Corona maana ugonjwa sasa hauko China peke yake bali tayari ushasambaa Iran, India, South Korea, Japan na ndani ya siku si nyingi tayari utakuwa ushatua kwetu na jinsi...